Nilifanya kosa ndio lakini mwenzangu amegoma kunisamehe, nifanyaje?

Nilifanya kosa ndio lakini mwenzangu amegoma kunisamehe, nifanyaje?

Huyo alikutafutia sababu keshapata,yaani hakutaki...acha kuumiza kichwa!
 
ndugu zangu hamjambo?
jamani nina mpenzi tumedumu muda sana tu na tumepitia vipindi tofauti yani ups and down.
kuna kipindi tulikosana na mimi nikajitahidi kumuelewesha lakini akawa hataki hata kunisikia ila nikamchunguza nikagundua pia hana mtu.
sasa nikaamua kuwashirikisha ndugu zake ili watuweke sawa lakini mwenzangu akawa kakasirika zaidi eti kwa nini ndugu zake nimewaambia me nimekua nikimjibu tu ni mapenzi yako kwako na siko tayari kukupoteza.ndugu zake wametusuhulisha lkn mwenzangu kila tukipishana kauli basi anaanza kunikumbushia kuhusu hiyo ishu ya kuwaambia ndugu zake anaenda mbali mpaka anasema me nimejipeleka kwao.nashindwa kumuelewa ana tatizo gani kwani ndugu wakijua kuwa tunadate ni kosa kubwa la hadi mtu kuliweka moyoni.
naomba mawazo yenu nifanyeje na huyu mtu jamani sababu imekua too much.
We ni mme au mke.. Nijibu hili kwanza ndo nikushaur..
 
Kwa kuwa umesema we Kidume..
Ngoja nikujibu kiume. "Brother kitendo cha kwenda kwa ndugu wa demu ilhali we ni mpnz tu ni udhaifu Bro.. As a man we face our challenge to the fullest kabla ya kuyapeleka nje.. Ulikuwa unatakiwa umfuate kusuluhisha mara nyingi uwezavyo kabla ya kutafta msaada nje.
Intelligence guess zangu ni zifuatazo
Moja, ndugu waliokusuluhisha baada ya kuondoka umejilizaliza walikubeza na mbele ya demu wako.. Hivyo ukapoteza point.. Remind u Wanawake wanapenda Wanaume wanaomaintain intergrate zao.

Pili.. Demu wako kitendo cha kujipeleka kwa ndugu bila kutambulishwa rasmi kimemboa.. Coz inaonekana bado anakuona umepungukiwa vitu... Msimamo... Pesa.. Na utashi kama mtot wa kiume. Umeonyesha akili za kitoto katka kusolve ishu.. Tena ukizingatia we ndo umekosea.
Tatu. Amka jikungute mavumbi.. Katafte hela... Tafuta hela... Endelea tu kutafta hela..
Halafu watu ka demu wako watakuwa wanakutafta
Maana Utakuwa umeprove Umekua sasa.
 
Jamani hilo tatizo hata mie limenitokea,,, mm nimempa binti mwingine mimba ndilo kosa langu,,,, ss ni mwez wa sita mpnz hataki kunisamehe cha ajabu akiwa na shida ananitafuta,,,,, kabla ya mgogoro huo tulikuwa vzr tu,,,, ss nifanyeje
 
Jamani hilo tatizo hata mie limenitokea,,, mm nimempa binti mwingine mimba ndilo kosa langu,,,, ss ni mwez wa sita mpnz hataki kunisamehe cha ajabu akiwa na shida ananitafuta,,,,, kabla ya mgogoro huo tulikuwa vzr tu,,,, ss nifanyeje
jiue
 
Jamani hilo tatizo hata mie limenitokea,,, mm nimempa binti mwingine mimba ndilo kosa langu,,,, ss ni mwez wa sita mpnz hataki kunisamehe cha ajabu akiwa na shida ananitafuta,,,,, kabla ya mgogoro huo tulikuwa vzr tu,,,, ss nifanyeje
Baki na uliempa mimba
 
Jamani hilo tatizo hata mie limenitokea,,, mm nimempa binti mwingine mimba ndilo kosa langu,,,, ss ni mwez wa sita mpnz hataki kunisamehe cha ajabu akiwa na shida ananitafuta,,,,, kabla ya mgogoro huo tulikuwa vzr tu,,,, ss nifanyeje
Tafuta hela.. Tengeneza uchumi imara.. Piga mjengo wako wa adabu tu Chukua mwanao peleka shule nzur.. Afu mwite kwako mpige stor.. Akitaka kuondoka mpe ufunguo wa Nyumba.. Mwambie ajiskie Nyumbani.. Akichomoa na hapo nitumie namba ake.. Maana atakuwa c mkeo wa Ahadi
 
Ulimkosea nini? Huenda kitendo ulichomfanyia kilimuuma sana na huenda akagundua ulifanya makusudi. Sasa ikiwa ni hivyo ujuwe mwenzio anahitaji muda ili ajiridhishe kuwa umemaanisha kuomba huo msamaha.
..Labda aliomba0713..
 
Back
Top Bottom