trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 3,668
- 8,745
Unataka ukatoe na wewe???Ulimpa ndogo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka ukatoe na wewe???Ulimpa ndogo?
Kumbe...Mbali na aibu, pia unywaji wa maji mengi na kuzingatia mlo bora inachangia kutotoa harufu za ajabu ajabu hususani unapokwena msalani au kutoa hewa chafu.
Otikiii 🤪 aisee🤣😃Kuna wanawake wasiri sana miaka mitatu sikuwahi kusikia,kuona wala kusikia harufu ya mashuzi,
Hata akienda chooni hakuna harufu iliyokuwa ikivuka chumbani iwe hotelini au nyumbani,kumbuka vyumba ni self.
Kivumbi kwa somoe binti wa mwananyamala sitamsahau anaachia mashuzi live kama pikipiki ya Halley Davidson au Kawasaki na harufu yake kama mmelala usingizi utakata tu,
Akienda msalani ni nyumba nzima harufu ya ajabu
Mtu breakfast anapiga mayai ya kuchemsha, maziwa, mkate, maharage halafu anashushia na mtindi baadae. Balaa lake hapo akiachia shuzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbali na aibu, pia unywaji wa maji mengi na kuzingatia mlo bora inachangia kutotoa harufu za ajabu ajabu hususani unapokwena msalani au kutoa hewa chafu.
Ni tabia mbaya tu aisee.Wanawake wengi wameumbwa na aibu hawezi kutoa shuzi tuu mbele ya mpenzi wake. Kuna huyo kaka jamani alikuwa anatoa mashuzi bila hata aibu, anatoa mashuzi yananuka kama umelala hadi usingizi unakata sipendi kabisa yaani
Huyo ni hakuheshimu. Muulize anaweza kujamba mbele ya baba yake na mama yake?Vipi mimi kuna mmoja anajamba mbele yangu hii ni ishara ya nini?
Kuna wengine wanasema ni mapenzi... kwamba binti analalamika dume lake linamuachia mashuzi kwa makusudi. Kuna wanaume wenzetu mapimbi sana (kwa mtazamo wangu).!Kuachia mashuzi au kwenda kujisaidia na kutoacha ustaarabu wa kimazingira ni aina ya uchafu kama uchafu mwingine.
Kujamba ukiwa na mwenzako halafu maharufu yakasambaa na mwenzako akayanusa ni ushamba kama mwingine tu na ni kukosa adabu.
Kwenda chooni kujisaidia na kisha kuruhusu mwenzako akapata ile harufu ya shughuli zako ni matokeo ya kutokuwa na nidhamu na kutojiheshimu.
Huyo mwanamke anajitambua na ana adabu sana na wewe. Miaka mitatu ameweza kukupa taswira kuwa yeye ni msafi muda wote hiyo itakufanya uwe very comfortable ukiwa nae. Ni rahisi sana kuwa na ustaarabu kwa mwenzako na asipate kero ya harufu za ajabu. Ni sehemu ya kuheshimiana na kuishi kwa adabu na kufanya uwe na mvuto kwa mwenzako zaidi.
Weka ratiba yako ya kukata gogo muda ambao mwenzako atakuwa aidha ametoka au yupo busy na kazi.
Jifunze kumpisha mwenzako chumbani bila kuongea chochote. Ukiona kaingia washroom wewe toka hata uende nje kujinyoosha ili umpe privacy ya kujilipua.
Hakikisha bafuni kuwe na maji ya kutosha, na marashi ya kuleta harufu nzuri hapo ndani. Kuwe na usafi wa muda wote.
Ukibanwa na ushuzi nenda nje tafuta kona nzuri achia shuzi lako then rudi ndani kwa mwenzako ukiwa hauna hewa chafu. Kumjambia mtu ni ishara kuwa hauna adabu kwake na hauna heshima nae. Hivi unaweza kumjambia baba yako au mama yako au mkweo au boss wako, au mchungaji wako au mufti wako? Why sasa umjambie mtu muhimu kama mwanaume/mwanamke wako?
Anyways, tuwaheshimu wapenzi wetu wanaotuheshimisha hapa duniani.
Mwanangu unachekesha sana ww ni bonge la comedian.Kuachia mashuzi au kwenda kujisaidia na kutoacha ustaarabu wa kimazingira ni aina ya uchafu kama uchafu mwingine.
Kujamba ukiwa na mwenzako halafu maharufu yakasambaa na mwenzako akayanusa ni ushamba kama mwingine tu na ni kukosa adabu.
Kwenda chooni kujisaidia na kisha kuruhusu mwenzako akapata ile harufu ya shughuli zako ni matokeo ya kutokuwa na nidhamu na kutojiheshimu.
Huyo mwanamke anajitambua na ana adabu sana na wewe. Miaka mitatu ameweza kukupa taswira kuwa yeye ni msafi muda wote hiyo itakufanya uwe very comfortable ukiwa nae. Ni rahisi sana kuwa na ustaarabu kwa mwenzako na asipate kero ya harufu za ajabu. Ni sehemu ya kuheshimiana na kuishi kwa adabu na kufanya uwe na mvuto kwa mwenzako zaidi.
Weka ratiba yako ya kukata gogo muda ambao mwenzako atakuwa aidha ametoka au yupo busy na kazi.
Jifunze kumpisha mwenzako chumbani bila kuongea chochote. Ukiona kaingia washroom wewe toka hata uende nje kujinyoosha ili umpe privacy ya kujilipua.
Hakikisha bafuni kuwe na maji ya kutosha, na marashi ya kuleta harufu nzuri hapo ndani. Kuwe na usafi wa muda wote.
Ukibanwa na ushuzi nenda nje tafuta kona nzuri achia shuzi lako then rudi ndani kwa mwenzako ukiwa hauna hewa chafu. Kumjambia mtu ni ishara kuwa hauna adabu kwake na hauna heshima nae. Hivi unaweza kumjambia baba yako au mama yako au mkweo au boss wako, au mchungaji wako au mufti wako? Why sasa umjambie mtu muhimu kama mwanaume/mwanamke wako?
Anyways, tuwaheshimu wapenzi wetu wanaotuheshimisha hapa duniani.
Dah pole sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio alivyofanya yaani, kanitumia weeeee, kanigeuza geuza kama chapati halafu akaanza kunitolea na mashuzi....huko aliko Mungu anamuona aiseee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumbeMwanamke wa hivyo pia utakuta ni msafi sana kwa asili,anajipenda na sio mtu wa maigizo kwenye mapenzi..
Ungemwambia tu na wewe vipi mkuu mbona unachafua mazingira...?Nilikua porini siku moja na jamaa raia wa Canada sasa tupo ndani ya gari nimekunywa juice imeisha si nikatupa box nje ile mazoea .akasema Noo that's no good for environment. Sasa chaa ajabu tumeteremka tunaongozana kuelekea sehemu jamaa anajamba puu puu yuko tu ooh sorry. Nikajisemea tu moyoni hawa watu weupe ustaarabu zero kabisa.
Wanawake wengi wameumbwa na aibu hawezi kutoa shuzi tuu mbele ya mpenzi wake. Kuna huyo kaka jamani alikuwa anatoa mashuzi bila hata aibu, anatoa mashuzi yananuka kama umelala hadi usingizi unakata sipendi kabisa yaani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani acha tuuDah pole sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante ladies and gentlemen, sema jitahidi usiwe unatoa mashuzi kizembe maana hata breki hakuna hukosawa Binti chawote kwakushea uzoefu wako
piga keleeeleeeeeeNdio alivyofanya yaani, kanitumia weeeee, kanigeuza geuza kama chapati halafu akaanza kunitolea na mashuzi....huko aliko Mungu anamuona aiseee