Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

Kaka kenya ufala wa kulisha kijiji ulishaisha?????Hapa bongo eti tunaambiwa ndio ugentleman kaka
ni ufala sanaa aiseee...me nishawahi kuwakimbia hawa viumbe..tena nilichukua boda kabsa sikugeuka nyuma..na simu nikazima..maeneo flan hivi sinza pale... kesho yake niliwasha simu daah matusi ka yoote..text za kutia hasira
 
We jamaa unscomment km umekatwa kichwa,ni kwmb kama ulivyosema huyo mdada ambacho angetakiwa kufanya ni kukataa akimwambia mwandishi kuwa bado hayupo comfortable kutoka nae means jamaa angeendelea kubuy time huku wakiendelea kufahamiana zaid mpk pale huyo demu atakua tayari plus kutoa papuch kabsa,na sio kubeba raia kwenda kumjazia mshkaji huku akijua mwaliko kapewa yy pekee
 
Sasa Bolt ifm Hadi Tabata si ungewanunulia Serengeti light hapo hapo mjini ukawaachia ukaondoka zako...next time unamwambia njoo peke yako..
Huyo binti alifanya makusudi ya wazi kabsaa...akulazimishaye maili moja nendanaye mbili[emoji1787]
 
Hahahaha
 
S A F I S A N A. [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mademu wa Chuo sijui watu huwa mnawachukuliaje ila Hawa Ni moja ya mademu washamba Sana wengi hawana Exposure na Maisha na wengi wametoka mikoani .
Hapa Tz. Mademu classic Kama zuchu wa diamond wanahesabika Sana mtoa Mada upo sahihi sana
 
Mtoa mada Lete namba yako ya M-PESA nikutumie bando, umefanya vzr hujakosea chochote, huyo demu ndo mpumbavu, maana ukishajionyesha kuwa una pesa, ukiishiwa, hakuna demu atakayekusaidia, hata wkukupa kitobo, hakitakusaidia kulipa kodi.

Na mnaompinga mtoa mada, acheni kusapoti ujinga, mimi hata kama nina hela, siwezi kukubali upumbavu na utaahira kama huo.
 
Mimi sisitadu mmoja aliniambia nilipie kabisa room anakuja🀣🀣🀣🀣 kilichotokea na simu yake akazima mpaka kesho yake na chumba nishalipia🀣🀣🀣🀣!!!!
Mie huwa naset mabomu sehemu mbili. Ikiwa moja imegoma inakuja backup
 
Nondo nzito, ongeza sautiπŸ˜ƒπŸ’ͺ
 
π–€π–‘π–Žπ–™π–Žπ–˜π–π–† π–˜π–†π–“π–† π–’π–Ÿπ–†π–Ÿπ–Ž.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…