Nilifikiri ni New Page imeanza lakini wapi! Hakika sitampigia kura 2025

Nilifikiri ni New Page imeanza lakini wapi! Hakika sitampigia kura 2025

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.

Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.

Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!

Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.
 
Hana mamlaka ya kutoa uhai wa mtu. Rais wetu wa Awamu ya tano alifariki chini ya uwezo wake Muumba. Tusijenge husuda.
 
Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!
Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.
Wewe pia una element za Udikteta..., sasa kura za familia yako wewe ndio unawapangia au utaenda kuwapigia kura
 
Gaidi Mbowe stahili yake ataipata huko mahakamani, usimuweke Mbowe sehemu moja na JPM ( Sukuma gang), Mbowe alifurahia kifo na kushangilia kifo, hivyo msitegemee kupata huruma yoyote kutoka kwa wapenzi wa JPM.
 
Tangu lini sisiemu wakategemea Kura yako.
We hukusikia mtubalikimbia na box la Kura akahesabu mwenyewe ili asiibiwe lkn hakushinda😅
 
Wewe pia una element za Udikteta..., sasa kura za familia yako wewe ndio unawapangia au utaenda kuwapigia kura
Du! Hapo udikteta muhimu hasa kuwazuia wasimpigie huyo bora wawapigie watu wengine!
 
Upigaji kura ni kufuata tu hatua na ku-legalize wizi / ujambazi lakini your Vote does not Count - Sadly huo ndio Ukweli
Inasikitisha sana kuona hatuna maamuzi kwenye box ni geresha na kutupumbaza akili
 
Ningependa sana kusikia unashauri au ungependa Rais SSH achukue hatua gani, wakati kesi inasikilizwa mahakamani.
 
Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.
Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.
Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!
Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.
Hongera sana mkuu kwa kujivua ushabiki wa ukichaa na sasa umerudi kwenye uzalendo .

Umeamua kulitanguliza taifa kwanza na kuweka pembeni uccm .
 
Gaidi Mbowe stahili yake ataipata huko mahakamani, usimuweke Mbowe sehemu moja na JPM ( Sukuma gang), Mbowe alifurahia kifo na kushangilia kifo, hivyo msitegemee kupata huruma yoyote kutoka kwa wapenzi wa JPM.
Gaidi alishakufa kitambo tena kwa matangazo ya matarumbeta na kuwa alikuwa ni mwana ccm.
 
Back
Top Bottom