Nilijua kwa awamu hii Watanzania omba omba watapungua Nairobi, bado

Nilijua kwa awamu hii Watanzania omba omba watapungua Nairobi, bado

Mimi sio Mjaluo ila napinga ukoloni unaofanywa na Wakikuyu dhidi ya makabila mengine. Leo hii unamuunga mkono Uhuru wakati aliwapeleka jandoni kwa lazima kupitia Mungiki. Wajaluo wa Tanzania wananawiri tu kulinganisha na nyie mnaonyanyaswa na Mungiki hao.

Acha kuukana asili yako...........nishakwambia"WANAJUANA KWA VILEMBA"...😀😀😀!
Hahahahhahahahha!😛😛😛
 
"COSTFUL" ndiyo mnyama yupi?...hakuna kitu kama hicho weye kanyaboya!...😛😛😀!.....yapaswa iwe "costly"
Koma kuiharibu lugha ya Malkia .
Kiswahili hukijui ,Kiingereza ndicho utakiweza?.
Hahaha, sasa nini kuniandama na lugha ya mkoloni iliyokuja na meli, ?
Au malkia amekutuma?
 
Haya asanteni nyote kwa mda wenu nawaombeni niondoke jukwaani sasa!

Masaalama!
 
20 f**ng 15....hauna macho/............TUPO 2016 in case you didnt know!.........nimekupa data za 2016...kumbuka mwaka umeisha.....wadanganyika mnachosha!
Nalijua hilo,
Haya tel me, from 63bn 2015 to 79bn 2016, what a miracle.[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Tanzanian beggars are all over from Nyeri,to Kisii and Mombasa....Hebu tuwasaidie hawa Wabongo wenzetu..tuwaonee hurumu tafadhali
Eldoret pia wameanza kujaa......na wale wamaasai wa kuuza viatu...
 
Danganyika ni 51.2% mpaka wengine wanakula nyama ya Mtu(Albino)....How do you explain it,???

Mkuu wanawala viwavi!.....asante kwa kum back up MK wetu....niwie radhi nikapumzike!
Nimewarushia ngumi kadhaa humu nimechoka!
Vichwa vyao vigumu mno!...hata vipigwe na bondia Mike Tyson, havisikii havisemezeki!

😀...bye!
 
Hata Marekani wapo maskini na ombaomba,hata hapo ulipo wapo ombaomba ambao ni raia wa kwenu nakushauri uwakamate ombaomba wote hao bila kujali nchi watokayo na uwapeleke kwa Court.Hakuna mtu aliyewatuma huko.
 
Can somebody help me with that video clips of kids in Kibera surviving through feeding on dog's milk or the one from Turkana eating dog meat? I want to start a thread..
 
Watanzania ni maskini,ila umasikini wa majority of kenyans ni mara kumi ya watanzania,eg mathare
 
Nakushangaa Mjaluo wewe umejiingiza kwenye propaganda za Wakikuyu.

Ndio tofauti ya Wakenya na Watanzania, hapa Kenya inawezekana ukawa mzalendo hata kama haupendi serikali iliyo kwenye madaraka. Mkenya hata kama mfuasi wa upinzani, lakini ukiigusa Kenya yake tegemea kichapo.
 
Ndio tofauti ya Wakenya na Watanzania, hapa Kenya inawezekana ukawa mzalendo hata kama haupendi serikali iliyo kwenye madaraka. Mkenya hata kama mfuasi wa upinzani, lakini ukiigusa Kenya yake tegemea kichapo.
Unadhani hatuwaoni kwenye kurasa za BBC Africa, CCTV Africa na kwingineko mnavyochachafyana kikabila.
 
Ndio tofauti ya Wakenya na Watanzania, hapa Kenya inawezekana ukawa mzalendo hata kama haupendi serikali iliyo kwenye madaraka. Mkenya hata kama mfuasi wa upinzani, lakini ukiigusa Kenya yake tegemea kichapo.

BAELEZE BASHENZI!!!!
 
Unadhani hatuwaoni kwenye kurasa za BBC Africa, CCTV Africa na kwingineko mnavyochachafyana kikabila.

Na mbona huwa nyiyi pia hamchachafyani KIDINI ama KIKANDA ,humo humo kama ilivyo desturi yenu.
Ni kwa sababu hamna ujasiri au tatizo ni lugha?
 
Back
Top Bottom