Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
UmesomekaNo sorry nimechanganya.. iveco na volvo. somehow majina yanafanana..
Ila yes kampuni ilibadilika baada ya kununuliwa na matajir wa sweden
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmesomekaNo sorry nimechanganya.. iveco na volvo. somehow majina yanafanana..
Ila yes kampuni ilibadilika baada ya kununuliwa na matajir wa sweden
Hahahahahaha ndiyo nimejifunzia udereva toka kwa babu yanguHiyo gari bana ikikata kona nilazima utingo asaidiane na dereva kukata kona[emoji23]
Hapo sawa.Kuna mdau amenirekebisha hapa. Nilichnganya majina kidogo.. ila.ni kwamba sweden waliinunua kampuni ya fiat wakabadilisha jina to iveco.
Pamoja na David TrezegeuetTurin old lady,chama langu hilo,siku za karibuni watu kibao wamedandia hilo mbaula kwa mbele coz ya cr7,wakati wakongwe tuko nalo chama kitambo hata liliposhuka daraja to serie b tulishuka nalo tukiwa sambamba na wakongwe kina del piero na gigi buffon
Na dereva akitaka kujipima afya, hana haja ya kwenda hospitali. Mbaula ni kipimo toshaMbaula sharti uvue shati ndio upige gia Mkuu, Clutch Jiwe, Uskani Chuma
Wakongwe wengi tu walienda nalo chama serie b,maana milan na inter zilikua na mategemeo ya kuwachota nyota wa old lady,but jamaa walionyesha uzalendo wao kwa kukataa ofa za timu zinginePamoja na David Trezegeuet
Mbona bado unachanganya mkuu?Kuna mdau amenirekebisha hapa. Nilichnganya majina kidogo.. ila.ni kwamba sweden waliinunua kampuni ya fiat wakabadilisha jina to iveco.
Na dereva akitaka kujipima afya, hana haja ya kwenda hospitali. Mbaula ni kipimo tosha
Haa ha ha ha, you guys mmenikumbusha Enzi za NMC, nimepanda sana haya mambaula from school Iringa to Dar, nikiwa O level, natumiwa nauli ya kurudi Dar but najikuta naila hiyo nauli then naenda zangu pale Iringa mjini kwenye kihenge cha taifa (Enzi hizo) navizia lift to Dar, mareva wengi walikuaga wazee wazee hivi but with misuri ya kutosha kwasababu ya hizi mbaula!Mbaula sharti uvue shati ndio upige gia Mkuu, Clutch Jiwe, Uskani Chuma
hahahhahhahhahaHiyo gari bana ikikata kona nilazima utingo asaidiane na dereva kukata kona[emoji23]
Daaah we umepuyanga hapa.Hakuna kampuni inaitwa fiat tena. Walibadikisha jina kwa sasa inaitwa volvo. Na inamilikiwa na matajir kutoka sweden.
Zinafanana kwa muonekano Ila ni tofauti.I thought it's now IVECO!
Hilo lilitumika karibia kote ...mimi nakumbuka tuliita mbaula mkasi juu, mkasi chini.Mleta mada utakuwa umesha wahi kukaa dar au pwani hasa mbaula linatumika sana hilo jina
Yeah now inaitwa ivecoI thought it's now IVECO!
hahahahahah wewe jamaa umenikumbusha mbali Sana Hilo mbaula nilipokua mdogo Kuna mbaula lilikua linapita pale home likitokea makambako kwenda Njombe nadhani lilikua la kampuni flani aiseee ule mdude ulikua kama train aiseee yaani likiwa kilimita mbili utalisikia mlio wake wa ajabu basi huwezi amini lile mashine nilikua nikilala usiku naota linanikimbizaile sauti ya mbaula nilikuwa naogopa kuisogelea hata ikiwa sirencer nikidhani inaweza lipuka na moto ikawaka.
Ndio ni sehemu ya kampuni ya Fiat ambayo kwa sasa ndio hao washirika wa ivecoHivi jeep na wenyewe sio fiat??