Nilifuta meseji za mchepuko ila mke wangu kanionesha zote kwenye simu yangu

Nilifuta meseji za mchepuko ila mke wangu kanionesha zote kwenye simu yangu

Wapendwa leo nimekutana na changamoto wife kanionyesha sms zote jinsi tulivyokuwa tunachati na mchepuko.

Kilichonishangaza ndo hicho make sms zote tulizochat nilidelete kwahiyo nimeenda home nikijiamini kuwa simu ni safi hakuna kitu chochote nilichokutana nacho sasa majanga.

Ebu mwenye kujua hiyo sayansi msaada
Mzee baba kama Bado unawasiliana na michepuko kwa kutumia Simu janja acha mara Moja. Kuna application zinazo nasa na kutunza Kila kitu kinachofanyika juu ya kiio cha simu (screen). Kuna siku utaonyeshwa missing call, dialled calls, received calls, picha, ujumbe wa sauti (voice note) na meseji za kawaida kama ulizofumwa nazo
 
Mkuu relax..

tukupe mbinu za kujikwamua au tukuache uteseke kwa uzembe wako??
 
Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Mzee baba ulivyopangua hiii ngumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!Kikawaida kabisaaa, kbe ishu ndogo tuuuu
 
Ndo.wapi huko[emoji1]...mi najua recycle bin ya picha tu
Kwa txt za kawaida kuna simu ukiingia kwenye txt kulia kwa juu kuna dot (.) 3 unaclick hapo halafu unaenda RECYCLE BIN.

Za whatsapp inawezekana kuna App amekuwahi akaiweka kwenye simu yako akawa anazisoma kimya kimya.
 
Kitochi una ji risk zaidi na rahisi kudakwa ukimpa tu police sprint taarifa zote kiganjani, dawa ni kuacha uzinzi
Kama unamtafutia mtu sababu ya kuachana go ahead mpekuwe, lakini kama unampenda achana na habari ya simu ya mwenza unless kuwe na signal za wazi kwamba hapa naliwa waziwazi tena na dharau juu, ni mazingira ya namna hiyo tu ndio nakubaliana na mtu kufanya spy na hasa mwanaume.
 
Fukuzilia mbali mimke ya namna hiyo apate anachotafuta.why ukae na stress mda wote na simu ni yako kwanini afunge app kukufatilia wewe kwani mtoto mdogo.
Na hapo ujue ye ndio mchepukaji mkubwa.
 
Mimi mwanamke hawezi kunidaka kwenye simu hata kidogo wala kwa bahati mbaya, uzembe wangu wala nini hata akiwa analala nayo make simu kwangu ni kama..... basi nisiseme sana labda aje anifume hukohuko mitaani kama akipata fununu za walimwengu..
Wewe unaongea tu, wenzio daily tu akula hela za hawa wadada wakitaka wapate mawasialiano yenu kupitia simu zenu nasi tunacheza na trojan malware bila ya muhusika kujua
 
Chochote unachokifanya kwenye simu kinabaki humo kwa faida ya baadae kama litatokea la kutokea

Hata mienendo yako kama una google map itaonyesha ulipita wapi

Wapelelezi wanapata habari zako kwa urahisi sana na huyo ni mmoja wapo [emoji23][emoji23]
Naam, na hawa Incognito huwa wanaficha siri zetu nyingi sana aisee na siku wakiamua kutufichua wengi sana tutafichuka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unakubaliji kizembe hvyo.. . mwenzako hadi picha alinipiga na mchepuko tunaenda guest....

Ila nilikataa kata kata... Nikamwambia duniani wa 2 wa 2....
Dah uwongo wa zamani sana siku nimechapa mbunye huko na nyagi si nikazima na ndomu,ile kurupuka nshachelewa home nikavaa tu mbio na taxi maskani.Nna ndomu live ishatumika.nafika maskani nimefanya kuzama na kuzima.mama kaivua vizuri ndomu kasubiri niamke nijibu maswali.
Aah kuuliza nikaruka kimanga kwamba mi sihusiki anitajie alikoipata na kibao kikageuzwa nikamwangushia jumba bovu mpk alijuta kwanini kauliza.
 
Dah uwongo wa zamani sana siku nimechapa mbunye huko na nyagi si nikazima na ndomu,ile kurupuka nshachelewa home nikavaa tu mbio na taxi maskani.Nna ndomu live ishatumika.nafika maskani nimefanya kuzama na kuzima.mama kaivua vizuri ndomu kasubiri niamke nijibu maswali.
Aah kuuliza nikaruka kimanga kwamba mi sihusiki anitajie alikoipata na kibao kikageuzwa nikamwangushia jumba bovu mpk alijuta kwanini kauliza.
Mzee baba hii tabia acha kabisa ndio maana mnalalamika daily kuwa wife wenu wanasumbua kumbe ndio ninyi wenyewe eeeh[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzee baba hii tabia acha kabisa ndio maana mnalalamika daily kuwa wife wenu wanasumbua kumbe ndio ninyi wenyewe eeeh[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ufanyeje huku ushaharibu na unajua kabisa huu msala.unachange kibao tu.😁🕺
Nshaacha mambo hayo
 
Back
Top Bottom