Niliishi na mwanamke miaka mitatu sikuwahi kunusa wala kusikia akipumua mashuzi

li
limeachwa hilooooo.limeliwa likaachwa[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Mental illness is real....acha kuniattack kila siku mbona aliyeniacha akaja kwako nilishakuachia na anakufukua mtaro kila siku??? Nimebaki single maza sababu ya wewe mwanaume kujitongozesha kwa mwanaume mwenzio au mpaka niweke DM zako za kujitongozesha kwa baba mtoto wangu na mpaka siku amekufukua mtaro??
Au ameshakufukua wee na kakuacha unahisi karudi kwangu ndio unanimalizia hasira??
 
ukiweka huu upupu wako hapa nakutumia laki moja Sasa hivi.

nakuongea Pumba na vitu ambavyo havipo ndio kumepelekea ukaachwa na Sasa nisingo mamá mwenye nyota tatú Yani ushakubuhu kwenye usingo mamá.
nakushauri njoo inbox nikustri mana Mimi nimzoefu wakutunza misingo mamá isije kufa kwa stress. karibu sana
 
Ushawahi kuona Shoga anasitiri mwanamke[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa laki utapata wapi na huna hata kazi unakaa kwa ndugu yako...nicheke mie, malaya umekubuhu halafu unafi** a bure?? Hayo ni matumizi mabaya ya mtaro wako
 
Binafsi nasumbuliwa na gesi San natfuta daawa nitokomeze Hali hii
Kuna dawa wahaya wanaita akaswagala au mzumbasha uwe unaitumia kuweka kwenye chai,ni aina ya mint fulani kiboko ya gesi tumboni
 
Huu ushsuri wapenzi ns wanandoa wauzingatie
 
Too much,is harmful.Mi mwenyewe sipendi kulala na mtu yeyote,ambaye anachafuachafua hali ya hewa hovyohovyo.
 
Kuhusu hilo, nina uhakika yeye ana stori kinyume kabisa na yako kuhusu wewe!!
 
We mwamba!!
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujamba na kujisaidia haha yoyote ni vitu vya asili ya mwili, huyo anayekuonyesha mashuzi ndo wa kuoa au kuolewa nae.Ukiona hadi ushuzi anabana huyo muogope kama ukoma, ana mengine makubwa anaficha ikiwemo kutokuwa mwaminifu
 
Mkiwa kwenye gari yenu inabidi usimamishe ushuke eeeeeh ili umwachie nafasi.Mahusiano ni urafiki hasa yanapokuwa ya dhati.Msiishi kama mtu na mzazi wake, jiachieni ili kila mmoja afurahie.
 
Ushawahi kuona Shoga anasitiri mwanamke[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa laki utapata wapi na huna hata kazi unakaa kwa ndugu yako...nicheke mie, malaya umekubuhu halafu unafi** a bure?? Hayo ni matumizi mabaya ya mtaro wako
Umeambiwa leta ushahidi upewe laki moja, umebaki kubinua makalio.
 
Umeambiwa leta ushahidi upewe laki moja, umebaki kubinua makalio.
Najua hiyo laki hana ndio maana hata sijihangaishi nae...vipi unanionea wivu ninavyobinua makalio???
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]sio kila mwanamke anaweza kufanya hayo mbele ya mpenzi wake au mbele za watu
 
Wanawake wengi wameumbwa na aibu hawezi kutoa shuzi tuu mbele ya mpenzi wake. Kuna huyo kaka jamani alikuwa anatoa mashuzi bila hata aibu, anatoa mashuzi yananuka kama umelala hadi usingizi unakata sipendi kabisa yaani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…