Nilijenga kwenye kiwanja cha familia ya mke wangu sasa bahati mbaya mke wangu huyo amefariki

Nilijenga kwenye kiwanja cha familia ya mke wangu sasa bahati mbaya mke wangu huyo amefariki

Pole mkuu. Ulijisahau kwa maneno mazuri ya wakwe zako ukadhani ni ndugu zako wa damu. Wakuu mali zipo dom, natafuta mahali nipeleke ukweni. 24,000 na 22,000 tu
 

Attachments

  • IMG_6628.jpeg
    IMG_6628.jpeg
    1.2 MB · Views: 4
  • IMG_6627.jpeg
    IMG_6627.jpeg
    1.6 MB · Views: 4
Pole Sana kwa kufiwa na mkeo. Kama ulibarikiwa kupata watoto na huyo mkeo Marehemu basi chukulia hiyo ni Mali ya watoto, na kama unataka kuoa mwanamke mwingine ni salama zaidi kwenda kutafuta sehemu nyingine ya kuishi na huyo mwanamke wako, . Pole sana
We jamaa ni mtu
 
Hakuna balaa yoyote kwenye hilo
Oa mdogo wake au cousin yake ili uwe bado na familia hiyo
Dunia yenyewe hii na maisha yenyewe haya
Hakuna balaa hapo ila endeleza undugu tu
Hii ipo sana hata kwenye mila nyingi

Ongea na mama mkwe
 
Wakuu ndiyo ipo hivyo

Baba yangu mkwe alibahatika kuwa na uwanja mkubwa sana hivyo aliamua kuufanya uwanja huo kuwa ni uwanja wa familia yake hivyo aliamua kuwagawia kiwanja hicho watoto wake wote kila mtoto wake na kipande chake.

Watoto wake wenyewe wapo sita hivyo kila mmoja akamkatia kiwanja chake na kilichobakia anakaa yeye mwenyewe baba mke na mke wake na ndugu wengine.

Sasa mimi na mke wangu tukaona haina haja ya kununua uwanja mwingine ni bora tu nijenge kwenye uwanja huo huo ili kuokoa gharama ya kununua uwanja mwingine.

Sasa kwa bahati mbaya mke wangu amefariki. Najiuliza maswali mengi sana.
Hatma yangu ni ipi baada ya mke wangu kufariki?

Naweza kuoa mke mwingine na kuishi naye hapa kwenye hii nyumba niliyojenga kwenya kiwanja cha familia alichopewa marehemu mke wangu na baba yake na ndugu wa mke wangu aliyefariki wakaniacha salama kweli?

Je, naweza kuuza nyumba hii niliyojenga kwenye huu uwanja wa familia kweli na ndugu wa mke wangu alifariki wakanielewa?

Naweza kuishi hapa kwa amani kweli?

Mmmmmh! Nimekumbwa na balaa zito sana wakuu.
😲😲🤔
 
Wakuu ndiyo ipo hivyo

Baba yangu mkwe alibahatika kuwa na uwanja mkubwa sana hivyo aliamua kuufanya uwanja huo kuwa ni uwanja wa familia yake hivyo aliamua kuwagawia kiwanja hicho watoto wake wote kila mtoto wake na kipande chake.

Watoto wake wenyewe wapo sita hivyo kila mmoja akamkatia kiwanja chake na kilichobakia anakaa yeye mwenyewe baba mke na mke wake na ndugu wengine.

Sasa mimi na mke wangu tukaona haina haja ya kununua uwanja mwingine ni bora tu nijenge kwenye uwanja huo huo ili kuokoa gharama ya kununua uwanja mwingine.

Sasa kwa bahati mbaya mke wangu amefariki. Najiuliza maswali mengi sana.
Hatma yangu ni ipi baada ya mke wangu kufariki?

Naweza kuoa mke mwingine na kuishi naye hapa kwenye hii nyumba niliyojenga kwenya kiwanja cha familia alichopewa marehemu mke wangu na baba yake na ndugu wa mke wangu aliyefariki wakaniacha salama kweli?

Je, naweza kuuza nyumba hii niliyojenga kwenye huu uwanja wa familia kweli na ndugu wa mke wangu alifariki wakanielewa?

Naweza kuishi hapa kwa amani kweli?

Mmmmmh! Nimekumbwa na balaa zito sana wakuu.
hapo huna nyumba,chaps lapa.Kaanze maisha mapya.Kama MNA watoto waachie hi yo nyumba
 
Hii gari hukuwahi kuiona? Mbona inazunguka sana kuhamasisha tusijenge ukweni?
Screenshot_20241218-173951~2.jpg
 
Wakuu ndiyo ipo hivyo

Baba yangu mkwe alibahatika kuwa na uwanja mkubwa sana hivyo aliamua kuufanya uwanja huo kuwa ni uwanja wa familia yake hivyo aliamua kuwagawia kiwanja hicho watoto wake wote kila mtoto wake na kipande chake.

Watoto wake wenyewe wapo sita hivyo kila mmoja akamkatia kiwanja chake na kilichobakia anakaa yeye mwenyewe baba mke na mke wake na ndugu wengine.

Sasa mimi na mke wangu tukaona haina haja ya kununua uwanja mwingine ni bora tu nijenge kwenye uwanja huo huo ili kuokoa gharama ya kununua uwanja mwingine.

Sasa kwa bahati mbaya mke wangu amefariki. Najiuliza maswali mengi sana.
Hatma yangu ni ipi baada ya mke wangu kufariki?

Naweza kuoa mke mwingine na kuishi naye hapa kwenye hii nyumba niliyojenga kwenya kiwanja cha familia alichopewa marehemu mke wangu na baba yake na ndugu wa mke wangu aliyefariki wakaniacha salama kweli?

Je, naweza kuuza nyumba hii niliyojenga kwenye huu uwanja wa familia kweli na ndugu wa mke wangu alifariki wakanielewa?

Naweza kuishi hapa kwa amani kweli?

Mmmmmh! Nimekumbwa na balaa zito sana wakuu.
Waachie watoto usiuze hiyoo
 
Back
Top Bottom