Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Mmh
 
Hahah!ila hata mwamba kakazaa sanaa...we shangaa mwanamke ni mtu wa kuficha sanaa tabia zake ila hapa kajitanabahisha kuwa mtaani alikuwa kapewa jina la mdomo pistol....imagn mwamba alikuwa anaishije na hicho kiumbe?
Mwamba kakomaa kweli yani! Mie Dem mropokaji hatuvuki hata kigamboni😂
 
Reactions: BRB
Hii kwa wanaume wenzangu tutafute pesa..... leo dada kashidwana na mwenzie kamwaga mchele huku jf hadi na picha!!! Hii ni aibu kubwa sana kw sisi wanaume na pia kabla hamjaingia kwenye ndoa chunguza sana familia unayotaka kuoa na mwanamke unaetaka kumuoa’!! Usioe tu kwasababu ananipenda hapana chunguza mambo ya msingi,!! Mambo ambayo mkifanyiana Kwa upendo wenu wenyewe mwisho wa siku yanaweza kukuumiza na ukajifanya vibaya! Narudi kwa dada apo kwanza pole kwa changamoto, lakini nashidwa kutoa ushauri kwasababu kesi hatujasikiliza na upande wa pili unaseamaje.... pili umekosea kwann unaweka picha za mwenzio humu ivi ndo mlivyo kubaliana? Niliwai kusema ndoa Sio mahusiano kuishi maisha ya ndoa kuna hitaji mapenzi ya kweli na mapenzi ya kweli no regret..... sijui nilifanya ivi na vile ulifanya Kwa upendo basi ilo libaki na kuheshimiwa ivyo!!!! Kwenu kina dada wote sisi wanaume mki tucheat ukweli kabisa ili tendo hatuwezi kusamehe tegemea vurugu uko ndani kwako, mkiona mmefika hatua yakucheat make sure mwenzi wako asijue akijua ilo gubu lake sio la kawaida na litawacost!!!! Uyu jamaa kimemuuma wewe kucheat ndo sababu kila wakati anakukumbusha tafsiri yake kashidwa kusamehe ilo!!!!! Polee Sana rafiki lakn jikaze yatapita na maisha lazima yaendelee
 
Inaonekana jamaa hana hela tu lkn vingine yuko vizr hadi ugharamie vyote ivyo kwake tu ,pia akubali kurudi kwako tena n anakupenda sana kaa fikria upya , alaf wanaume huwa hatupigi wanawake tusiowapenda ,ni kama tu ku'kukumbusha mm cio dada ako ,unajisahau kuwa na hela hakufanyi mwanaume ,
 
Kilichomshinda mwanaume mwenzio ,ww nae mwanaume tu hawa ma' single mothers wengi wao n lazima wawe na usugu fulani,
 
Ninachoamini mimi, mwanamke mtulivu ni dawa ya mambo yote. Mie mwanaume hutulia hata kama niko vipi! Mwanamke hata ukijinunulia pete, mpe hela mwanaume, jitolee mahali, aisee ni kazi bure kama huna utulivu!

Mwanamke Limbukeni na Asiye mtulivu kiukweli mimi kwangu hao ni maadui!
 
Nimesoma yote ila tatizo una mdomo pistol hakuna mwanaume anataka kuishi na mwanamke mdomo pistol kama wako,kutokana na Domo lako nahisi ukawa una msimanga jamaa kisa hana kazi kipigo ndo kilikua size yako na hilo Domo lako pistol
 
Nilikuwa nashangaa Tz nani ana muda wa ushauri nasaha Kwa matatizo ya mtu baki?
 
Da mdomo pistol mimi siwez kuvumilia kwa kweli nina hasira za karibu sana sipendi mwanamke talkative
Bullying sipendi tutauana bure
 
Ukizingatia jamaa ana stress za kuyumba kiuchumi

Nadani Tatizo kupigwa makofi kila Mara,
Nadhan chanzo Kiko hapa Hapa[emoji116]

"tena me wananiitaga mdomo pistol maana maneno yanayonitoka nikikasirika ni kama pistol....."
Na wanawake wengi shida inakuwaga hapo tu. Mwanamke mwenye tabia hizo namuogopa kama ukoma. Kama una tabia hizo za mdomo mdomo. Pamoja na yote uliyopitia sikuonei huruma. Ni size yako. Ndoa yako uliivunja kwa mikono yako
 
Wanawake uwa wanakosea mahusiano yao kwa ku-cheat tu,si rahis Mwanaume kuvumilia hilo suala.Ata akikusamehe,atabaki na kovu ambalo ukiligusa tu unalitonesha.
 
Ndugu apa umemaliza asilimia 90.
 
Hongera umemove on. Mpk kuandika haya mean moyoni saizi unaamani ya kutosha. Bwana Yesu Asifiweeee. Sema Ameen!! Ubarikiwe
 
Unafaa sn kua mshaur sahii wa maswala ya ndoa.

Tukiongea wanaume tunaonekana tunawakandamiza na mfume dume,

Ila wanasahau kua nature Ndo imeselect iwe hivyo.
True Mimi mwenyewe ni mwanamke ila sipendi mambo ya ugomvi ugomvi na gubu, au kutukana kisa tumekoseana hyo huua kabisa mahusiano na kingine wanawake tu a midomo sana tukianza kuongea hatuna break na hapo ndio shida nyingine ilipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…