Nilienda ukweni wakidhani sijui lugha yao wakaanza kuniteta, nikaamua kumuacha binti yao

Nilienda ukweni wakidhani sijui lugha yao wakaanza kuniteta, nikaamua kumuacha binti yao

Watu tumeeenda kuoa mbeya tukaitwa chinja chinja, wanywa damu za watu.... mama mkwe analia mashangazi wanalia kwamba binti yao anaenda kunyonywa damu lakini tulikomaa na binti mpaka ndoa.

Na sasa mama mkwe na mashangazi wanayasimulia Makuu ya Mungu juu ya ndoa yetu...
Ole wako binti yao apatwe na Baya watahisi ni wewe
 
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.

Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!

Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao
Ulakoze!
 
Mtie mimba ndio umuache ili uongeze singo maza ktk ukoo wao...
 
Tupe dondoo hizo..walkua wanakusema nn?? [emoji3][emoji3]
 
Kabisa letu niliite kabila X linadharauliwa sana na kabila Y. Sasa nilipata binti wa kabila Y akaniambia kabla ya yote niende kwao kumsalimia mama yake.

Nilienda na nikajitambulisha jina na kabila langu, wakaanza kuniteta wajomba na mashangazi kwa lugha yao!

Yalikuwa masimango mabaya nikamtosa binti yao

Hata ingekuwa mm nisingekubali binti yangu aolewe na kabila lako Maana ni wavivu, ni omba omba Kwa asili yenu, m1 akifanikiwa kidogo tu ukoo Mzima unahamia kwake.
 
Back
Top Bottom