UP TO DATE
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 740
- 903
Mkuu si upumzike tu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imefunguliwa kwa makada wa ccm tuNasikia huko daslama nchi imeshafunguliwa sana.
Wanafika lini huku Mbarali hao wafunguzi?
Saint Anne
Ccm ni zaidi ya janga la taifaKura yako si muhimu sana kwetu, na sisi tunazo za kwetu.
2025 asilimia zilezile kama za leo[emoji23]
Nyie hamnaga kamba kwani?Wakimaliza kutupiga mnada jobless ndio watakuja huko
Walitupa zilizoozaNyie hamnaga kamba kwani?
Au zilikatika
Mbowe ni nani kwenye hii Nchi? Akizingua atashughulikiwa.Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.
Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.
Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!
Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.
Bora tu....maana mngevimbiwaWalitupa zilizooza
Tatizo je anajua kwaba kashavuta..maana jamaa alikuwa mbishi yule.Gaidi alishakufa kitambo tena kwa matangazo ya matarumbeta na kuwa alikuwa ni mwana ccm.
Kweli maana wengine ndiyo kwanza wameingia kutoka bujumburaTatizo je anajua kwaba kashavuta..maana jamaa alikuwa mbishi yule.
Kupumbaza akili za nani? Sie tunajua ila hamna cha kufanya. Labda jumhuia ya kimataifa!Inasikitisha sana kuona hatuna maamuzi kwenye box ni geresha na kutupumbaza akili
Sio KILA siku ni juma pili , Mambo hubadilika ,uko wapi Rais wa zamani wa ZAMBIA? nani alimzidi ubabeUpigaji kura ni kufuata tu hatua na ku-legalize wizi / ujambazi lakini your Vote does not Count - Sadly huo ndio Ukweli
Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.
Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.
Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!
Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.
Hakuna kosa kumtaja Mbowe hapa na hakuna raia wa kawaida anayeweza kuizuia mahakama kufanya kazi yake.kosa moja tu kumtaja mbowe wacha mahakama ifanye kazi yake
bora nimpigie shetani lakini siyo huyu bibiKama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.
Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.
Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!
Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.