KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Utapigwa ufe maji uite mma..😂Leo naenda kuliamsha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa ufe maji uite mma..😂Leo naenda kuliamsha
Ukilegeza unaliwa kichwa[emoji1][emoji1]Dah!!!, Mbinu za Kivita hizi [emoji23][emoji23][emoji23].Sisi ndo Malegend bhana.
Naokoa ndoa ibaki salama [emoji1][emoji1]Yaani unamfundisha na kusema uongo kabisa!!!!!
Mwambie tu kuwa simu nilinunua used ...hiyo namba ya simu labda inachukua namba inayo tumika Sasa ...! Zaidi ya hapo sijui chochote kuhusu hayo mamesi Kama ndoa umeichoka sema mapema sio tunapotezeana muda [emoji1][emoji1][emoji1] ukimwambia hivo usiendelee na hizo habari ikiwezekana ondokaMpaka namba ya simu used?
Mwanaume unatakiwa uwe na mbinu nyingi Sana ili uweze kumkabili mwanamke Kama sio hivo utaliwa kichwa [emoji1][emoji1][emoji1]Oooh kumbe ndo zenu asante kwa taarifa[emoji51][emoji51]
Wapendwa leo nimekutana na changamoto wife kanionyesha sms zote jinsi tulivyokuwa tunachati na mchepuko.
Kilichonishangaza ndo hicho make sms zote tulizochat nilidelete kwahiyo nimeenda home nikijiamini kuwa simu ni safi hakuna kitu chochote nilichokutana nacho sasa majanga.
Ebu mwenye kujua hiyo sayansi msaada
[emoji23][emoji23] wazee wa kazi kaziniKuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Kweli kabisa, ujanja ni huo tu Mkuu.Ukilegeza unaliwa kichwa[emoji1][emoji1]
Kuna recicybin mzee unafuta zinabaki mahala mpaka ufute na hukoWapendwa leo nimekutana na changamoto wife kanionyesha sms zote jinsi tulivyokuwa tunachati na mchepuko.
Kilichonishangaza ndo hicho make sms zote tulizochat nilidelete kwahiyo nimeenda home nikijiamini kuwa simu ni safi hakuna kitu chochote nilichokutana nacho sasa majanga.
Ebu mwenye kujua hiyo sayansi msaada
Wapendwa leo nimekutana na changamoto wife kanionyesha sms zote jinsi tulivyokuwa tunachati na mchepuko.
Kilichonishangaza ndo hicho make sms zote tulizochat nilidelete kwahiyo nimeenda home nikijiamini kuwa simu ni safi hakuna kitu chochote nilichokutana nacho sasa majanga.
Ebu mwenye kujua hiyo sayansi msaada
Hivi hujui kama sisi wanaume ni waongo wa kupitiliza!Yaani unamfundisha na kusema uongo kabisa!!!!!
Alaaa We nae una bwanaLeo naenda kuliamsha
Hivi simu kumbe ina recycle bin ndio mmenifumbua macho. Naipataje?Ulifuta mpaka hwenye recycle bin?
Sina bwana nina MUMEAlaaa We nae una bwana
[emoji3][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]looh!uongo gani huo sasa!Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji