joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Siku zote wanawake huwaga wanapenda kutafuta huruma kwa watu hasa pindi ndoa au mahusiano ya kivunjika ili kuwa aminisha watu mme wake alikuwa mkorofi na mara nyingi sisi wanaume huwaga hatuwajibu ,kwani tunayo ya kwao mengi bali tuna baki maumivu yetu vifuani mwetu na kuendelea na maisha yetu.Umenena Vema kabisa.
Mume wa uyu dada kapitia changamoto Sana.
Na Kama na yeye Angelikuja kusimulia humu,
Basi Hali ya hewa ingechafuka Sana humu.
Kwahiyo by any means unaruhusiwa kupiga mtu siyo?Hii stori imelalaia upande mmoja hii.
Kila Mara unalalamika vipigo, vipigo, mnyanyaso ila chanzo husemi.
Sitaki kuamini mume wako uyo anamashetani TU, anaamka anakupiga bila Sababu.
Mtoa mada Kuna kitu unatuficha
KWELI mkuu,Siku zote wanawake huwaga wanapenda kutafuta huruma kwa watu hasa pindi ndoa au mahusiano ya kivunjika ili kuwa aminisha watu mme wake alikuwa mkorofi na mara nyingi sisi wanaume huwaga hatuwajibu ,kwani tunayo ya kwao mengi bali tuna baki maumivu yetu vifuani mwetu na kuendelea na maisha yetu.
Kmmk aondoke. Unaishi kwangu halaf unaniletea ufala? Cha ajabu hapo nn? Watoto wa kiume mchelemcheleMtoa mada unatatizo la kimaadili,
Ata Kama ugombane vipi na mme wako, unapata wapi ujasili kwa kumwambia AONDOKE? [emoji116]
"...Nisingejua kuhusu huyo mwanamke nafikiri bado ningekuwa naye. Nikamwambia aondoke. Hiyo ni miezi minne tu baada ya harusi....."
Inamaana unataka kutuaminisha Yule alikua mfugo wako au kibenten wako?
Kwa uzoefu wangu,
Wanawake mkishapata vifedha, na nyinyi mnajiona mmeshakua wababa wa familia.
TWENDE MBELE TURUDI NYUMA, unatatizo la kimaadili.
Hata Kama jamaa ajakuja hapa tukamskia upande wake,
Ila kwa haraka HARAKA nikikusoma herufi kwa herufi uandishi wako, unatabia ya kumdominate mwanaume kwasababu TU umemlisha.
Iyo Ni tabia mbaya
Na HAKUNA MWANAUME alokamilika ATAVUMILIA UPUUZI HUU.
sisapoti kupiga,Kwahiyo by any means unaruhusiwa kupiga mtu siyo?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mkui. Marudia tena, biashara yako iwe yako maamaaeee. Yes. She is damnly right. Biashara yangu ukachukue hela ukagongee mademu zako? Yaqn safi sana. Unaambiwa ukitaka mahusiano yenu yaishe salama kila mtu awe na chake. Nimejifunza, hata nikafa bora wale ndugu zangu... mumetufindisha ushenzi. Tunyooshane tu. Ye mwanaume anafanya nn. Ni wanaume wangapi wanavhukulowa mikopo na walimu na manesi kw akuombwa na bado wanatelekezwa? Girl, u did rhe right thing. Hakua anakupenda. Muliishi kimazoeaMtoa mada sio kwamba nakusema sana.
La hasha,
penye ukweli lazima tuseme. Wewe pia Una matatizo.
Hapa unatwambia mumeo hakua na ajira, afu wewe una ajira.[emoji116]
"....Mimi huku nako niliendelea kuchakarika, kuanzisha biashara n.k."
Hivi Umeolewa uko na mume wako, afu umeajiriwa
Unaendelea kuchakarika na kuanzisha biashara mpya za peke yako (bila shaka uliweka watu Baki wasimamie) .
afu baba mtoto wako anashinda TU nyumbani na rimoti Kama lisanamu. Is this fair?
Afu baadae
Unakuja mlalamikia na kumsimanga apa mwenzako eti[emoji116]
"Nilichogundua, mwanaume akiwa hana kitu chake/pesa yake anakuwa hajiamini kabisa...."
Hii HAIKUBALIKI na siwezi kukuelewa kabisa.
Hukumtendea haki Wala kuthamini nafasi yake kwako.
Unajitafutia matatizo. Wengine tunakulaza ndani. Hatutaki ujingasisapoti kupiga,
Ila Kuna vitu vya kipumbavu vikifika kikomo solution Ni kuubamiza mdomo kelele zipungue.
Kesho mnadai 50/50,kumbe hata mnachodai hamkijui.Mkui. Marudia tena, biashara yako iwe yako maamaaeee. Yes. She is damnly right. Biashara yangu ukachukue hela ukagongee mademu zako? Yaqn safi sana. Unaambiwa ukitaka mahusiano yenu yaishe salama kila mtu awe na chake. Nimejifunza, hata nikafa bora wale ndugu zangu... mumetufindisha ushenzi. Tunyooshane tu. Ye mwanaume anafanya nn. Ni wanaume wangapi wanavhukulowa mikopo na walimu na manesi kw akuombwa na bado wanatelekezwa? Girl, u did rhe right thing. Hakua anakupenda. Muliishi kimazoea
Imagine biashara zingekua share. Ungekomaaa. Share kafanye kwenu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kama vijana mpk mnaolewa siku hizi mnafikri nn? Wanawake wanapigana nyie mmelala tu. Acha mkomeahwe kwa kuendekeza umarioooMwanamke wa kiafrika hajalelewa hivo, hup uzungu uzungu unawaharibu
Ndo maana tunakataaga mshike vijisenti
Ewaaah, huu ushauri runashauriwa sana siku hizi. Mahusiano hayaeleweki. Unasema uwekeze na partner wako, dk 0 amekuibia kila kitu amekihamishia kungine unabaki unalia na mahusiano yanakufa. Majority ya hizi mambo hufaaa...Kesho mnadai 50/50,kumbe hata mnachodai hamkijui.
Mwendo wa Changu Changu, Chako Changu.
PointHii stori imelalaia upande mmoja hii.
Kila Mara unalalamika vipigo, vipigo, mnyanyaso ila chanzo husemi.
Sitaki kuamini mume wako uyo anamashetani TU, anaamka anakupiga bila Sababu.
Mtoa mada Kuna kitu unatuficha
Hapo ndipo mnapojua wanaume tuna moyo wa kipekee uliojaa upendo. Mwanaume ana uwezo wa kuishi na mwanamke hasiye na kazi na akamtunza kuanzia mke pamoja na familia yake.Ewaaah, huu ushauri runashauriwa sana siku hizi. Mahusiano hayaeleweki. Unasema uwekeze na partner wako, dk 0 amekuibia kila kitu amekihamishia kungine unabaki unalia na mahusiano yanakufa. Majority ya hizi mambo hufaaa...
Usimpe mwanaume hela
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Umenena vema kabisa,pole, ila ulisahau kitu kimoja
kamwe, mwanaume hawezi kumsamehe mwanamke aliyemcheat..
roho ya kusamehe tulipewa wanawake tu.
kaa tulia, jipe muda tafta mwanaume asiyekujua muanze upya
Kenyan women are ruthless and trouble maker, they never settle for less!!!Ukizingatia jamaa ana stress za kuyumba kiuchumi
Nadani Tatizo kupigwa makofi kila Mara,
Nadhan chanzo Kiko hapa Hapa[emoji116]
"tena me wananiitaga mdomo pistol maana maneno yanayonitoka nikikasirika ni kama pistol....."
Kuna tatizo mahali,
Mwanzo mwisho wa Hii stori mwanamke anaongelea kugharamia matumizi yote panapohitajika pesa.
Mwishoni kabisa Anashauri wanawake waolewe na wanaume wachapakazi.
Ukirejea mwanzoni, anatumbia mwanaume wake aliachishwa kazi (he was jobless).
Ila kuna mahali kasema yeye alikua na kazi ilokua inampa kipato cha kutosha mpk Cha kugharamia nyumbani, Pete, HARUSI na ndoa n.k
Ila sijaona kokote alikoonyesha juhudi za kumkwamua mwanaume wake kiuchumi ili wasonge wote mbele.
angalau kusema kamtaftia mtaji afungue genge, au kumuunganisha na kazi fulani jamaa akagoma kwenda kuifanya.
Mtoa mada Ni Aina ya wanawake wanaotaka mwanaume FINISHED PRODUCT.
Ni mwepesi Sana wa kulaumu mwenzie kutokua na kazi au kujishughulisha.
Wakati hajampa nyenzo wala Njia yoyote ya atokee wapi.
Mtoa mada
Ni sawa na kina ndugai wanaposema vijana wajiajili, serikalini hamna ajira. Wakati hawajawatengenezea nyenzo yoyote wahitimu Hawa kujiajili.
Mtoa mada sio kwamba nakusema sana.
La hasha,
penye ukweli lazima tuseme. Wewe pia Una matatizo.
Hapa unatwambia mumeo hakua na ajira, afu wewe una ajira.[emoji116]
"....Mimi huku nako niliendelea kuchakarika, kuanzisha biashara n.k."
Hivi Umeolewa uko na mume wako, afu umeajiriwa
Unaendelea kuchakarika na kuanzisha biashara mpya za peke yako (bila shaka uliweka watu Baki wasimamie) .
afu baba mtoto wako anashinda TU nyumbani na rimoti Kama lisanamu. Is this fair?
Afu baadae
Unakuja mlalamikia na kumsimanga apa mwenzako eti[emoji116]
"Nilichogundua, mwanaume akiwa hana kitu chake/pesa yake anakuwa hajiamini kabisa...."
Hii HAIKUBALIKI na siwezi kukuelewa kabisa.
Hukumtendea haki Wala kuthamini nafasi yake kwako.