Nilijua kwa awamu hii Watanzania omba omba watapungua Nairobi, bado

Nilijua kwa awamu hii Watanzania omba omba watapungua Nairobi, bado

Na mbona huwa nyiyi pia hamchachafyani KIDINI ama KIKANDA ,humo humo kama ilivyo desturi yenu.
Ni kwa sababu hamna ujasiri au tatizo ni lugha?
Mtu wa kutoka kabila lolote, kanda yoyote au dini yoyote anaweza kuwa Rais wa Tanzania tofauti na Kenya. Ndio maana watu kutoka makabila madogo kama Nyerere (Mzanaki), Mwinyi (Mndengereko),Mkapa (Mmakua) na Kikwete (Mkwere) waliongoza nchi bila shida. Hizo tofauti za kidini au kikanda hazina ushawishi wowote kwenye kuongoza nchi yetu.
 
Hiyo nadharia ya kuondoa umasikini tingisha kabla ya kuitumia.
 
Mtu wa kutoka kabila lolote, kanda yoyote au dini yoyote anaweza kuwa Rais wa Tanzania tofauti na Kenya. Ndio maana watu kutoka makabila madogo kama Nyerere (Mzanaki), Mwinyi (Mndengereko),Mkapa (Mmakua) na Kikwete (Mkwere) waliongoza nchi bila shida. Hizo tofauti za kidini au kikanda hazina ushawishi wowote kwenye kuongoza nchi yetu.

"Danganya toto jinga"
 
Nyie wakenya ndugu zenu wamejaa hapa Arusha wanafurahia maisha hakuna ukabila wa kubaguana hawataki tena kurudi kenya.ww MK unaongea nini
 
Back
Top Bottom