Nilidanganywa kuhusu honeymoon (fungate)

Nilidanganywa kuhusu honeymoon (fungate)

okay?
Screenshot_20240718-153817~2.jpg
 
☺️Wifi umepata
Karibu nyumbani,. Weka Account namba kwanza wakwe tuanze kazi,. Vipi una bodaboda wako au tukutafutie ki Passo kwanza??
Ratiba yako ya kula kwa siku ikoje?,. Tuna vitu tukuongezee???
Shopping unafanya mara ngapi kwa wiki tuongeze siku za outing??,. Je una bima ?? Au uliyonayo tuibadilishe ukiumwa utibiwe VIP??

Kama hadi hapo Dr Restart ataweza kushindana na sisi nataka nione😂😂
 
Karibu nyumbani,. Weka Account namba kwanza wakwe tuanze kazi,. Vipi una bodaboda wako au tukutafutie ki Passo kwanza??
Ratiba yako ya kula kwa siku ikoje?,. Tuna vitu tukuongezee???
Shopping unafanya mara ngapi kwa wiki tuongeze siku za outing??,. Je una bima ?? Au uliyonayo tuibadilishe ukiumwa utibiwe VIP??

Kama hadi hapo Dr Restart ataweza kushindana na sisi nataka nione😂😂
😂Weeeee!!! Mungu kasikiliza maombi yangu hadi jf nitapotea nitakua busy na mchuchu
 
Kwa hio ushatoboka vizuri sasa njia imetanuka au bado unataka misukumio ya nje ili hio njia itanuke vizuri asije mtoto akashindwa kupita ukaishia kuchezea Visu?
Njia Bado inaendelea kutanuliwa
 
Back
Top Bottom