Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe
Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania
Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi
Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi[/QUOTE
Usinikumbushe hayo majitu kwa kweli ni shida, duh..Hizo course za kushuka na Ma triple integral hakunaga watoto wazuri! Tulia tu mkuu, ukishamaliza mambo ya kuchora miumbo kwenye three dimension utawakuta tu mitaani!
Madam wacha weeee[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]ukiwa Mr A katika masomo watajisogeza wenyewe, na wakati wa mitihani wengine watalala chumbani kwako kabisa.
Afadhali huipatikani kwa hii ID tena pumbavu xhuo,xikuwah upuuz tu nenda China basiKatika miaka mitatu niliokaa xhuo xikuwah kuwa na demu... unajua kwann? Mademu walio wengi wamekaa kimbuzi mbuzi yaan...
Jombaa soma kwabidii ongoza masomo yote mademu watakuja tuu wakiomba uwapigishe pindi na ndoitakua nafasi nzurAkili yangu imeshaathirika mkuu siwezi soma bila demu nilidanganywa nikifika chuo nitapata demu lakini mpaka sasa sijafanikiwa