Pole sanaa, Sema basi ndio hivo!!
Anza kushiriki naye kusali , muwe mnasali pamojaaa ,mpe kampani anavyosali.
Yaan muonyeshe kua umefanya badiliko toka ndani ya roho, hapohapo ukimfanya aendelee kujua kua Usaliti na Kisasi ni dhambi.
Usimchunguze wala nn
Usishike simu yake mara kwa mara kwa lengo la kuchunguza .
Kama kuna kitu alikuambia ulomfanyia Mchepuko na yeye hijamfanyia, Mfanyie kikubwa zaidi...
MTIE MARA KWA MARA, UKIMSIFIA KUA " WIFE K YAKO HII TOKA NIZALIWE NDIO INAYONIWEZEA SANAAAA NA IMENIKAMATAA"
utanishukuru.