kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Yaelekea mporipori sana wewe..Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja🤣🤣🤣🤣 kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia🤣🤣🤣🤣!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaelekea mporipori sana wewe..Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja🤣🤣🤣🤣 kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia🤣🤣🤣🤣!!!!
Na wewe ukailipia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole mkuu.Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!!
At least ungelipa bill yako na ya baby wako, hayo manunga yembe mengine yajisort yenyeweWeekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Asante😆😆😆😆Na wewe ukailipia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole mkuu.
Ndio kaka dar nimeingia nina wiki mbili tu mkuu!!!Natokea simiyuYaelekea mporipori sana wewe..
Huyu alichemkaYaelekea mporipori sana wewe..
Still bado wangegombana tu.At least ungelipa bill yako na ya baby wako, hayo manunga yembe mengine yajisort yenyewe
Simiyu sehemu gani hapo,Nyakabindi,old maswa,Bupandagila,sapiwi,mwadobana,ikungu lya bashashi,somanda,banemi,Nyawa,Lalago,mwakibuga au dutwa?Ndio kaka dar nimeingia nina wiki mbili tu mkuu!!!Natokea simiyu
Umeamini katoka Simiyu au kakujibu sawa na ulivyombeza?Simiyu sehemu gani hapo,Nyakabindi,old maswa,Bupandagila,sapiwi,mwadobana,ikungu lya bashashi,somanda,banemi,Nyawa,Lalago,mwakibuga au dutwa?
Najua kazingua ndio nami nimemuonyesha kuwa simiyu naijua yote.Umeamini katoka Simiyu au kakujibu sawa na ulivyombeza?
Huwezi kuwarudisha wala kubadili kiwanja maana at first hujui wamejipangaje. Huwenda nao wapo vizuri mfukoni wametaka tu kampaniStill bado wangegombana tu.
Jamaa alitakiwa waliweke sawa kabla ya kwenda walpopanga kwenda.
Angeomba dereva bolt awasubiri watete pembeni na baby wake angalau waende sehemu nafuu kwani kuwarudisha palepale nako asingeweza.
Kosa lilianzia kwa binti na jamaa naye kakosea vilevile
Nakutania kaka!!!!Mm nipo kawe!!!!Huyo dada nilikutana nae tagged!!!Simiyu sehemu gani hapo,Nyakabindi,old maswa,Bupandagila,sapiwi,mwadobana,ikungu lya bashashi,somanda,banemi,Nyawa,Lalago,mwakibuga au dutwa?
Hahaaaa halafu ukute ulimpakia mkongo, ukala karanga mbich/nazi/mihogo nk kisha ukajibusti na energy (read bull) hahaaaaaMimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja🤣🤣🤣🤣 kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia🤣🤣🤣🤣!!!!
Utakuwa mgeni bongo?Huwezi kuwarudisha wala kubadili kiwanja maana at first hujui wamejipangaje. Huwenda nao wapo vizuri mfukoni wametaka tu kampani
Bro kama ulikuepo vile🤣🤣🤣🤣🤣🤣We acha tuHahaaaa halafu ukute ulimpakia mkongo, ukala karanga mbich/nazi/mihogo nk kisha ukajibusti na energy (read bull) hahaaaaa
Kwanini hukusubiria aje ndipo ulipe?Nakutania kaka!!!!Mm nipo kawe!!!!Huyo dada nilikutana nae tagged!!!
sasa ulijiponyeshajeee manake genye mshindo nwomaaa sana?Bro kama ulikuepo vile🤣🤣🤣🤣🤣🤣We acha tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaka kenya ufala wa kulisha kijiji ulishaisha?????Hapa bongo eti tunaambiwa ndio ugentleman kakaUtakuwa mgeni bongo?
Unawajua dada zetu?
Wakiwa na mwanaume hata wakiwa nazo huwa wanaamini wewe mwanaume utalipia.
Bongo ngumu sana...hapo Kenya huwezi ona ufala huu wa kulisha kijiji