Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Twafaaaaaaaa. Kumbe ndo ivo tenaCm tracker apk... mtu anaweza akawasha had data cm yko kusoma whstp , msg, kuckiliza calls zko, location, kukuchukua vdeo!!! Kosa n mtu ashike cm yko ainstall hyo app utajuta
Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji
Nimecheka kwa saut mpaka basii yaani inaonekana ambavo na ww hujatulia sa kwann uiondoe wakat huna mambo mengiYani hata usipate shida wew itakuwa mgeni wa simu.. Kuna kiti kinaitwa RECYCLE BIN ukifuta msg zinaenda huko so lazima ukazifute kule piaa usipozifutq anaweza kuzirestore na zinarudi kama zilivyoo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji846][emoji846] Hii setting kila nikiitoa baada ya silku mbili nakuta shemeji yenu kairudisha tenaa utadhani simu yakeee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Na mimi naitoaa yani kila siku mpaka atachokaaa
Anataka ajue mpaka siri za familia ili iwejee..!Nmecheka kwa saut mpaka basii yaani inaonekana ambavo na ww hujatulia sa kwann uiondoe wakat huna mambo mengi
Inabidi rikiboy mzee wa kimasihara aje na shule ya namna ya kutokamatwa ukiwa umeoa.Hivi simu kumbe ina recycle bin ndio mmenifumbua macho. Naipataje?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Atasema anaonewa. Huwa hawaelewi kuwa tunaishi nao kwa akiliIlinikuta hii mkuu ila nikafanya mtego usku sikulala ila nilikua nakoloma kama mtu aliyechoka sana. Mida ya saa8 usku hv nikaona mtu kaamka akachukua sim akaanza kuangalia kumbe anaijua pswd yangu.
Nilimpa kofi moja la nguvu sidhan kama atarudia tena[emoji28][emoji28][emoji28]
Anatimiza andiko. Hujui ndo samson wetu kakutana na delilah wakeKitochi una ji risk zaidi na rahisi kudakwa ukimpa tu police sprint taarifa zote kiganjani, dawa ni kuacha uzinzi
Acha hyo tabia mara moja kama ni mzee wa service road. Mfungulie email yakeMkuu samahan naomba kuelekezwa namna ya kujua mautundu haya mimi na mpenz wangu tuna tumia account moja ya email hivo huwa namungalia aliko na akiwa amewasha data huwa namuona alipo kwa mda huo ila anapokuwa amezima data nikitaka kuona kila alipopita naingia wapi wakuu.. kama kuna mtu anaweza nipa haya maujanja naomba msaada natumia find my device
Kuna app ndio zinafanya hivyo ...Sasa wewe mwambie hiyo simu ulinunua used na huzitambui hizo meseji