Nilienda ukweni wakidhani sijui lugha yao wakaanza kuniteta, nikaamua kumuacha binti yao

Nilienda ukweni wakidhani sijui lugha yao wakaanza kuniteta, nikaamua kumuacha binti yao

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.

Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!

Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao
 
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa Sana na kabila Y

Sasa nilipata binti WA kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama take,nikajitambulisha kina na kabila langu,wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi Kwa lugha Yao mara ogu no mnyamahanga Mara akasigazi kagufu tikeine impia mara nikasana muhutu.
Mkuu mdukuzi huenda hukumpenda kwa dhati huyo mrembo, laiti ungekuwa umempenda usingejali maneno yao.

Wenzio kuna Wanawake tumekuwa nao kwenye mahusiano ingawa ndugu zetu/zao hawakutaka kabisa lakini tuna hesabu miaka tupo pamoja.

Muhimu angalieni kama mnapendana kwa dhati.
 
 
Mkuu mdukuzi huenda hukumpenda kwa dhati huyo mrembo, laiti ungekuwa umempenda usingejali maneno yao.

Wenzio kuna Wanawake tumekuwa nao kwenye mahusiano ingawa ndugu zetu/zao hawakutaka kabisa lakini tuna hesabu miaka tupo pamoja.

Muhimu angalieni kama mnapendana kwa dhati.
Mimi wakufananishwa na muhutu?walisema kabila letu wavivu binti yao atakufa njaa mara tutazaa watoto wafupi,washenzi Sana wale wakwe
 
Kwenye kabila lako hakuna wanawake??
Vijana wa siku ni wa hovyo hivi wazee wetu walivo oa kabila lao mnawaona wajinga sio?

Acha utukanwe na mimi nawaunga mkono tukanwa kabsaaa pumbavu mkubwa wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi sio kijana Hilo ni tukio la miaka 25 iliyopita
 
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.

Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!

Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao
Kwani wewe ni mfupi mkuu???

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mdukuzi huenda hukumpenda kwa dhati huyo mrembo, laiti ungekuwa umempenda usingejali maneno yao.

Wenzio kuna Wanawake tumekuwa nao kwenye mahusiano ingawa ndugu zetu/zao hawakutaka kabisa lakini tuna hesabu miaka tupo pamoja.

Muhimu angalieni kama mnapendana kwa dhati.
Kabla ya kuoa ni lazima uangalie vitu kama hivyo ambavyo mdukuzi alikutana navyo. Hiyo ndiyo maana ya kuchunguzana, lazima ujue unapokewaje na wana tabia gani. Kuchunguzana tabia huwa jaimaanishi kujua ex wake alikua nani.
Huwezi ukaona mambo kama hayo halafu ujitie ununda na ukichwa maji kwa kujidanganya eti mnapendana
 
Back
Top Bottom