Nilifanya hivi kwa mpenzi mwenye tamaa, je, ni sahihi?

Nilifanya hivi kwa mpenzi mwenye tamaa, je, ni sahihi?

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Uyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa

Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu

Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
 
Uyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa

Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu

Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
Gentleman,
wote bado hamjafanikiwa kupata ajira right?🐒
 
Uyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa

Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu

Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
Mko watoto bado
 
kaoshe chululu totoo ukalale. mkikua mtaelewa tu haya mambo yanavyotakiwa kwenda
 
Back
Top Bottom