Nilifikiri ni New Page imeanza lakini wapi! Hakika sitampigia kura 2025

Nilifikiri ni New Page imeanza lakini wapi! Hakika sitampigia kura 2025

Hahaaa Kama uchaguzi ukifanyika leo hii.........
 
Yani ulikuwa bado unashiriki kupiga kura wakati matokeo yanajulikana kuwa mgombea wa ccm lazima ndio aibuke mshindi, hivyo hata wewe usipoenda kumpigia kura bado inajulikana Samia atatangzwa mshindi kama ambavyo wengine hawakumpigia kura Magufuli ila bado alitangazwa kuwa mshindi.

Wengine hatujawahi kujuta kuacha kwenda kupanga foleni ya kupiga kura.
 
Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.
Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.
Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!
Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.
Mbowe ni nani kwenye hii Nchi? Akizingua atashughulikiwa.
 
CCM chama cha mazingaombwe !! Ni LAZIMA kipigwe chini - na njia pekee ni madai ya katiba mpya hakuna njia nyingine.
 
Upigaji kura ni kufuata tu hatua na ku-legalize wizi / ujambazi lakini your Vote does not Count - Sadly huo ndio Ukweli
Sio KILA siku ni juma pili , Mambo hubadilika ,uko wapi Rais wa zamani wa ZAMBIA? nani alimzidi ubabe
 
Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.

Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.

Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!

Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.

Mkuu heri ungeandika page ya majungu na ubinafsi. Lissu alionewa Vipi na alikuja kwa uhuru na kuondoka kwa uhuru. Hapa JF Tupo watu wa ajabu na kama wewe hata kura hukupiga Lakini una majibu yako ya uchaguzi. Unataka kutupangia. Ni Aibu kwako na Familia yako.
 
kosa moja tu kumtaja mbowe wacha mahakama ifanye kazi yake
 
kosa moja tu kumtaja mbowe wacha mahakama ifanye kazi yake
Hakuna kosa kumtaja Mbowe hapa na hakuna raia wa kawaida anayeweza kuizuia mahakama kufanya kazi yake.
 
Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya.

Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya kuja kumpigia kura SSH inapungua kwa asilimia kadhaa na sasa imebaki asilimia 78% hivi. Ikifika Mei Mosi pengine itapungua Zaidi kwa hadaa inayoandaliwa kuhusu kupanda kwa mishahara ya wafanyakazi. Hilo nalo ni mojawapo.

Kubwa la kunifanya nisijempigia kura SSH ni namna ambavyo amekuwa mgumu kutambua kuwa Mbowe anaonewa na upendeleo wa wazi wazi kwa jinsia yake na pia anavyowatenga Sukuma Gang. Kwa haya ni kweli yakiendelea kushamiri na bila kuyarekebisha kura yangu na familia yangu hataipata kamwe! Zimebaki asilimia 78 tu!

Hili ninamaanisha kama ambavyo nilivyoona JPM wanamnyanyasa Tundu Lisu kwenye Kampeni mwaka juzi niliamua nisimpigie kura JPM pamoja na kuwa nilikuwa na bado nipo CCM.
bora nimpigie shetani lakini siyo huyu bibi
 
Back
Top Bottom