Nilidondoshaga wallet bar. Sijui barmaid au mwanamke gani akaiokota, alichofanya Mungu anajua

Nilidondoshaga wallet bar. Sijui barmaid au mwanamke gani akaiokota, alichofanya Mungu anajua

Shida umrzidababisha mwenyewe lawama unampa mwingine.
Alieiokota ana kosa gani Hadi umkandie hivo,si ulevi wako?

Kuitupia kwenye dustbin labda aliona ndo sahihi maana vilivuobaki hakuona vina maana kwakezaidi ya pesa ndo aliona za maana.
Angeitupa mtaroni je?
Halafu tambia Kila mtu hufanya mambo kutokana na upeo wa kielimu na akili unapokomea,huyo aliona kwenye dustbin ndo sahihi na vuhela ndo muhimu.maybe hakujua aipeleke wapi hata polisi aliogopa,hata kuikabidhi kaunta baadae ungemgeuka kuwa ni mwizi kakuibia nk.

Lakini huyo dada wabank upeo na ufahamu wa mambo ulimtuma aende huko kupata info zako akufikishiie
Usimlaani baamedi
 
Member Kifulu kasema kaokota wallet, ina risiti za miamala, ni yako, tafuta uzi wake humu uwasiliane naye kama hiyo wallet ni yako
 
IMG_20250207_160353.jpg

Nimekaa naumiza sana kichwa
 
Kuna kijana wetu wa kazi ni muaminifu sana kupita maelezo
Nina tabia ya kutembea na cash tangu utotoni mpaka leo
Kuna wakati nasahau hela kwenye mifuko
Anarudisha zote na mimi huwa Nampa nusu
Sijui ka ata ona ila yule dada wa mama, huwa ana lisha wafanyakazi vyakula vilivyo lala.

Yaani chakula Cha leo asubui au mchana, una kuja kupewa kesho mchana au jioni.

kula nyama ana wauliza mna kulaga?, shit. Nisha sema mi asi nizoee.
 
Hapa ndo muelewe kuwa watu wanaopata Division zero ni halali wala hawaonewi kabisaaaa

wewe ulipata zero tangu drs la ooooo
 
Bar fulani pale Kinyerezi nilipita kupata moja moto

Baada ya kumaliza wallah sijalewa kivile, ilikuwa mifuko ya nyuma ya jeans yangu imelegea ikadondoka pale kwenye tent la tasker kuna kigiza.

Nikasepa, akapita nayo huyo aidha barmaid au mwanamke kwa sababu iliokotwa kwenye dust bin chooni kwa kwa wanawake.

Huyu dada aliyeitoa kwenye lile bin la toilet akaichukua akachukua kitambulisho cha NMB wakasearch namba ya simu pale benk akanipigia dah ...

Dada wa benk: wewe ndio 'dorge'
Mimi: ni mimi dada nani mwenzangu?
Dada wa benk: ...nimeokota wallet yako ( )
Mimi: Wapi?


Yaani nilichoka kabisa.
Kwanza nikahisi ni tapeli, nilivuta punzi nyingi na kuitoa.

Mama: Dada nikukute wapi?
Dada: .........

Akanielekeza....nikaenda kuipokea.

Mimi nilijitambulisha nikamdanganya maana nilikuwa na aibu za kiume.
Dada akaniambia anafanya kazi benk lkn nahisi alinidanganya kwa sababu namuonaga amevaa kipolisipolisi. Kwa harakaharaka nimehisi barmaid wengine walevi wana roho mbaya sana. Kama amechukua pesa why aitupe kwa dustbin. Utagundua roho mbaya ya huyu barmaid inamfanya aendelee kuishi bar na kuishia kushikwa mataco. Huyu dada wa benk au polisi sijui alivyo kiuchumi unaona kabisa wema unalipa.

Dada nakushukuru sana hadi leo.

Mytake. Huyu dada ana gari kali sana. Wema wake Mwenyezi Mungu anamuongoza. Jamani tujitahidi kutenda

Bar fulani pale Kinyerezi nilipita kupata moja moto

Baada ya kumaliza wallah sijalewa kivile, ilikuwa mifuko ya nyuma ya jeans yangu imelegea ikadondoka pale kwenye tent la tasker kuna kigiza.

Nikasepa, akapita nayo huyo aidha barmaid au mwanamke kwa sababu iliokotwa kwenye dust bin chooni kwa kwa wanawake.

Huyu dada aliyeitoa kwenye lile bin la toilet akaichukua akachukua kitambulisho cha NMB wakasearch namba ya simu pale benk akanipigia dah ...

Dada wa benk: wewe ndio 'dorge'
Mimi: ni mimi dada nani mwenzangu?
Dada wa benk: ...nimeokota wallet yako ( )
Mimi: Wapi?


Yaani nilichoka kabisa.
Kwanza nikahisi ni tapeli, nilivuta punzi nyingi na kuitoa.

Mama: Dada nikukute wapi?
Dada: .........

Akanielekeza....nikaenda kuipokea.

Mimi nilijitambulisha nikamdanganya maana nilikuwa na aibu za kiume.
Dada akaniambia anafanya kazi benk lkn nahisi alinidanganya kwa sababu namuonaga amevaa kipolisipolisi. Kwa harakaharaka nimehisi barmaid wengine walevi wana roho mbaya sana. Kama amechukua pesa why aitupe kwa dustbin. Utagundua roho mbaya ya huyu barmaid inamfanya aendelee kuishi bar na kuishia kushikwa mataco. Huyu dada wa benk au polisi sijui alivyo kiuchumi unaona kabisa wema unalipa.

Dada nakushukuru sana hadi leo.

Mytake. Huyu dada ana gari kali sana. Wema wake Mwenyezi Mungu anamuongoza. Jamani tujitahidi kutenda wema
Dustbin hizihizi wanazowekaga yale mambo yao?! Aisee...
 
Bar fulani pale Kinyerezi nilipita kupata moja moto

Baada ya kumaliza wallah sijalewa kivile, ilikuwa mifuko ya nyuma ya jeans yangu imelegea ikadondoka pale kwenye tent la tasker kuna kigiza.

Nikasepa, akapita nayo huyo aidha barmaid au mwanamke kwa sababu iliokotwa kwenye dust bin chooni kwa kwa wanawake.

Huyu dada aliyeitoa kwenye lile bin la toilet akaichukua akachukua kitambulisho cha NMB wakasearch namba ya simu pale benk akanipigia dah ...

Dada wa benk: wewe ndio 'dorge'
Mimi: ni mimi dada nani mwenzangu?
Dada wa benk: ...nimeokota wallet yako ( )
Mimi: Wapi?


Yaani nilichoka kabisa.
Kwanza nikahisi ni tapeli, nilivuta punzi nyingi na kuitoa.

Mimi: Dada nikukute wapi?
Dada: .........

Akanielekeza....nikaenda kuipokea.

Mimi nilijitambulisha nikamdanganya maana nilikuwa na aibu za kiume.
Dada akaniambia anafanya kazi benk lkn nahisi alinidanganya kwa sababu namuonaga amevaa kipolisipolisi. Kwa harakaharaka nimehisi barmaid wengine walevi wana roho mbaya sana. Kama amechukua pesa why aitupe kwa dustbin. Utagundua roho mbaya ya huyu barmaid inamfanya aendelee kuishi bar na kuishia kushikwa mataco. Huyu dada wa benk au polisi sijui alivyo kiuchumi unaona kabisa wema unalipa.

Dada nakushukuru sana hadi leo.

Mytake. Huyu dada ana gari kali sana. Wema wake Mwenyezi Mungu anamuongoza. Jamani tujitahidi kutenda wema
Tatizo bange mnachanganya na Mav!
 
Kesi za wanaume kudondosha wallet zimekuwa nyingi mno.... Pengine mavazi yanachangia, ama tukiwa bar zinashinda juu ya meza.
 
Back
Top Bottom