Sheffer95
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 211
- 515
Habarini za muda huu wanajamii forum pole na majukumu mazito ya ujenzi wa taifa.
Iko hivi hizi siku za hv karibuni nimeona mabadiliko makubwa kwa mwandani wangu wa muda mrefu, moja amekuwa mkimya sana na kukosa ile nuru na uchangamfu ambao alikuwa nao sikuzote, pili pindi niwapo mbali amekuwa na taboa ya kutokujibu sms na muda mwingie hata simu nikimpigia kujua Hali ya hapo nyumbani ikoje. Sasa niliporudi ikabidi nimuweke chini nimueleze juu ya tabia hizi na kwamba Nina mpango nimrudishe kwao akapumzike na kujitafakari upya, ndipo alipo niambia
Anhaaa hongera naona unataka kunirudisha nyumbani ili uvinjali na mchepuko wako ..xxxx... aisee mwanaume nikashtuka na kijasho Chembamba kikaanza kunitoka kwamba amemjuaje huyo mtu na mbona mm nipo makini sana?
Akaanza kuniambia huyo mtu sehemu anapoishi, duka lake lilipo ambalo anahisi nimemfungulia, na mambo mengine mengi kumhusu mtu huyo mpaka nikashangaa na akaniambia ni kama miezi 6 sasa toka ajue na kufuatilia. Aiseeee ikabd kwanza nimkazie na kumwambia kwann hqkuniuliza mida wote huo na kuendelea kunijudge wakati mtu huyo ni rafiki tu ambae huwa tunataniana na kwamba huyo ana mtu wake pia mm siwezi toka na mtu kama huyo nikajitetea pale nashukuru amenielewa na nimemuonya kuacha kuweka vitu moyoni badala yake aulize, hivyo nawashauri wanaume we zangu tuwe makini sana hatuwezi jua hawa viumbe emotions zikiwapanda watafanya nn.
Anyway kumridhisha zaidi leo weekend nilimtoa out na kuweka mambo Sawa na kuzungumza zaidi mipango yetu mikubwa na namnq tupambanie kufanikisha sio kusikiliza maneno ya uchonganishi na umbea huko nje
Iko hivi hizi siku za hv karibuni nimeona mabadiliko makubwa kwa mwandani wangu wa muda mrefu, moja amekuwa mkimya sana na kukosa ile nuru na uchangamfu ambao alikuwa nao sikuzote, pili pindi niwapo mbali amekuwa na taboa ya kutokujibu sms na muda mwingie hata simu nikimpigia kujua Hali ya hapo nyumbani ikoje. Sasa niliporudi ikabidi nimuweke chini nimueleze juu ya tabia hizi na kwamba Nina mpango nimrudishe kwao akapumzike na kujitafakari upya, ndipo alipo niambia
Anhaaa hongera naona unataka kunirudisha nyumbani ili uvinjali na mchepuko wako ..xxxx... aisee mwanaume nikashtuka na kijasho Chembamba kikaanza kunitoka kwamba amemjuaje huyo mtu na mbona mm nipo makini sana?
Akaanza kuniambia huyo mtu sehemu anapoishi, duka lake lilipo ambalo anahisi nimemfungulia, na mambo mengine mengi kumhusu mtu huyo mpaka nikashangaa na akaniambia ni kama miezi 6 sasa toka ajue na kufuatilia. Aiseeee ikabd kwanza nimkazie na kumwambia kwann hqkuniuliza mida wote huo na kuendelea kunijudge wakati mtu huyo ni rafiki tu ambae huwa tunataniana na kwamba huyo ana mtu wake pia mm siwezi toka na mtu kama huyo nikajitetea pale nashukuru amenielewa na nimemuonya kuacha kuweka vitu moyoni badala yake aulize, hivyo nawashauri wanaume we zangu tuwe makini sana hatuwezi jua hawa viumbe emotions zikiwapanda watafanya nn.
Anyway kumridhisha zaidi leo weekend nilimtoa out na kuweka mambo Sawa na kuzungumza zaidi mipango yetu mikubwa na namnq tupambanie kufanikisha sio kusikiliza maneno ya uchonganishi na umbea huko nje