Nilifikiri ni New Page imeanza lakini wapi! Hakika sitampigia kura 2025

Ni suala la muda tu
....Mungu ataamua tu yake ....
WaTanzania tushazoea kumwachia Mungu eti kwa sababu alitusaidia kuamua kwa JPM na hivi majuzi kwa Ndugai. Sometimes Mungu naye anachoka!
 
Mkuu umeanza vizr katikat ukavulugha, nikakumbuka wimbo wa mboto unaitwa tausi usikilize Kama huna sema utumiwe, ila mbowe anakesi na kesi yake Ni ya uhalifu kwa hyo Ni jukum la watetez wake kuthibitisha bila shaka yoyote kuwa mbowe Hana kesi,

Nyongeza tu mkuu watu 2 wanamakosa yanayofanan wote Ni wahanga wa kisiasa nao no Sabaya na mbowe,
 
Aseee upo sahihi sana. Hata Sabaya tulimshauri mama ahakikishe anafungwa kwa sababu makosa yake yalikuwa ya wazi mnoo. Kwa Mbowe tunamshauri mama ahakikishe hafungwi kwa sababu hakuna makosa ya wazi ya ugaidi kayatenda!
 
Aseee upo sahihi sana. Hata Sabaya tulimshauri mama ahakikishe anafungwa kwa sababu makosa yake yalikuwa ya wazi mnoo. Kwa Mbowe tunamshauri mama ahakikishe hafungwi kwa sababu hakuna makosa ya wazi ya ugaidi kayatenda!
Ni makosa yakisiasa woooote wanahusika na kwa mbowe ndo waziii kabisa, tusubr tuone mwishoo wke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…