cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna manzi nilikuta zinashurutishwa kuacha simu zao bila shaka watakua ndio hao uliowatelekeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna manzi nilikuta zinashurutishwa kuacha simu zao bila shaka watakua ndio hao uliowatelekeza
Umefanya vzr Kama Ni Kweli umefanya hvyoWeekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Telegram kaka🤣🤣🤣🤣🤣sasa ulijiponyeshajeee manake genye mshindo nwomaaa sana?
Wanachuo utawaweza sasa? Ndo zao hizo. LolSielewi kwanini uitwe wewe uje na marafiki zako...tena bila kumwambia aliyekuita yaani unamfanyia sapraiz?
Huu ni utoto ila inategemea na mazingira mliyokutana na huyo main manzi
Mihemuko kaka!!!Kwa zile picha tagged nikaona niwahi kabisa room kwa maandalizi ya pre match🤣🤣🤣Kwanini hukusubiria aje ndipo ulipe?
Nishawahi pia kulipia ada na hostel na nikatoswa vile vile kaka🤣🤣🤣🤣Wanachuo utawaweza sasa? Ndo zao hizo. Lol
Dada wewe huwapigagi matukio ???Wanaume wenye hela za kusikilizia shida sana.nyumbani kwako watu watakula nyama mbili kweli?
Nikwambie ukweli;Kaka kenya ufala wa kulisha kijiji ulishaisha?????Hapa bongo eti tunaambiwa ndio ugentleman kaka
Kweli kaka wanaume wengi hatujiamini tunatumia pesa kuficha udhaifu wetu😎😎Nikwambie ukweli;
Wanaume wanaolisha kijiji ni wale hawajiamini bali wanatumia nguvu kubwa kujiaminisha kuwa wako juu..
Ninapokuhitaji binti tutoke out...is you only na sihitaji hata nzi akatishe karibu yetu.
Ishu sio tu kulisha kijiji bali ni privacy yetu, utulivu wetu na uhuru wetu.
Sasa mtu 4 hicho si kikao?
Poleeeeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nishawahi pia kulipia ada na hostel na nikatoswa vile vile kaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umefanya vzr mm nilifanyiwa hvyo hvyo sijui siku hzi wanaambiana ,mnk nilimfata hapo kimara akaniita akniambia nimkute kwake Kisha ghla Niko njia nane hapo bonjokwa Yuko ktk bar fln hapo nimeingia ndani Cha Kwanza akaanza kuagiza mizosi na kusema Ana njaa akaita rafika ake akasema nimnunulie chakula dah elf35 ikapotea nikasema nikakah hapa Hadi saa sita laki itapoteaa mnk walianza kunywa kwa sifaWeekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Unanicheekaa coca!!!🤣🤣🤣🤣Poa bhanaPoleeeeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mdada ana roho ngumu yule!!!Nimemlipia ada miaka mitatu na hela za matumizi na hosteli na bado nikapigwa chini wiki moja kabla amalize chuo😂😂😂😂😪😪😪Poleeeeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo unatakiwa uwaelimishe sasa, waambie mi nilimwita mmoja ndo nna bajet nae, wengine wasaidie utapowezaUtakuwa mgeni bongo?
Unawajua dada zetu?
Wakiwa na mwanaume hata wakiwa nazo huwa wanaamini wewe mwanaume utalipia.
Bongo ngumu sana...hapo Kenya huwezi ona ufala huu wa kulisha kijiji
Ulijuaje kama hawajamaliza ikiwa ww uliwatoroka acha uongo dogo.Weekend nilikutana na binti mmoja mrembo sana akasema anasoma IFM
Tukabadilishana namba,nikamwambia Jumapili jioni ajiandae nitamtoa out
Nikachukua bolt hadi Shaaban Robert Street chuoni kwa binti mida ya saa mbili.
Cha kushangaza akaja na wenzake watatu wananukia kama majini.
Safari ikaanza mpaka small planet Tabata.
Wakaagiza savana,mi nikaita mtu wa jikoni wakaagiza kila mtu msosi aupendao na mimi nikaagiza.
Tukaanza kula nikajifanya naongea na simu nikachukua bodaboda kitandani.
Asubuhi nikakuta matusi mengine mapya kabisa yaani sms za matusi zinapishana tu kwenye simu
Ofa nilikupa wewe Suraiya wewe unaniletea timu ya Twiga stars,
Kwanza sijui kama hao walikuwa binadamu au majini, binadamu wa kawaida amashindwa kumaliza samaki changu wa saizi ya kiganja?
Haha yaani badala ya kuwalisha uanze kuwapa semina?Ndo unatakiwa uwaelimishe sasa, waambie mi nilimwita mmoja ndo nna bajet nae, wengine wasaidie utapoweza
🤣🤣🤣Poleeeeeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]