Niliishi na mwanamke miaka mitatu sikuwahi kunusa wala kusikia akipumua mashuzi

Niliishi na mwanamke miaka mitatu sikuwahi kunusa wala kusikia akipumua mashuzi

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
 
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Na ndiyo maana Mzungu akakuvunja mguu[emoji23]
 
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Ha haha dah umefikiria nini sijui
 
Alikuwa mtu wako? Ila mbona ulimkubali sasa? Ulipenda mashuzi yake.
Kuna mtu anayependa kusikia mashuzi ya mwenzie?? Mkuu hakuna mtu atakayeachia mashuzi siku unamfahamu anasubiri mpaka pale kakuzoea ndio anaonyesha tabia yake, laiti kama nikijua kabla ya kuwa na mahusiano aisee siwezi kumkubalia kabisa ni tabia mbaya mno
 
Kuna mtu anayependa kusikia mashuzi ya mwenzie?? Mkuu hakuna mtu atakayeachia mashuzi siku unamfahamu anasubiri mpaka pale kakuzoea ndio anaonyesha tabia yake, laiti kama nikijua kabla ya kuwa na mahusiano aisee siwezi kumkubalia kabisa ni tabia mbaya mno
Kwa hiyo baada ya kukutumia alivyotaka, kukueuza geuza kama chapati na kukuzoea, akaona ndiyo muda wa kuonesha tabia (kukutolea mashuzi) yake sasa!!! [emoji23]
 
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Tutumie picha ya huyo demu na namba zake za simu tukusaidie kujua sababu za ushuzi wake kutosikika na kutotoa harufu. then tutakupa mrejesho.
 
Kuna mtu anayependa kusikia mashuzi ya mwenzie?? Mkuu hakuna mtu atakayeachia mashuzi siku unamfahamu anasubiri mpaka pale kakuzoea ndio anaonyesha tabia yake, laiti kama nikijua kabla ya kuwa na mahusiano aisee siwezi kumkubalia kabisa ni tabia mbaya mno
Kijamba ukiwa usingizini Kwani uko ndani ya uwezo wa mtu, Kuna mtua asiyejamba akiwa usingizi na hata wewe si unajamba mashuzi na hio ndio maana ya uvumilivu wa ndoa.
 
Back
Top Bottom