Wewe ni mpumbavuUyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa
Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu
Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
Baada ya kutumia nguvu na akili kuboresha maisha yako ili umpate Malaya yeyote yule unayemtaka.
Wewe upon busy kushindana na huyo Malaya,...........
Someone somewhere Kuna fierce guy anawork hard 100X you,aje amfi.re huyo Malaya wako