Niliishi na mwanamke miaka mitatu sikuwahi kunusa wala kusikia akipumua mashuzi

Niliishi na mwanamke miaka mitatu sikuwahi kunusa wala kusikia akipumua mashuzi

li
limeachwa hilooooo.limeliwa likaachwa[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Mental illness is real....acha kuniattack kila siku mbona aliyeniacha akaja kwako nilishakuachia na anakufukua mtaro kila siku??? Nimebaki single maza sababu ya wewe mwanaume kujitongozesha kwa mwanaume mwenzio au mpaka niweke DM zako za kujitongozesha kwa baba mtoto wangu na mpaka siku amekufukua mtaro??
Au ameshakufukua wee na kakuacha unahisi karudi kwangu ndio unanimalizia hasira??
 
Mental illness is real....acha kuniattack kila siku mbona aliyeniacha akaja kwako nilishakuachia na anakufukua mtaro kila siku??? Nimebaki single maza sababu ya wewe mwanaume kujitongozesha kwa mwanaume mwenzio au mpaka niweke DM zako za kujitongozesha kwa baba mtoto wangu na mpaka siku amekufukua mtaro??
ukiweka huu upupu wako hapa nakutumia laki moja Sasa hivi.

nakuongea Pumba na vitu ambavyo havipo ndio kumepelekea ukaachwa na Sasa nisingo mamá mwenye nyota tatú Yani ushakubuhu kwenye usingo mamá.
nakushauri njoo inbox nikustri mana Mimi nimzoefu wakutunza misingo mamá isije kufa kwa stress. karibu sana
 
ukiweka huu upupu wako hapa nakutumia laki moja Sasa hivi.

nakuongea Pumba na vitu ambavyo havipo ndio kumepelekea ukaachwa na Sasa nisingo mamá mwenye nyota tatú Yani ushakubuhu kwenye usingo mamá.
nakushauri njoo inbox nikustri mana Mimi nimzoefu wakutunza misingo mamá isije kufa kwa stress. karibu sana
Ushawahi kuona Shoga anasitiri mwanamke[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa laki utapata wapi na huna hata kazi unakaa kwa ndugu yako...nicheke mie, malaya umekubuhu halafu unafi** a bure?? Hayo ni matumizi mabaya ya mtaro wako
 
Binafsi nasumbuliwa na gesi San natfuta daawa nitokomeze Hali hii
Kuna dawa wahaya wanaita akaswagala au mzumbasha uwe unaitumia kuweka kwenye chai,ni aina ya mint fulani kiboko ya gesi tumboni
 
Kuachia mashuzi au kwenda kujisaidia na kutoacha ustaarabu wa kimazingira ni aina ya uchafu kama uchafu mwingine.

Kujamba ukiwa na mwenzako halafu maharufu yakasambaa na mwenzako akayanusa ni ushamba kama mwingine tu na ni kukosa adabu.

Kwenda chooni kujisaidia na kisha kuruhusu mwenzako akapata ile harufu ya shughuli zako ni matokeo ya kutokuwa na nidhamu na kutojiheshimu.

Huyo mwanamke anajitambua na ana adabu sana na wewe. Miaka mitatu ameweza kukupa taswira kuwa yeye ni msafi muda wote hiyo itakufanya uwe very comfortable ukiwa nae. Ni rahisi sana kuwa na ustaarabu kwa mwenzako na asipate kero ya harufu za ajabu. Ni sehemu ya kuheshimiana na kuishi kwa adabu na kufanya uwe na mvuto kwa mwenzako zaidi.

Weka ratiba yako ya kukata gogo muda ambao mwenzako atakuwa aidha ametoka au yupo busy na kazi.

Jifunze kumpisha mwenzako chumbani bila kuongea chochote. Ukiona kaingia washroom wewe toka hata uende nje kujinyoosha ili umpe privacy ya kujilipua.

Hakikisha bafuni kuwe na maji ya kutosha, na marashi ya kuleta harufu nzuri hapo ndani. Kuwe na usafi wa muda wote.

Ukibanwa na ushuzi nenda nje tafuta kona nzuri achia shuzi lako then rudi ndani kwa mwenzako ukiwa hauna hewa chafu. Kumjambia mtu ni ishara kuwa hauna adabu kwake na hauna heshima nae. Hivi unaweza kumjambia baba yako au mama yako au mkweo au boss wako, au mchungaji wako au mufti wako? Why sasa umjambie mtu muhimu kama mwanaume/mwanamke wako?

Anyways, tuwaheshimu wapenzi wetu wanaotuheshimisha hapa duniani.
Huu ushsuri wapenzi ns wanandoa wauzingatie
 
Too much,is harmful.Mi mwenyewe sipendi kulala na mtu yeyote,ambaye anachafuachafua hali ya hewa hovyohovyo.
 
Kuhusu hilo, nina uhakika yeye ana stori kinyume kabisa na yako kuhusu wewe!!
 
Kwangu mie mwanamke wa staili hiyo ni a big no , kujamba ni moja ya matokeo ya mmeng'enyo wa chakula tumboni japo ni laaibu kifanyika kwenye kadamnasi lakini kwa mtu wa karibu kama mke au mme halina sababu ya kuona aibu.
haujawahi kumsikia haimaanishi kuwa hajambi bali hataki ujue kama anajamba! Kama anaficha kitu kidogo kama hiki kuna mengi makubwa pia anaficha.
We mwamba!!
 
Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,

Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.

Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
FB_IMG_1691784134081.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujamba na kujisaidia haha yoyote ni vitu vya asili ya mwili, huyo anayekuonyesha mashuzi ndo wa kuoa au kuolewa nae.Ukiona hadi ushuzi anabana huyo muogope kama ukoma, ana mengine makubwa anaficha ikiwemo kutokuwa mwaminifu
 
Kuachia mashuzi au kwenda kujisaidia na kutoacha ustaarabu wa kimazingira ni aina ya uchafu kama uchafu mwingine.

Kujamba ukiwa na mwenzako halafu maharufu yakasambaa na mwenzako akayanusa ni ushamba kama mwingine tu na ni kukosa adabu.

Kwenda chooni kujisaidia na kisha kuruhusu mwenzako akapata ile harufu ya shughuli zako ni matokeo ya kutokuwa na nidhamu na kutojiheshimu.

Huyo mwanamke anajitambua na ana adabu sana na wewe. Miaka mitatu ameweza kukupa taswira kuwa yeye ni msafi muda wote hiyo itakufanya uwe very comfortable ukiwa nae. Ni rahisi sana kuwa na ustaarabu kwa mwenzako na asipate kero ya harufu za ajabu. Ni sehemu ya kuheshimiana na kuishi kwa adabu na kufanya uwe na mvuto kwa mwenzako zaidi.

Weka ratiba yako ya kukata gogo muda ambao mwenzako atakuwa aidha ametoka au yupo busy na kazi.

Jifunze kumpisha mwenzako chumbani bila kuongea chochote. Ukiona kaingia washroom wewe toka hata uende nje kujinyoosha ili umpe privacy ya kujilipua.

Hakikisha bafuni kuwe na maji ya kutosha, na marashi ya kuleta harufu nzuri hapo ndani. Kuwe na usafi wa muda wote.

Ukibanwa na ushuzi nenda nje tafuta kona nzuri achia shuzi lako then rudi ndani kwa mwenzako ukiwa hauna hewa chafu. Kumjambia mtu ni ishara kuwa hauna adabu kwake na hauna heshima nae. Hivi unaweza kumjambia baba yako au mama yako au mkweo au boss wako, au mchungaji wako au mufti wako? Why sasa umjambie mtu muhimu kama mwanaume/mwanamke wako?

Anyways, tuwaheshimu wapenzi wetu wanaotuheshimisha hapa duniani.
Mkiwa kwenye gari yenu inabidi usimamishe ushuke eeeeeh ili umwachie nafasi.Mahusiano ni urafiki hasa yanapokuwa ya dhati.Msiishi kama mtu na mzazi wake, jiachieni ili kila mmoja afurahie.
 
Ushawahi kuona Shoga anasitiri mwanamke[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa laki utapata wapi na huna hata kazi unakaa kwa ndugu yako...nicheke mie, malaya umekubuhu halafu unafi** a bure?? Hayo ni matumizi mabaya ya mtaro wako
Umeambiwa leta ushahidi upewe laki moja, umebaki kubinua makalio.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]sio kila mwanamke anaweza kufanya hayo mbele ya mpenzi wake au mbele za watu
 
Wanawake wengi wameumbwa na aibu hawezi kutoa shuzi tuu mbele ya mpenzi wake. Kuna huyo kaka jamani alikuwa anatoa mashuzi bila hata aibu, anatoa mashuzi yananuka kama umelala hadi usingizi unakata sipendi kabisa yaani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom