Nilifuta meseji za mchepuko ila mke wangu kanionesha zote kwenye simu yangu

Nilifuta meseji za mchepuko ila mke wangu kanionesha zote kwenye simu yangu

Chochote unachokifanya kwenye simu kinabaki humo kwa faida ya baadae kama litatokea la kutokea

Hata mienendo yako kama una google map itaonyesha ulipita wapi

Wapelelezi wanapata habari zako kwa urahisi sana na huyo ni mmoja wapo [emoji23][emoji23]
Labda univizie ni kitoka tu online, lakini kila baada ya muda, na delete data na history zote, simu inakuwa mpya mpya
 
Naam, na hawa Incognito huwa wanaficha siri zetu nyingi sana aisee na siku wakiamua kutufichua wengi sana tutafichuka[emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani
Ila crime nyingi zinatatuliwa kwa haraka zaidi kutokana na hizi simu

Upande mwingine ni kuwa % kubwa ya watu wanaishi double life
Yaani huku mfanyabiashara anaejulikana mwaminifu mbele ya jamii kumbe jambazi

Au mchamungu mbele za watu ila upande wa pili ni mzinifu haswa

Yote haya yamejificha kwenye simu zetu
 
Kazikuta kwenye recycle bin hizo wala ajatumia akili kubwa sana smartphone zina sehemu inaitwa recycle bin ukifuta kitu chochote ndani ya siku 30 kinabakia kwenye recycle bin ndio kinafutika moja kwa moja unachotakiwa kufanya ukiwa unafuta kitu nenda kafute na kwenye recycle bin
 
Hapo ni kuomba msamaha tu na kuahidi kutorudia.Vinginevyo umeshaumbuka!
 
Kazikuta kwenye recycle bin hizo wala ajatumia akili kubwa sana smartphone zina sehemu inaitwa recycle bin ukifuta kitu chochote ndani ya siku 30 kinabakia kwenye recycle bin ndio kinafutika moja kwa moja unachotakiwa kufanya ukiwa unafuta kitu nenda kafute na kwenye recycle bin
ipo sehemu gani recycle bin
 
Wewe unaongea tu, wenzio daily tu akula hela za hawa wadada wakitaka wapate mawasialiano yenu kupitia simu zenu nasi tunacheza na trojan malware bila ya muhusika kujua
Najua hata kutengeneza hizo payloads naweza sema sipendi kufanyia hiyo michezo watu, hata mwanamke siwezi thubutu kumdukua na sijawahigi ila nikiamua hata siumizi kichwa nakua nshamiliki simu yake remotely..
 
Simu yako ilikua hijacked na mkeo hapo kuna app tracker ali install ambayo kazi ake ina backup automatically convos zote zako na kuzitunza au pia inaziupload na kuzituma moja kwa moja kwa target (mkeo) sasa hapo alichokifanya ni kua kama ulimpa hiyo simu yako mkeo wakati wa mabishano basi ali restore convos hizo zikarudi kwenye Message app yako kama kawa ndo akakuumbua..


Pia anaweza akawa hajaweka app ya kukutrack ila akatumia mbinu simple tu hii hapa [emoji117] Simu za kisasa hizi smartphones unaweza kuset either kila picha unayopiga iji backup automatically, auto recording, auto backup sms, call history & settings, wifi passwords n.k! Hivyo sasa yaweza kua alisha set auto backup ya mawasiliano yako yote na ww hujui na hujawahi kagua afu ww umejidanganya kufuta kumbe ye kaja ku restore jumbe zote hapo huwa zinarudi bila hiyana ya kukosea hata herufi 1, muda wala tarehe hapo unaumbuka mapema tu...
Hii setting inasetiwaje Mkuu?
 
Hapa nilipo nasikiliza ngoma ya "it wasn't me" ya Shaggy, yaani hivi ndivyo inapaswa iwe, hakuna kukubali hata uwe caught red-handed, mwanaume utakosaje sababu?

Kwanza tangu Dunia hii iwepo haiwezekani kamwe Mwanaume kuwa na mwanamke moja, NEVER.
Inawezekana mzee,sema kwako ndo haiwezekan?
 
Chochote unachokifanya kwenye simu kinabaki humo kwa faida ya baadae kama litatokea la kutokea

Hata mienendo yako kama una google map itaonyesha ulipita wapi

Wapelelezi wanapata habari zako kwa urahisi sana na huyo ni mmoja wapo [emoji23][emoji23]
Mkuu samahan naomba kuelekezwa namna ya kujua mautundu haya mimi na mpenz wangu tuna tumia account moja ya email hivo huwa namungalia aliko na akiwa amewasha data huwa namuona alipo kwa mda huo ila anapokuwa amezima data nikitaka kuona kila alipopita naingia wapi wakuu.. kama kuna mtu anaweza nipa haya maujanja naomba msaada natumia find my device
 
Kazikuta kwenye recycle bin hizo wala ajatumia akili kubwa sana smartphone zina sehemu inaitwa recycle bin ukifuta kitu chochote ndani ya siku 30 kinabakia kwenye recycle bin ndio kinafutika moja kwa moja unachotakiwa kufanya ukiwa unafuta kitu nenda kafute na kwenye recycle bin
Hii sehemu naipataje mkuu kwangu sioni natumia infinix na Samsung A12 Hio picha hapo ni kwenye app ya sms
Screenshot_20220122-111441.jpg
 
Wewe unaongea tu, wenzio daily tu akula hela za hawa wadada wakitaka wapate mawasialiano yenu kupitia simu zenu nasi tunacheza na trojan malware bila ya muhusika kujua
Qumamake walahi wajinga ndo waliwao [emoji848]
 
Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
😂😂😂😂😂Ila wanaume bwana,Kuna kipindi babe wangu alipata kazi kwanza,nikawa nenda nakurudi,Safari ingine naenda nafanya usafi nikakutana na bikini ya like sio yangu,muuliza niling'ang'aniwa Ile kitu Ni yangu niliicha Mara ya mwisho nilivyooenda,jamani kila nikikaza jamaa kakazaaa anasema Ni ya yako babe itakuwa umeisahahu....nilishangaa Sana mtu unawezaje kusahau chupi yako uliyoicha mwezi mmoja tu iliyopita hapo ndio nilikuwa sijui!
 
Mkuu samahan naomba kuelekezwa namna ya kujua mautundu haya mimi na mpenz wangu tuna tumia account moja ya email hivo huwa namungalia aliko na akiwa amewasha data huwa namuona alipo kwa mda huo ila anapokuwa amezima data nikitaka kuona kila alipopita naingia wapi wakuu.. kama kuna mtu anaweza nipa haya maujanja naomba msaada natumia find my device

Aisee unamfuatilia?
Sijui maujanja hayo [emoji52]
 
Ogopa sana mkeo akikuzidi ujanja katika sim, atakufanyia vituko utabaki unashangaa tu, na ndicho kilichokukuta, ulifikiri mkeo kilaza wa mambo ya simu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila wanaume bwana,Kuna kipindi babe wangu alipata kazi kwanza,nikawa nenda nakurudi,Safari ingine naenda nafanya usafi nikakutana na bikini ya like sio yangu,muuliza niling'ang'aniwa Ile kitu Ni yangu niliicha Mara ya mwisho nilivyooenda,jamani kila nikikaza jamaa kakazaaa anasema Ni ya yako babe itakuwa umeisahahu....nilishangaa Sana mtu unawezaje kusahau chupi yako uliyoicha mwezi mmoja tu iliyopita hapo ndio nilikuwa sijui!

Ndio tulivyo hatukubali makosa hata mtukute live [emoji23][emoji23][emoji12]
 
Back
Top Bottom