Nilijua kwa awamu hii Watanzania omba omba watapungua Nairobi, bado

Wapuuzi wanatuabisha hao..hata kama.wapo 10 tuu......kaz mbona.zipo mashamban huku.tunagitaji vjana wakusafisha.mashamba kwaajili ya maandalizi ya kulima....wao wanaleta uvivu huko.na.kusema.kaz hakuna...pigarisasi.hao
 
Wapuuzi wanatuabisha hao..hata kama.wapo 10 tuu......kaz mbona.zipo mashamban huku.tunagitaji vjana wakusafisha.mashamba kwaajili ya maandalizi ya kulima....wao wanaleta uvivu huko.na.kusema.kaz hakuna...pigarisasi.hao

hamna haja ya kuau mtu bure kaka! labda risasi kwa walio uongozini!!!
 

Nadhani msipo isema TZ roho zinawauma eh. Angalia huyo hapo.
 
Sifurahii kabisa!...upitapo jijini wamezagaa kotekote na kupelekea mtu kukosa amani .
Yanikumbusha BREXIT!....Nidyo tatizo la free movement.
 
MK254 A Kenyan telling Tanzanians to change hahahahaa!
Is there any country more corrupt than Kenya?
 
When it comes to nagging in EAC, Kenyans take the cake! It must be a nightmare marrying a Kenyan lady- I mean if Kenyan men are like mk254, how are their women?
 
Kuna chuki sana kati ya wakenya na watz na sielewi inatoka wapi. Tumepigana Vita na Uganda lakin kuna love and peace baina yetu. Hatujawahi hata kuzungumzia Vita na Kenya wala hata mzozo wa mpaka. Ajabu wana hasira na watz kuliko waganda ambao walifikia hatua ya kutishiana Vita kisa kakisiwa ka Migingo.

Huenda tunahitaji Vita na Kenya ili tuweze kuheshimiana.
 
Tungekua na chuki nanyi hatungewapokea hawa omba omba wote kutokea huko kwenu waliojaa barabarani. Tumewaonyesha upendo muda wote.

Halafu hilo la vita haliwezekani. Japo pia msije kujichanganya maana sisi sio Waganda au m23.
 
Tanzania inaugonjwa wa kuzungusha bakuli, it's ingrained in their DNA, kazi kuomba tu wala hamna haya. Hapa kuomba tu
 
Tungekua na chuki nanyi hatungewapokea hawa omba omba wote kutokea huko kwenu waliojaa barabarani. Tumewaonyesha upendo muda wote.

Halafu hilo la vita haliwezekani. Japo pia msije kujichanganya maana sisi sio Waganda au m23.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nimependa vile umepotezea kama Uganda walipeleka vikosi pale migingo na nyie kenyans mkafyata..
Halafu when it comes to war usikurupuke mkuu,.you always scream of Tanzanians witchcraft, I think you will realize our witchcraft powers in warfare. Hapo ndio u will wonder how do we enter statehouse kwa Uhuru bila kuonwa na cctv.
 

Sisi huwa hatukurupuki kuingia vitani kijinga jinga kama nyie ambapo hadi leo umaskini wenu huu wa kuomba omba ulitokana na hicho kiburi. Mlijiingiza kwenye kila aina ya ugomvi eti mnaikomboa Afrika, mkamwaga damu Uganda na kumweka dikteta madarakani hadi leo Waganda wanalia.

Hivyo hatuwezi kuingia vitani kiholela kwa ajili ya Migingo, kuna mengi yanafanyika kidiplomasia baina ya Uganda na Kenya kusuluhisha hilo.
 
..twende mbele turudi nyuma, somalia mlikurupuka, au vipi mkuu??
 
Tulimweka dikteta gani madarakani? Kajifunze historia. Kukusaidia tu, baada ya kuisha kwa vita ya Kagera Aprili 11, 1979, hawa ndio Marais wa Uganda waliofuata:
Yusuf Kironde Lule (13 April 1979 to 20 June 1979)
Godfrey Lukongwa Binaisa (20 June 1979 - 12 May 1980)
Apollo Milton Obote (Kwa mara ya pili 17 December 1980 to 27 July 1985)
Tito Okello Lutwa (29 July 1985 to 26 January 1986)
Yoweri Kaguta Museveni (29 January 1986-Sasa)
 
Halafu hilo la vita haliwezekani. Japo pia msije kujichanganya maana sisi sio Waganda au m23.
Hamna anayeshinda vita. USA hawatamani tena kwenda Irak wala Afghanistan. Vietnam ndo hawataki hata kukumbuka. So hata mkishinda, tutaheshimiana. Naamin mnawaheshim Alshabab mpaka sasa.
 
..twende mbele turudi nyuma, somalia mlikurupuka, au vipi mkuu??

Hehehehe!! Ndio huwa naona tatizo na Watanzania wengi humu, huwa hamchukui muda kusoma na kuelewa masuala ya kimataifa, kwenu nyie kila kitu kinaanza na kuishia kwenye vitongoji vya Dar.

Kenya haijawahi kupigana na Somalia, tuna uhusiano mzuri sana na taifa la Somalia na Wasomali. Kuna kikundi cha ugaidi kinaitwa Alshabaab chenye wapiganaji kutokea mataifa tofauti, wakiwemo wapiganaji kutokea Tanzania. Nchi nyingi zilipeleka wanajeshi wake kujaribu kupunguza makali ya hicho kikundi maana kimewasumbua Wasomali sana. Nchi zote za EAC isipokua Tanzania ambayo ilikunja mkia, zimepeleka wanajeshi kule kuisaidia serikali ya Somalia.

Hicho kikundi kiliteka miji muhimu ya Somalia, kikateka meli nyingi sana zilizokua zinakuja EAC. Wakaendeleza wazimu wao kwa kuja hadi Kenya na kuwateka watalii wetu na kuua wengine. Hapo ndio waliguza masharubu ya simba maana walichezewa amphibious attack ya kwanza Afrika yote.

Sasa wameishia kuvaa buibui kitaa na kushambulia raia.
 
..twende mbele turudi nyuma, somalia mlikurupuka, au vipi mkuu??

Serikali ya KENYA na SOMALIA ni marafiki wa dhati!.....waliovamiwa ni MAGAIDI sio serikali.
Get some common sense!
Halafu zipo nchi zingine kule kama Ethiopia,Uganda,Djibouti,Burundi,Uingereza,USA,Ufaransa,Jordan n.k pamoja na polisi wa Nigeria,Sierra Leone,Rwanda na kadhalika.
Japokuwa waoga waliokunja mkia Tz hawapo!
 
Hahaha, mkuu wanishangaza kama ndio umeishia hapo kufikiria,

Infact Kenya have been shanghaied..

Unadhani ni kweli mnapigana na al shabaab??
That's why naipongeza Tz kwa kutupilia mbali huo upuuzi wa sijui alshabab and whatever.
Hapo mkuu mnachezeshwa ngoma huku anaepiga hamunuoni ,
And I am sure vita yenu na hao wanamgambo will last forever or otherwise wale jamaa giants (hope unawajua) wanaosimamia show ya pesa na silaha kwa hao poor alshabaab wafikishe business targets zao [emoji3] [emoji3] [emoji3]

But sio mbaya, huku kwetu tunasema maji ukiyavulia nguo ni lazima uyaoge..komaeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…