Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #81
msaga sumu we muongo kweli kcmc nako hakuna mademuMuhas hakuna madem eeeh njoo kcmc uone madakari wa mioyo
kuna Mate wangu aliwahi liwa kichwa kwa mawazo.kama yako. amefika chuo ana bonge la mwondoko anajiita ''Makamongo'' bado tupo orientation yeye anaulizia jinsi ya kupata mademu.... mmamaeee semister ya kwanza tu akakamua GPA ya 0.1... chezea CoET wewe.... jamaa alisepa mazimaAisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe
Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania
Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi
Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Umepata mkopo umeanza mengine. Ulikotoka hawapo?Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe
Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania
Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi
Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Narudi kukwambia tena mimi sio msaga sumu. Ila watoto wapo hukumsaga sumu we muongo kweli kcmc nako hakuna mademu
wakati wa mitihani kuna mizuka ya jig jig kweli?ukiwa Mr A katika masomo watajisogeza wenyewe, na wakati wa mitihani wengine watalala chumbani kwako kabisa.
mechanical wewe piga punyeto tu.... au katafute dem CPEWatalalaje wakati sisi course tunayosoma kuna dem mmoja na tupo 56.Demu mwenyewe wa hovyoo course yenyewe ni Mech eng.
wapi nimeandika nimepata mkopo ?Umepata mkopo umeanza mengine. Ulikotoka hawapo?
Anaogopa kupewa za uso huyoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uliambiwa unaokota kama maembe tongoza dogo
Mkuu muhas wanatoa mechanical engineering?nipo muhas mkuu
Nasoma pharmacyMkuu muhas wanatoa mechanical engineering?
Nipe maujanja mkuuMkuu Acha uoga m mbona nawatafuna tuh