Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Huyo itakuwa ni "ke"....mwanaume hatumii neno mpenzi hata cku moja ni "demu" tuuu.
Kabisa mkuu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Inamaana wanajipendekeza eeh
mwanamke hang'ang'aniwi kula zako kona mzee.mimi ni mwanaume.
ndugu zangu hamjambo?
jamani nina mpenzi tumedumu muda sana tu na tumepitia vipindi tofauti yani ups and down.
kuna kipindi tulikosana na mimi nikajitahidi kumuelewesha lakini akawa hataki hata kunisikia ila nikamchunguza nikagundua pia hana mtu.
sasa nikaamua kuwashirikisha ndugu zake ili watuweke sawa lakini mwenzangu akawa kakasirika zaidi eti kwa nini ndugu zake nimewaambia me nimekua nikimjibu tu ni mapenzi yako kwako na siko tayari kukupoteza.ndugu zake wametusuhulisha lkn mwenzangu kila tukipishana kauli basi anaanza kunikumbushia kuhusu hiyo ishu ya kuwaambia ndugu zake anaenda mbali mpaka anasema me nimejipeleka kwao.nashindwa kumuelewa ana tatizo gani kwani ndugu wakijua kuwa tunadate ni kosa kubwa la hadi mtu kuliweka moyoni.
naomba mawazo yenu nifanyeje na huyu mtu jamani sababu imekua too much.
Huyu atakuwa kagegeda nje. Ndiyo maana hataki kusema hilo kosa.Inategemea na uzito wa kosa. Wengine ni ngumu sana kusamehe...
Labda braza ungetueleza kosa lilikuwa ni lipi ili tujue pa kuanzia?
Hakuna mapenzi hapo ndugu tuliza nafasi ufanye mambo yako....The ryt one will come for youndugu zangu hamjambo?
jamani nina mpenzi tumedumu muda sana tu na tumepitia vipindi tofauti yani ups and down.
kuna kipindi tulikosana na mimi nikajitahidi kumuelewesha lakini akawa hataki hata kunisikia ila nikamchunguza nikagundua pia hana mtu.
sasa nikaamua kuwashirikisha ndugu zake ili watuweke sawa lakini mwenzangu akawa kakasirika zaidi eti kwa nini ndugu zake nimewaambia me nimekua nikimjibu tu ni mapenzi yako kwako na siko tayari kukupoteza.ndugu zake wametusuhulisha lkn mwenzangu kila tukipishana kauli basi anaanza kunikumbushia kuhusu hiyo ishu ya kuwaambia ndugu zake anaenda mbali mpaka anasema me nimejipeleka kwao.nashindwa kumuelewa ana tatizo gani kwani ndugu wakijua kuwa tunadate ni kosa kubwa la hadi mtu kuliweka moyoni.
naomba mawazo yenu nifanyeje na huyu mtu jamani sababu imekua too much.