ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Lazima asawazishe iwe 1/1Shida moja, mwanamke akishajua unasaliti.
Nayeye ili arudi kua sawa ataliwa tu
LABDA AWE ANA HOFU NA MUNGU.
Tiba ya usaliti ni kisasi, take care.Sio wote wanafikiria visas na malipizi, kama ww ukikosewa na mtu wako basi unamcheat nampa pole sana huyo jamaa maana anaishi na mtu ambae yuko tayari kurisk kila kitu ili mradi tu alipize
Ni mpare, mjaluo, mjita? Makabila hayo yanaongoza kwenye hili dhehebu, ukinitajia origin yake tunaweza kuongea.Sio muislam ni msabato na hatuishi kijichi
Hii mbinu tushaijuwa, Na tupo nayo makini vibaya sanaTatizo letu wanawake tukishajua una saliti hata ufanye nini huwezi kurudisha ile thamani ya mapenzi kama awali, kuna dharau fulani na roho ya kisasi inakuwa ndani kwetu, kichwani kwetu kuna kuwa na why?? Nyingine, unakuwa huaminiki tena. Kuna zile wanaita butterflies zinaondoka unakuwa kama hisia kinamna fulani kama zimekata.
Yan usitegemee yale mapenzi haswa yatakuwepo kilichobakia ni ku fake upendo maisha yasonge. Msichojua wanaume ndio hicho yan tukishagundua kuna usaliti mapenzi yetu kwenu hayawezi kuwa kama awali never yan kama ni penzi linakuwa limeshakufa kinachobakia ni mazoea tu.
Kabla hujafanya usaliti fikiria hizi consequences maana Moyo wa mwanamke ukishaumia unaweza kuamua lolote lile na huwezi kamweeee kurudisha upendo kama awali. Mwisho wa siku unaharibu nyumba yako kwa mikono yako na tamaa za michepuko ambayo wala haina thamani nawe isipokuwa inatizama pochi yako, unakosa mapenzi ya dhati kwa mwanamke wako sababu anakuona mshenzi tu. Mwisho wa siku una kosa mapenzi kwa michepuko (Pochi) na kwa mkeo (Usaliti). Ndoa nyingi za kiafrika zimebakia katika hali ya mazoea tu.
Na kuliwa mwanamke inauma hahahaAjiandae tu kisaikolojia.
Kuliwa laaaazima aliwe tu!!! Hata miaka 3 mbele ataliwa tu!!!
Anakuwaje mvutoless wakati wewe umevutuwa nae na kumuoa? Kile kile ulichokiona ndo wajuba watakiona au yeye mwenyewe atakionesha kwa lazima hata mradi lengo litimie[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hata kama ana hofu ya shetani analiwa tu.
Labda awe mvutoless.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisaTatizo letu wanawake tukishajua una saliti hata ufanye nini huwezi kurudisha ile thamani ya mapenzi kama awali, kuna dharau fulani na roho ya kisasi inakuwa ndani kwetu, kichwani kwetu kuna kuwa na why?? Nyingine, unakuwa huaminiki tena. Kuna zile wanaita butterflies zinaondoka unakuwa kama hisia kinamna fulani kama zimekata.
Yan usitegemee yale mapenzi haswa yatakuwepo kilichobakia ni ku fake upendo maisha yasonge. Msichojua wanaume ndio hicho yan tukishagundua kuna usaliti mapenzi yetu kwenu hayawezi kuwa kama awali never yan kama ni penzi linakuwa limeshakufa kinachobakia ni mazoea tu.
Kabla hujafanya usaliti fikiria hizi consequences maana Moyo wa mwanamke ukishaumia unaweza kuamua lolote lile na huwezi kamweeee kurudisha upendo kama awali. Mwisho wa siku unaharibu nyumba yako kwa mikono yako na tamaa za michepuko ambayo wala haina thamani nawe isipokuwa inatizama pochi yako, unakosa mapenzi ya dhati kwa mwanamke wako sababu anakuona mshenzi tu. Mwisho wa siku una kosa mapenzi kwa michepuko (Pochi) na kwa mkeo (Usaliti). Ndoa nyingi za kiafrika zimebakia katika hali ya mazoea tu.
Wapo mimi na miaka yangu ya ndoa sijawahi kutoka nje ya ndoa yangu!! Speaking from experience aisee!!! Na sitarajii kunsaliti mwenza wangu kwa kutaman na kutoka nje ya ndoa yangu nina uhakika.Hakuna mwanamke asie Liwa zama hizi labda chonga mgomba uweke ndani,HAKUNA MWANAMKE WA PEKE YAKO WALA MWANAUME WA PEKE YAKO
Kazi yako haina changamoto za wanawake wazuri,pia huenda mazingira unayo ishi hayana pisi kaliWapo mimi na miaka yangu ya ndoa sijawahi kutoka nje ya ndoa yangu!! Speaking from experience aisee!!! Na sitarajii kunsaliti mwenza wangu kwa kutaman na kutoka nje ya ndoa yangu nina uhakika.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]endelea kumuinea huruma singoe mother usiionee huruma ndoa yako!!Huyu alijilengesha nikaona nikimchekea ataniona boya ingawa nilipanga nipige mara moja nimwache ila Sema ndio hvyo tena. Sema nae yuko poa sana ni single mother ana mtoto mmoja kila nikitaka kumwacha namuhurumia maana alishaniambia changamoto nyingi za maisha alizopitia, hivyo huwa namuonea huruma
Yaan ww umeongea sasa kiutuuzima bila mihemko na sijui hao wanawake wanao waoa ni wanamna gani ambao kwao kwenda nje kucheat ni kitu rahisi hivyo kama kununua mahitaji sokoni.Jamaa wanakutisha tu apo kua ooh mke ukimcheat lazma na yeye akucheat UONGO MTUPU. Kati ya watu wanaosamehe kikwelikweli wanawake wanaongoza na ndio maana wanaishi mda mrefu yaani akikusamehe kasamehe kweli.
Ni ukweli usiopingika kua ni rahisi ndoa kuendelea mwaume akifumaniwa na mkewe, kuliko mwanamke akifumaniwa na mumewe. Hilo liko wazi hiyo inaonesha ni jinsi gani mwanamke anaweza kuvumilia maumivu na kuacha yapite.
Wanakupa moto tu hapa mkuu, mkeo keshakuamini na mipango mingine iendelee.
TUSIISHI KWA KUKALILI.
Hii inaonyesha kwa kiasiTiba ya usaliti ni kisasi, take care.
Nampenda sana mke wangu lakini pia Nina huruma sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]endelea kumuinea huruma singoe mother usiionee huruma ndoa yako!!
Dont be so sure! Wanasema, never say never, Ila mimi nazidi kukuombea usiliwe nje ya ndoa...si umejiwekea nadhiri bwana!!Wapo mimi na miaka yangu ya ndoa sijawahi kutoka nje ya ndoa yangu!! Speaking from experience aisee!!! Na sitarajii kunsaliti mwenza wangu kwa kutaman na kutoka nje ya ndoa yangu nina uhakika.
Endelea kunuombea kwakweli nachukia sana nam najiombea sana maana sipendi kabisaDont be so sure! Wanasema, never say never, Ila mimi nazidi kukuombea usiliwe nje ya ndoa...si umejiwekea nadhiri bwana!!
Wenzako wanachapika kweli kweli, hasa huko maofisini. Ndoa ina mda gani?Endelea kunuombea kwakweli nachukia sana nam najiombea sana maana sipendi kabisa
Miaka michache tu lakin nina utaratibu wa kuwa na mwenza mmoja tu toka enzi na enzi kwahyo hata sahv sioni shaka kabisa najiamin na nadhiri nloweka!! Mimi mwenyrwe binafsi si intertain kuchepuka hvyo hakuna sababu itayokuja ya kunisababisha nifanye hvyo!!Wenzako wanachapika kweli kweli, hasa huko maofisini. Ndoa ina mda gani?