Nilifanya hivi kwa mpenzi mwenye tamaa, je, ni sahihi?

Nilifanya hivi kwa mpenzi mwenye tamaa, je, ni sahihi?

Uyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa

Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu

Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
Wewe ni mpumbavu
Baada ya kutumia nguvu na akili kuboresha maisha yako ili umpate Malaya yeyote yule unayemtaka.
Wewe upon busy kushindana na huyo Malaya,...........
Someone somewhere Kuna fierce guy anawork hard 100X you,aje amfi.re huyo Malaya wako
 
Uyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa

Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu

Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
Thead ya kijinga sana.
 
Huu Uzi umedhihirisha 90% ya watanzania
Ni machawa na watu wapenda ngono
Aliechangia wa kwanza amewafanya wote watoe comments za kufanana huenda sababu kuna wengine Wana takana kimapenzi mtu ana comments ili kumfrahisha CRUSH wake

CCM ITATAWALA SANA WACHANGIAJI WA HUMU NI NYUMBU HASWA
 
Wewe ni mpumbavu
Baada ya kutumia nguvu na akili kuboresha maisha yako ili umpate Malaya yeyote yule unayemtaka.
Wewe upon busy kushindana na huyo Malaya,...........
Someone somewhere Kuna fierce guy anawork hard 100X you,aje amfi.re huyo Malaya wako
Tafuta Malaya wewe Mimi sitaki Malaya

Freedom is being comfortable of being disliked
 
Uyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa

Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu

Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
Hapo kwenye kutembea hapo hata mimi sipendi 😅😅😅😅 ila kusifia madem mbele yake huo ni udhaifu kiwango cha kimataifa 🙌🏼🙌🏼🙌🏼😅😅😅
 
Umekosea Sana hutakiwi kushindana na mtoto wa kike
 
Huu Uzi umedhihirisha 90% ya watanzania
Ni machawa na watu wapenda ngono
Aliechangia wa kwanza amewafanya wote watoe comments za kufanana huenda sababu kuna wengine Wana takana kimapenzi mtu ana comments ili kumfrahisha CRUSH wake

CCM ITATAWALA SANA WACHANGIAJI WA HUMU NI NYUMBU HASWA
Sio kweli.
Tatizo inawezekana umewasilisha vibaya uzi wako umejieleza kitoto sana, yaani picha niliyopata mimi ni kama wewe na dem wako mpo form two.
 
Kwa nini akili yako umeiweka kwenye ajira? Walau ungeuliza kama wote hawana shughuli za kuwaingizia kipato, gentleman bado unahaha na ajira?🤣
nimeshangazwa na huo muda wa kufanya hayo yote wanautoa wapi hali ya kua kuna mambo mengi sana muhimu ya kufanya na kujiingizia kipato.

halafu,
usafiri wa bodaboda ni hatari labda iwe dharura tu 🐒
 
Huu Uzi umedhihirisha 90% ya watanzania
Ni machawa na watu wapenda ngono
Aliechangia wa kwanza amewafanya wote watoe comments za kufanana huenda sababu kuna wengine Wana takana kimapenzi mtu ana comments ili kumfrahisha CRUSH wake

CCM ITATAWALA SANA WACHANGIAJI WA HUMU NI NYUMBU HASWA
Sasa kama mada n ya kipumbavu tusiseme kisa aliyecomment wa kwanza amesema n mada ya kipumbavu?
 
Uyu demu ni material oriented
Kuna siku tunaenda nae sehemu Kwa kutembea tumepanga twende Kwa mguu nilikuwa namsindikiza unfortunately akatokea boda akapanda wakasepa

Na Huwa namjali kumhudumia nilijisikia vibaya mno
Nikaanza kuwa Kila nikimuona demu mzuri kumzidi tukiwa nae demu wangu namsifia na namsalimia mbele yake bila aibu

Sasa Jana iyo tabia ikamkera akaanza kupiga makelele nilichofanya nikamkumbushia Ile siku then nikasepa sikuongea nae nikarudi gheto je apo nilikosea kitu?
Umekosea sana, kitendo alichokufanyia alikuonesha rangi yake halisi sasa ulipaswa ku remain calm afu ufanye maamuzi ya kiume ila sio kushindana nae.
Hata huyo manzi unamsifia ukiwa na demu ako si anakudharau sema tu hawezi kukwambia.
 
Pipa na mfuniko, nachelea kukwambia bwanamdogo wahi hospitali, usisite kumshawishi na demu wako. Nyote mna tatizo la akili.
 
Back
Top Bottom