BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Mwenzako nae ameshapata comfortability ya kuCheat....sasa cha kufanya wewe shikilia bomba vizuri gari inaelekea kwenye makorongo
Yani ataliwa huyoo aiseeh......anyway usisahau mrejesho
Mtu kakaa nalo rohoni miezi sita leo unaweka stakes zote kwake? Mzee at least fanya GG! She'll be hammered, that's for sure.Namjua vizuri sana na wala hawezi nisaliti nilishapitia nae mengi hawezi kamwe
Siku ukikuta message ya njemba inasifia game halafu akuambie ni rafiki tu pia ulete uzi hapa ,na ujue tu wana siku hizi wanatifua tope tu k hawana habari nazo.Habarini za muda huu wanajamii forum pole na majukumu mazito ya ujenzi wa taifa.
Iko hivi hizi siku za hv karibuni nimeona mabadiliko makubwa kwa mwandani wangu wa muda mrefu, moja amekuwa mkimya sana na kukosa ile nuru na uchangamfu ambao alikuwa nao sikuzote, pili pindi niwapo mbali amekuwa na taboa ya kutokujibu sms na muda mwingie hata simu nikimpigia kujua Hali ya hapo nyumbani ikoje. Sasa niliporudi ikabidi nimuweke chini nimueleze juu ya tabia hizi na kwamba Nina mpango nimrudishe kwao akapumzike na kujitafakari upya, ndipo alipo niambia
Anhaaa hongera naona unataka kunirudisha nyumbani ili uvinjali na mchepuko wako ..xxxx... aisee mwanaume nikashtuka na kijasho Chembamba kikaanza kunitoka kwamba amemjuaje huyo mtu na mbona mm nipo makini sana?
Akaanza kuniambia huyo mtu sehemu anapoishi, duka lake lilipo ambalo anahisi nimemfungulia, na mambo mengine mengi kumhusu mtu huyo mpaka nikashangaa na akaniambia ni kama miezi 6 sasa toka ajue na kufuatilia. Aiseeee ikabd kwanza nimkazie na kumwambia kwann hqkuniuliza mida wote huo na kuendelea kunijudge wakati mtu huyo ni rafiki tu ambae huwa tunataniana na kwamba huyo ana mtu wake pia mm siwezi toka na mtu kama huyo nikajitetea pale nashukuru amenielewa na nimemuonya kuacha kuweka vitu moyoni badala yake aulize, hivyo nawashauri wanaume we zangu tuwe makini sana hatuwezi jua hawa viumbe emotions zikiwapanda watafanya nn.
Anyway kumridhisha zaidi leo weekend nilimtoa out na kuweka mambo Sawa na kuzungumza zaidi mipango yetu mikubwa na namnq tupambanie kufanikisha sio kusikiliza maneno ya uchonganishi na umbea huko nje
Habarini za muda huu wanajamii forum pole na majukumu mazito ya ujenzi wa taifa.
Iko hivi hizi siku za hv karibuni nimeona mabadiliko makubwa kwa mwandani wangu wa muda mrefu, moja amekuwa mkimya sana na kukosa ile nuru na uchangamfu ambao alikuwa nao sikuzote, pili pindi niwapo mbali amekuwa na taboa ya kutokujibu sms na muda mwingie hata simu nikimpigia kujua Hali ya hapo nyumbani ikoje. Sasa niliporudi ikabidi nimuweke chini nimueleze juu ya tabia hizi na kwamba Nina mpango nimrudishe kwao akapumzike na kujitafakari upya, ndipo alipo niambia
Anhaaa hongera naona unataka kunirudisha nyumbani ili uvinjali na mchepuko wako ..xxxx... aisee mwanaume nikashtuka na kijasho Chembamba kikaanza kunitoka kwamba amemjuaje huyo mtu na mbona mm nipo makini sana?
Akaanza kuniambia huyo mtu sehemu anapoishi, duka lake lilipo ambalo anahisi nimemfungulia, na mambo mengine mengi kumhusu mtu huyo mpaka nikashangaa na akaniambia ni kama miezi 6 sasa toka ajue na kufuatilia. Aiseeee ikabd kwanza nimkazie na kumwambia kwann hqkuniuliza mida wote huo na kuendelea kunijudge wakati mtu huyo ni rafiki tu ambae huwa tunataniana na kwamba huyo ana mtu wake pia mm siwezi toka na mtu kama huyo nikajitetea pale nashukuru amenielewa na nimemuonya kuacha kuweka vitu moyoni badala yake aulize, hivyo nawashauri wanaume we zangu tuwe makini sana hatuwezi jua hawa viumbe emotions zikiwapanda watafanya nn.
Anyway kumridhisha zaidi leo weekend nilimtoa out na kuweka mambo Sawa na kuzungumza zaidi mipango yetu mikubwa na namnq tupambanie kufanikisha sio kusikiliza maneno ya uchonganishi na umbea huko nje
Yaaani
Ataliwaaa
Ataliwaaa
Na ataliwa tena!!!!
Aya mkuu usisahau mrejesho😄😄😄😄
Namjua vizuri na naelewa wapi nimguse na nn nimfanyie roho yake ilidhike na nimeshafanya hvyo na yy tabasamu sasa leo kama lote
Yani watabanduaaaaaYaaani
Ataliwaaa
Ataliwaaa
Na ataliwa tena!!!!
Nakazia,mleta mada ili jiweke kiakili kulikubali,lazima aliwe tu ili arudi sawa!!Shida moja, mwanamke akishajua unasaliti.
Nayeye ili arudi kua sawa ataliwa tu
LABDA AWE ANA HOFU NA MUNGU.
Ni lazima.Sio lazima
Alishasema kakulia kwenye uchokoraa hayuko sawa huyo kisaikolojiaNakukumbusha tu ya kua.
MUNGU HADHIHAKIWI HATA KIDOGO KAMWE
Watch ur mouth bro ipo siku utakuja kukubali uwepo wake, upendo wake kwako, huruma yake na uwezo alionao.
Kama mkeo ustadhati na mnakaa Maeneo ya kijichi na zone ya Huko ..bas pole..I smashed your woman..aliwahi kulalamika na nikatumia gia kumzabu
Sio muislam ni msabato na hatuishi kijichiKama mkeo ustadhati na mnakaa Maeneo ya kijichi na zone ya Huko ..bas pole..I smashed your woman..aliwahi kulalamika na nikatumia gia kumzabua
Yaan ww umeongea sasa kiutuuzima bila mihemko na sijui hao wanawake wanao waoa ni wanamna gani ambao kwao kwenda nje kucheat ni kitu rahisi hivyo kama kununua mahitaji sokoni.Jamaa wanakutisha tu apo kua ooh mke ukimcheat lazma na yeye akucheat UONGO MTUPU. Kati ya watu wanaosamehe kikwelikweli wanawake wanaongoza na ndio maana wanaishi mda mrefu yaani akikusamehe kasamehe kweli.
Ni ukweli usiopingika kua ni rahisi ndoa kuendelea mwaume akifumaniwa na mkewe, kuliko mwanamke akifumaniwa na mumewe. Hilo liko wazi hiyo inaonesha ni jinsi gani mwanamke anaweza kuvumilia maumivu na kuacha yapite.
Wanakupa moto tu hapa mkuu, mkeo keshakuamini na mipango mingine iendelee.
TUSIISHI KWA KUKALILI.
Kabisa mkuu, baadhi ya members JF wanawadharau sana wanawake yani ni kama hawawezi simamia miili yao vile. Kwao kucheat ni kama kununua pipi tu daah.Yaan ww umeongea sasa kiutuuzima bila mihemko na sijui hao wanawake wanao waoa ni wanamna gani ambao kwao kwenda nje kucheat ni kitu rahisi hivyo kama kununua mahitaji sokoni.