Ha ha haKuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Shkamoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haKuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Nakuelewa saana mkuuMwambie tu kuwa simu nilinunua used ...hiyo namba ya simu labda inachukua namba inayo tumika Sasa ...! Zaidi ya hapo sijui chochote kuhusu hayo mamesi Kama ndoa umeichoka sema mapema sio tunapotezeana muda [emoji1][emoji1][emoji1] ukimwambia hivo usiendelee na hizo habari ikiwezekana ondoka
Acha utan mkuu, kitoch unadakwa vp sasa?Kitochi una ji risk zaidi na rahisi kudakwa ukimpa tu police sprint taarifa zote kiganjani, dawa ni kuacha uzinzi
Nimeamua na mie siku hizi kuwa Kama nyinyi!no confessionNdio tulivyo hatukubali makosa hata mtukute live [emoji23][emoji23][emoji12]
Nimeamua na mie siku hizi kuwa Kama nyinyi!no confession
Kabisa yaaniNgoma draw
Ni kukana kila kitu kama sio wewe
Mmhh!daahhIlinikuta hii mkuu ila nikafanya mtego usku sikulala ila nilikua nakoloma kama mtu aliyechoka sana. Mida ya saa8 usku hv nikaona mtu kaamka akachukua sim akaanza kuangalia kumbe anaijua pswd yangu.
Nilimpa kofi moja la nguvu sidhan kama atarudia tena[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]kaaahhUnakubaliji kizembe hvyo.. . mwenzako hadi picha alinipiga na mchepuko tunaenda guest....
Ila nilikataa kata kata... Nikamwambia duniani wa 2 wa 2....
Shida haieleweki akati anainunua simu alisemaje kwamkewe Mana kipindi hicho hakua namisala kudanganya hakuwezaKuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Yaani aliyemuuzia simu kamuuzia hadi namba yake ya simu..??Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Ndio alichokifanyaaa[emoji3][emoji3][emoji3]Kazikuta kwenye recycle bin hizo wala ajatumia akili kubwa sana smartphone zina sehemu inaitwa recycle bin ukifuta kitu chochote ndani ya siku 30 kinabakia kwenye recycle bin ndio kinafutika moja kwa moja unachotakiwa kufanya ukiwa unafuta kitu nenda kafute na kwenye recycle bin
Ahahahaaaaaaaaaa....! Kuna watu makaksi ila wewe gaidi waoKuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Simu yako used tuOooh kumbe ndo zenu asante kwa taarifa[emoji51][emoji51]
Sijakuelewa mkuuSimu yako used tu
Nimetafakari sana huu ujumbe wako, nimekuja na wazo fulani amazing.Wapendwa leo nimekutana na changamoto wife kanionyesha sms zote jinsi tulivyokuwa tunachati na mchepuko.
Kilichonishangaza ndo hicho make sms zote tulizochat nilidelete kwahiyo nimeenda home nikijiamini kuwa simu ni safi hakuna kitu chochote nilichokutana nacho sasa majanga.
Ebu mwenye kujua hiyo sayansi msaada