Nilienda ukweni wakidhani sijui lugha yao wakaanza kuniteta, nikaamua kumuacha binti yao

Pana wanaume watatu mbele Yao katangulia binti wakaanza kuongea kilugha wakimsema binti kuhusu mambo ya ngono kwamba huyu anafaa kwa staili hii,Mara huyu hivi na hivi misemo yote ya kingono,binti kawasikiliza wanatembea uelekeo mmoja kama dakika 20 binti anasikia yote sababu ni kabila lao,binti akageuka akaongea nao akawaambia yaani Mimi ndio mnaniongelea haya.
Kwa aibu Kila mmoja akaenda njia yake.
Mikoani Sio pa kuongea kilugha hasa kumtetq mtu
 
Mimi wakufananishwa na muhutu?walisema kabila letu wavivu binti yao atakufa njaa mara tutazaa watoto wafupi,washenzi Sana wale wakwe
Huenda walikuwa wanasema hivyo ili kukutia hasira ya kuzidi kutafuta hela.

Huoni saivi unavyoenda Ukweni na hiyo Vanguard yako wanavyojisikia raha kuikwea (Joking) 😅
 
Ni kweli Mkuu, kuna vitu vinakuwa minors hivyo sio muhimu kuvizingatia sana.

Wanasema "Ukipenda Chongo huita Kengeza"
 
Chai
 
Haya tufundishe mwenzetu jinsi yakupenda maana nachojua mimi mwanaume hajui kupenda... Mwanaume anasema leo anampenda binti flani kesho akijua single mom au malaya hataki hata kuona sura yake.. Mtu huyu amejifunza wapi kupenda??I wonder

Wewe unawezaje mwenzetu????

Hata ningekuwa mimi naacha binti yao siku hiyo hiyo silazimishi undugu Wala sioi kwenye koo za ambao sio wastaarabu..

Nani wakuendeleza kizazi Cha wajinga ...

Kama hao ndo ndugu zake wameshindwa kisubiri ht mgeni aondoke basi siwataki wao na yeye mwenyewe
 
Inaonekana Mkuu tangu umeanza kudate umeshakuwa na Wanawake zaidi ya 20.

Ukifikia stage hiyo inakuwia vigumu kupenda, but trust me Mwanaume anapenda.

Mimi nimewahi kupenda hadi siku nilipoumizwa ndiyo nikawa napenda kwa kiasi.

==========

Bottom line ni kuwa ukipenda mtu inafikia wakati huwezi kuona hizo kasoro ndogo ndogo.
 
huna akili hao ndugu unawaoa wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…