Nilienda ukweni wakidhani sijui lugha yao wakaanza kuniteta, nikaamua kumuacha binti yao

Nilienda ukweni wakidhani sijui lugha yao wakaanza kuniteta, nikaamua kumuacha binti yao

Kuna mtu nae ishatokea

Aliitwa kikao Cha usuluhiahi wakaanza kuongea kilugha jamaa Yuko hapo hapo.

Akona wapumbavu akawasha ndinga akasepa

Mbona wakimtafuta wenyewe wakamuomba msamaha tena walimfuata kwake.

Kuna makabila Yana mambo ya kishamba sana
 
Kuna mtu nae ishatokea

Aliitwa kikao Cha usuluhiahi wakaanza kuongea kilugha jamaa Yuko hapo hapo.

Akona wapumbavu akawasha ndinga akasepa

Mbona wakimtafuta wenyewe wakamuomba msamaha tena walimfuata kwake.

Kuna makabila Yana mambo ya kishamba sana
Kuna makabila mengine hupenda sana kuteta watu, hawajui kama kibantu tuna vitu tunachangia, mie nikikaa na watu wanaoongea mara kwa mara nanasa mapema sana
 
Mimi wakufananishwa na muhutu?walisema kabila letu wavivu binti yao atakufa njaa mara tutazaa watoto wafupi,washenzi Sana wale wakwe

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Asa Kama kweli wasiseme

Ila huo ni utani tu walikuwa wanamtania mtoto wao

Nakumbuka dada kipindi anaolewa walikuja kutoa mahari tumuona Shemeji kwa mara ya kwanza mama akawa kila akitoka nnje akinikutaa ni kusema tumeletewa mkwe gani huyu kimbaumbau mweusii kama rami [emoji23][emoji23][emoji23]

Tunashukuru wameoana na wana watoto wazuri na shemejii ana roho nzuri ndio tukagundua kumbe sura sio roho [emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Asa Kama kweli wasiseme

Ila huo ni utani tu walikuwa wanamtania mtoto wao

Nakumbuka dada kipindi anaolewa walikuja kutoa mahari tumuona Shemeji kwa mara ya kwanza mama akawa kila akitoka nnje akinikutaa ni kusema tumeletewa mkwe gani huyu kimbaumbau mweusii kama rami [emoji23][emoji23][emoji23]

Tunashukuru wameoana na wana watoto wazuri na shemejii ana roho nzuri ndio tukagundua kumbe sura sio roho [emoji1787]
Ila wakwe Bwana Wana Mambo sana
 
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.

Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!

Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao
Ni Maamuzi ya kiume hayo. Japo magumu
 
Mkuu mdukuzi huenda hukumpenda kwa dhati huyo mrembo, laiti ungekuwa umempenda usingejali maneno yao.

Wenzio kuna Wanawake tumekuwa nao kwenye mahusiano ingawa ndugu zetu/zao hawakutaka kabisa lakini tuna hesabu miaka tupo pamoja.

Muhimu angalieni kama mnapendana kwa dhati.
Safi
 
Kwenye kabila lako hakuna wanawake??
Vijana wa siku ni wa hovyo hivi wazee wetu walivo oa kabila lao mnawaona wajinga sio?

Acha utukanwe na mimi nawaunga mkono tukanwa kabsaaa pumbavu mkubwa wewe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
We jamaa wa ajabu sana, kwa hiyo kila mtu aoe kabila lake? Wote tukioa makabila yetu tutafika kweli?

Watu tunataka kuchanganya genes, damu tofauti tofauti wewe umekalia 'kabila langu'
 
We jamaa wa ajabu sana, kwa hiyo kila mtu aoe kabila lake? Wote tukioa makabila yetu tutafika kweli?

Watu tunataka kuchanganya genes, damu tofauti tofauti wewe umekalia 'kabila langu'
Pambana na hali yako mzee baba achana na Mimi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.

Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!

Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao
Watu tumeeenda kuoa mbeya tukaitwa chinja chinja, wanywa damu za watu.... mama mkwe analia mashangazi wanalia kwamba binti yao anaenda kunyonywa damu lakini tulikomaa na binti mpaka ndoa.

Na sasa mama mkwe na mashangazi wanayasimulia Makuu ya Mungu juu ya ndoa yetu...
 
Back
Top Bottom