Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi[/QUOTE
 
Kipindi nipo Coet, Mechanical, madem karibia wote , walikuwa wanafanana na cc boys..

Yan sura kama za wajomba zao..
 
ukiwa Mr A katika masomo watajisogeza wenyewe, na wakati wa mitihani wengine watalala chumbani kwako kabisa.
Madam wacha weeee[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]


Daaah huyo kijana mama yake anajua mwanae anapiga na msuli kumbe anawaza mademu
 
Katika miaka mitatu niliokaa xhuo xikuwah kuwa na demu... unajua kwann? Mademu walio wengi wamekaa kimbuzi mbuzi yaan...
Afadhali huipatikani kwa hii ID tena pumbavu xhuo,xikuwah upuuz tu nenda China basi
 
Mie naiependa jf kwasaabab mabrother na masister hamuangushani moyo just ile kusapotiana nawakubali wkuu wa peni moyo madogo
 
Akili yangu imeshaathirika mkuu siwezi soma bila demu nilidanganywa nikifika chuo nitapata demu lakini mpaka sasa sijafanikiwa
Jombaa soma kwabidii ongoza masomo yote mademu watakuja tuu wakiomba uwapigishe pindi na ndoitakua nafasi nzur
 
Back
Top Bottom