Nilijiapiza mjini nitarudi kutembea tu, lakini hapa nimelalia maboksi baada ya kuungua na maisha ya kijijini

Nilijiapiza mjini nitarudi kutembea tu, lakini hapa nimelalia maboksi baada ya kuungua na maisha ya kijijini

Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
Afadhali weye umelala kwenye maboksi.Mimi nimekesha natembea kutoka kijijini kwetu.Naweza kufika mjini labda keshokutwa.Nitanunua chumvi tu halafu nageuza kurudi kijijini kwetu.
 
Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
Pole sana maisha ni mapambano fani Yako inahitajika sana mjini kuliko kijijini..kama haujaoa hiki kipindi cha kulalia mabox ndio kizuri kutafutia mke usiogope kuingizwa demu ghetto.

Wako katika ujenzi wa Taifa
 
Pole sana maisha ni mapambano fani Yako inahitajika sana mjini kuliko kijijini..kama haujaoa hiki kipindi cha kulalia mabox ndio kizuri kutafutia mke usiogope kuingizwa demu ghetto.

Wako katika ujenzi wa Taifa
nnae mke na mtoto tayari nimewaacha kijijini ila wanakuja karibuni
 
Kwanini usije Dar es salaam?
Arusha daaaahhh, napaona pagumu sana kiutag
Arusha nimeishi ndo maana nilikuja nikiwa nimezoea
Japo dar pia nimeishi zaidi ya miaka minne
 
Muda uliotumia ungeingia kwenye siasa na kuwa chawa. Kazi ikawa kusifu sifu wakubwa . Ungekuwa mbali sana
 
Daaah mtu anataka kua tajiri ndani ya miezi 5 tu.basi hata mjini ukaze kweli kweli
 
Kijijini ni shamba na jembe tu ufundi wako uwapelekee illiteracy society utawasaidia Nini.!?
 
Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
Njoo ujaribu huku DSm.Nitakupokea uangalie stuation
 
Back
Top Bottom