Nilifanya maombi maalum mara kadhaa, mtumishi hadi kuja kwangu, sadaka za kujimaliza ila bado nateseka mnyororo huu, eeh Mungu nifanye nini sasa?

Nilifanya maombi maalum mara kadhaa, mtumishi hadi kuja kwangu, sadaka za kujimaliza ila bado nateseka mnyororo huu, eeh Mungu nifanye nini sasa?

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
306
Reaction score
706
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
 
Jana nimeleta uzi huu

Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine, atleast nyie mtakuwa faraja yangu lakini pia fundisho kwa wengine kama nitapata msaada humu.

Kusema kweli sioni chochote chema mbele yangu, hakika ungekuwa unapitia kama yangu utapunguza kunihukumu.

Naogopa watoto wangu watakula mawe kwa maana trend yangu inadidimia kila uchwao.

Kila nachokishisa sio ridhiki kinachangamka ghafla kinaanguka

Ni nini kimenishikilia? Niennde wapi? Nifanye nini?

Wakuu wameniambia hii kuota Kila siku niko shule ni mfumo wa kuwa nimekamataliwa sehemu.

Yani Mungu kanijali uwezo ndani yangu lakini ni mateso yaliyo mshahala wangu.
Tafuta muda tuonane ana kwa ana
 
Pia soma Hii

 
Pia soma Hii

Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom