Nilidhani ukiingia mbuga ya wanyama Unaona wanyama kirahisi kumbe napo tabu tupu

Nilidhani ukiingia mbuga ya wanyama Unaona wanyama kirahisi kumbe napo tabu tupu

Hivi majuzi nilibahatika kufika Ngorongoro National Park eneo la Crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.

Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa muda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko, digidigi, punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, Simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!

Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!

Matarajio yangu nilidhani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.

Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Nenda zoo. Sijawahi kwenda Ngorongoro hivyo sijui kwa nini wanyama wa tabu kuonekana. Mimi nimewahi kwenda Serengeti na Ruaha Nationa Parks, niliona wanyama wote wakubwa tena kwa wingi, kasoro faru tu. Next time jaribu kwenda Ruaha, hutojutia.
 
Hivi majuzi nilibahatika kufika Ngorongoro National Park eneo la Crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.

Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa muda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko, digidigi, punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, Simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!

Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!

Matarajio yangu nilidhani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.

Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Ni kweli mkuu, same principal applies....
" Hata ukimvua nguo, sio rahisi kupata inshu! Kama hataki!"
 
Nenda burigi chato wamejaa tele hadi mabarabarani wamejipanga wanasubiri watalii
 
Mwenyewe niliambulia patupu Serengeti National park yaani kutoka getini hadi Seronera camp nikaambulia ngiri,nyati,zebra,swala, ostrich,twiga.

Hakuna big five yoyote niliona.
 
Hivi majuzi nilibahatika kufika Ngorongoro National Park eneo la Crater; nikitarajia kuona wanyama wakubwa kwa ufasaha kama inavyosimuliwa kwenye movie mbalimbali za wanyama.

Niseme kwa dhati kabisa baada ya kuzungushwa muda mrefu niliambulia kuona nyati, kiboko, digidigi, punda na ndege flamingo. Lakini Tembo nilioneshwa miguu tu walipokanyaga sikuwaona, Simba nao nilioneshwa kwa mbaali sana tena wawili tu wadogo kama mbwa, nikaoneshwa kichaka cha Faru wanamopenda kukaa lakini sikuona!

Kiufupi roho yangu haikuridhika kabisa bora ningeangalia movie tu!

Matarajio yangu nilidhani nitaona Faru, chui, twiga, Tembo na wanyama wengine kirahisi kumbe sio kazi rahisi kama nilivyotarajia.

Nifanyeje Next time ili niwaone wanyama kiufasaha kama tusimiliwavyo?
Kwahiyo umepigwa au?
 
Nenda zoo. Sijawahi kwenda Ngorongoro hivyo sijui kwa nini wanyama wa tabu kuonekana. Mimi nimewahi kwenda Serengeti na Ruaha Nationa Parks, niliona wanyama wote wakubwa tena kwa wingi, kasoro faru tu. Next time jaribu kwenda Ruaha, hutojutia.
Africa kuwa na zoo ni upungufu wa akili tunahitaji sanctuary tu kwa ajili ya wanyama ambao wako hatarini kupotea lakini sio zoo ama jela za wanyama.
 
Mkuu,utalii uko hivi! Kwanza uwe na muda wa kutosha,pili pochi angalau iwe nene kiasi,mambo ni hivi,unamwambia guide unapenda kuona mnyama yupi,yeye anajua muda na mahali sahihi wanapopatikana(japo wakati mwingine wanaweza wasiwepo)ila bado guide ana second option! Muda ni jambo muhimu sana kwa utalii! Mfano mimi napenda kuingia hifadhini mapema sana kabla ya magari mengine hayajaingia,advantage yake ni kuwa tutaanza kuwaona wanyama adimu kuanzia karibu tu kabla hata hatujaingia huko ndani ndani maana kabla magari hayajaanza kuvuruga pori wanyama wengi huwa wanapenda kuja barabarani au karibu na barabara,sasa ikiwa umeingia hifadhini saa sita na ukatembezwa mbio kama Mwenge hutaona raha ya utalii,na pia kama mlienda na magari kama ya shule au wafanyakazi(in large group)na kibali chenu kinaisha saa kumi na mbili,ukute na guide anayewaongoza ameshawasoma na kujua hii kazi nnayoifanya haina Tip lazima awakimbize kama Mwenge ili akatege mingo za maana!!! Mzungu aje kutoka ulaya kuja kumuona Twiga live halafu arudi kwao hajamwona? Jipange mkuu! Ikiwa hujashinda Bingo haina maana kuwa Bingo hainaga mshindi! Hukucheza vya kutosha!!
Yeah!...hii hoja ina mashiko.
 
Back
Top Bottom