Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

subiri contena jipya mwakani litue.likishatua uchangamke mapema utawapata wengi tu ila mienzi 6 ikiisha ndo utawajua vizuri.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uliambiwa unaokota kama maembe tongoza dogo


Dogo kashindwa huko Sekondari kipindi hawajui kufua Vyupi, kuvaa mawigi na vimarashi viliwapitia kushoto. Leo anadhani Chuo watu wanaangalia Kidivishen chake cha mnato.

Miss chagga mwambie mdogo wako maji hufuata mkondo. Kama hana pesa, basi angalau apendeze bila kusahau Swaga na maneno matamu yasiyowakijaisha viumbe maua nyie.

Sasa mtu anakuja kupiga mayoe hata mechi haijaanza, Bado test hazijachanganya, Coursework hazisomi.

Msaidie dogo huyo
 
Hakuna kitu cha bure dunia ya sasa.
Ni lazima uhustler kukipata.
Hakuna mteremko, hustler hard,
Halafu mwanaume usililie cha kufanya tumia akili nyingi kupata unachotaka,
Aliekudanganya huenda alikuwa na hela au mvuto kwa wanawake wa chuo hivyo ilichangia kuwapata kwa urahisi. Na alivyokuambia wapo wanachuo wa bure ukatamani, na umekuta ndivyo sivyo.
Pole sana mkuu,
Akili za kuambiwa changanya na zako.

Just be smart, simple na uwe kimvuto, then tafuta pesa.
Am sure 6 months later rejesha majibu humu.

Hakuna kitu cha bure kwenye huu ulimwengu,
Ni lazima utolee jasho
Kukipata unachohitaji.
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko abao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
We si ndo ulilalamika jana hujui kutongoza? Au umeshafuzu?
 
Kama umechaguliwa chuo cha kata pole.

Nenda "chuo" haswa utawaona.
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Kijana kama huyu kupewa mkopo wa elimu ya juu ni hasara kwa taifa!
 
Mods,wekeni kitufe cha dislike.Mada za kipuuzi kama hizi hatuwezi kuzitendea haki bila hicho kitufe.
 
Back
Top Bottom