Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tall, dark and handsome 🥰Mrefu au andunje?
☺️Wifi umepataTall, dark and handsome 🥰
Labda uje na ushahidi🤨,. Hivihivi hapana niachie ndege wangu😂Ohoooo.
Umekosea njia. Kwanza sealed haijulikani hata ilitolewa wapi. Na mtoaji hatunaye tena.
Hapo kuna dimbwi.
Achana naye.
Mimi nimetulia.Tulia daktaree nakutafutia mshangazi wako niachie huyu kigori tafadhali 🤓
Anang'ang'ania nimuwekee kitu. Na hela hana.Labda uje na ushahidi🤨,. Hivihivi hapana niachie ndege wangu😂
Ila sikuizi zinazibika so siwazi
That's true but if somebody else becomes more impactful in your life,Ila siku zote wa kwanza ni kwanza tu itabaki kua hivyo
Karibu nyumbani,. Weka Account namba kwanza wakwe tuanze kazi,. Vipi una bodaboda wako au tukutafutie ki Passo kwanza??☺️Wifi umepata
Mbona kama anatangaza biashara
Hahahaha amini kwamba m ni mgeniHuu mwandiko sio wa mwanamke mpya kwenye game 😀😀
😂Weeeee!!! Mungu kasikiliza maombi yangu hadi jf nitapotea nitakua busy na mchuchuKaribu nyumbani,. Weka Account namba kwanza wakwe tuanze kazi,. Vipi una bodaboda wako au tukutafutie ki Passo kwanza??
Ratiba yako ya kula kwa siku ikoje?,. Tuna vitu tukuongezee???
Shopping unafanya mara ngapi kwa wiki tuongeze siku za outing??,. Je una bima ?? Au uliyonayo tuibadilishe ukiumwa utibiwe VIP??
Kama hadi hapo Dr Restart ataweza kushindana na sisi nataka nione😂😂
Vizuri kama umeamua kunyoosha mikono juu😂😂🤓Mimi nimetulia.
Nenda naye.
Hahahaha tulipitiwa ...Hongera sana, kumbe mlinza na zinaa na ukaolewa kupata cheti mkaendeleza zinaa?
Kwa makubaliano ya kuniletea mshangazi.Vizuri kama umeamua kunyoosha mikono juu😂😂🤓
Sio pw Dada
Wewe taja tu bei namlipia wizo kama wizo☺️☺️,.Anang'ang'ania nimuwekee kitu. Na hela hana.
Mkopeshe aje nimkarabati. Usipeke aibu kwa kakayo.
Those kinds of families hupima potential brides hadi DNA and they 'll ask questions about your surname hahaaaa😂Weeeee!!! Mungu kasikiliza maombi yangu hadi jf nitapotea nitakua busy na mchuchu
Njia Bado inaendelea kutanuliwaKwa hio ushatoboka vizuri sasa njia imetanuka au bado unataka misukumio ya nje ili hio njia itanuke vizuri asije mtoto akashindwa kupita ukaishia kuchezea Visu?
Kua na amani,. Ushafika nyumbani shida zote tupa kuleee😘😂Weeeee!!! Mungu kasikiliza maombi yangu hadi jf nitapotea nitakua busy na mchuchu