mediaman
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 451
- 688
- Thread starter
- #321
Kweli kwa jinsi alivyohangaika atamfanya "mungu" wake hapo ndo balaa linapoanzia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kwa jinsi alivyohangaika atamfanya "mungu" wake hapo ndo balaa linapoanzia.
Mtoto huyo anafanana na mimi sana. Unaweza kumficha mwanadamu lakini huwezi kumficha Mungu. Na mtu akiwa na uhusiano wa karibu na Mungu, Mungu anamfunulia mambo yaliyofichika. Kama huwa unasoma Biblia kumbuka Petro alivyofunuliwa jambo walilokuwa wameficha Anania na mkewe Safira.Kuna Mtu yupo Amejaamiiana mara moja kwa Kificho na mimba ikaja na ni mtoto wa kiume; Kukuelewa kwamba uliomba Mungu akakupa inakuwa ngumu sana. All in all Hongera sana.
Ukisoma hii thread kwa macho manne, utagundua kuwa kuzaa watoto wa kike au kiume tu sio dhambi wala sio laana. Ila furaha ya wanandoa wengi huwa timilifu wanapopata watoto wa kiume na wa kike.Ukisoma hii thread utasema kuzaa mtoto wa kiume ni dhambi na laana.
Sioni sababu ya Dislike button. Thread title kama naona haina mashiko, sina haja ya kusoma content. Mtu akiamua kusoma content ni wazi title imemvutia. Hivyo wanaogonga likes wako sahihi kabisa.Basi iwekwe option ya watu ku-dislike ili ujumbe uende kwa wahusika,haileti maana naandika ujinga halafu nipewe likes kwa hivi nitazidi kuonyesha ujinga wangu maana najua wapo wanaokubaliana na mimi.
Mods tunaomba hiki kitu,DISLIKE BUTTON iwepo.
Cc:invisible
Kufadhaika sio kudharau. Au TUKI inasemaje?Kwanini ufadhaike kwa kuwa na watoto wa kike? Kumbuka bila mama yako labda usingekuwepo duniani na bila mkeo usingeitwa Baba. Tuache tabia ya kudharau watoto wa kike nao wana mchango wao mkubwa na wa maana sana katika jamii zetu.
Moyo wa mtu ni kichaka na umejawa na mambo mengi. Pengine huyo anayesema watoto wote ni sawa hana mtoto hata mmoja au pengine ndo anaye mmoja so hajajua ya mbeleni.Watoto wote ni wazuri na ni baraka kuwa nao na mtu huona furaha zaid akichanganya jinsia hata kama wakiwa ratio ya wanne kwa mmja ilimradi amechanganya jinsia.Na Mungu huwa anajibu kwa kukupa unachomuomba kama umemuomba kwa imani na kama mnaishi kwa kumlingana Mungu.haina haja ya kuongea sana....time will tellUkisoma hii thread kwa macho manne, utagundua kuwa kuzaa watoto wa kike au kiume tu sio dhambi wala sio laana. Ila furaha ya wanandoa wengi huwa timilifu wanapopata watoto wa kiume na wa kike.
Naam, umenena vemaMoyo wa mtu ni kichaka na umejawa na mambo mengi. Pengine huyo anayesema watoto wote ni sawa hana mtoto hata mmoja au pengine ndo anaye mmoja so hajajua ya mbeleni.Watoto wote ni wazuri na ni baraka kuwa nao na mtu huona furaha zaid akichanganya jinsia hata kama wakiwa ratio ya wanne kwa mmja ilimradi amechanganya jinsia.Na Mungu huwa anajibu kwa kukupa unachomuomba kama umemuomba kwa imani na kama mnaishi kwa kumlingana Mungu.haina haja ya kuongea sana....time will tell
Dah, umeona mbali, mkuuKupata watoto jinsia moja hupelekea ndoa kuwa na idadi kubwa ya watoto. Mfano hapa ninapoishi familia moja ilifikisha watoto kumi na moja wa kiume tu. Katika kutafuta Mtoto wa kike yule mama alibeba mimba mara ya 12, alipojifungua alipata mapacha wawili, wote wa kike.
Bora kuchanganya jinsia zote. Maana kama ni wakike wote wakikuwa na kuolewa basi kwako kunakuwa hakuna wakurithi. Na wakiwa wakiume kwa mfano Mama umekuwa Mzee/ ukaumwa Mtoto wa kiume hawezi kumtunza Mama kama anavyotunzwa na Mtoto wa kike.(pia kinyume chake kwa Baba).
Wale wanaosema watoto ni watoto hawajawahi ona jinsi mwisho wa uzee unavyokuwa mbaya hasa ukiwa na watoto wa jinsia moja tu.
Ndugu zangu, Mungu hana upendeleo, alisikia maombi yangu na kutupatia mtoto wa kiume. Kinachotakiwa tu ni kuhakikisha mahusiano yetu na Mungu ni mazuri na kuomba kwa imani, pasipo shaka.
Kwetu sisi tunaomwamini Yesu, tunajua huu ni wakati wa Agano Jipya. Hivyo ndoa inapaswa kuwa ya mme mmoja na mke mmoja tu hadi kifo kiwatenganishe.shauri mkeo hali inapokuwa siyo asikubane kivileeeeeeeeeee! Anaweza kuwa Sara kwa muda haidhuru
Mhh maneno magumu!![emoji849]Nakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!
You are right bro, if not sister! Duniani kuna mifadhaiko mingi. Kuna batu wanafadhaika kula wali na nyama kila siku wakati wengine wanatamani wapate uji wa chunvi.Dunia ina mambo! Wakati ww unafadhaika kupata mtoto wakike wengine wanatamani waone mimba inafananaje