Nilijua kwa awamu hii Watanzania omba omba watapungua Nairobi, bado

Nilijua kwa awamu hii Watanzania omba omba watapungua Nairobi, bado

Hehehehe!! Ndio huwa naona tatizo na Watanzania wengi humu, huwa hamchukui muda kusoma na kuelewa masuala ya kimataifa, kwenu nyie kila kitu kinaanza na kuishia kwenye vitongoji vya Dar.

Kenya haijawahi kupigana na Somalia, tuna uhusiano mzuri sana na taifa la Somalia na Wasomali. Kuna kikundi cha ugaidi kinaitwa Alshabaab chenye wapiganaji kutokea mataifa tofauti, wakiwemo wapiganaji kutokea Tanzania. Nchi nyingi zilipeleka wanajeshi wake kujaribu kupunguza makali ya hicho kikundi maana kimewasumbua Wasomali sana. Nchi zote za EAC isipokua Tanzania ambayo ilikunja mkia, zimepeleka wanajeshi kule kuisaidia serikali ya Somalia.

Hicho kikundi kiliteka miji muhimu ya Somalia, kikateka meli nyingi sana zilizokua zinakuja EAC. Wakaendeleza wazimu wao kwa kuja hadi Kenya na kuwateka watalii wetu na kuua wengine. Hapo ndio waliguza masharubu ya simba maana walichezewa amphibious attack ya kwanza Afrika yote.

Sasa wameishia kuvaa buibui kitaa na kushambulia raia.

Mkuu!........Pata bonge la like!
Natumai kapata darsa!....ashike adabu na adabu imshike huyo!

😀😀😀!
 
Serikali ya KENYA na SOMALIA ni marafiki wa dhati!.....waliovamiwa ni MAGAIDI sio serikali.
Get some common sense!
Halafu zipo nchi zingine kule kama Ethiopia,Uganda,Djibouti,Burundi,Uingereza,USA,Ufaransa,Jordan n.k pamoja na polisi wa Nigeria,Sierra Leone,Rwanda na kadhalika.
Japokuwa waoga waliokunja mkia Tz hawapo!
Sio woga mkuu, war isn't just like football match, it is costful thing (VERY COSTFUL)
We fight when we have reasons to fight.
Hebu ona jinsi serikali ya Kenya inatumia gharama kubwa kwa ulinzi na kwa mfululizo wa mauaji ya halaiki like garisa and the like, je ni kwa faida ya nani?

These shit things kuna giants behind, we need to wake up.
 
Hehehehe!! Ndio huwa naona tatizo na Watanzania wengi humu, huwa hamchukui muda kusoma na kuelewa masuala ya kimataifa, kwenu nyie kila kitu kinaanza na kuishia kwenye vitongoji vya Dar.

Kenya haijawahi kupigana na Somalia, tuna uhusiano mzuri sana na taifa la Somalia na Wasomali. Kuna kikundi cha ugaidi kinaitwa Alshabaab chenye wapiganaji kutokea mataifa tofauti, wakiwemo wapiganaji kutokea Tanzania. Nchi nyingi zilipeleka wanajeshi wake kujaribu kupunguza makali ya hicho kikundi maana kimewasumbua Wasomali sana. Nchi zote za EAC isipokua Tanzania ambayo ilikunja mkia, zimepeleka wanajeshi kule kuisaidia serikali ya Somalia.

Hicho kikundi kiliteka miji muhimu ya Somalia, kikateka meli nyingi sana zilizokua zinakuja EAC. Wakaendeleza wazimu wao kwa kuja hadi Kenya na kuwateka watalii wetu na kuua wengine. Hapo ndio waliguza masharubu ya simba maana walichezewa amphibious attack ya kwanza Afrika yote.

Sasa wameishia kuvaa buibui kitaa na kushambulia raia.
Hata Tanzania ilipigana na mvamizi Idi Amin na genge lake sio na Uganda. Pamoja na ushenzi wake, Tanzania haikumgusa Idi Amin hadi alipovamia Kagera na kudai kuwa anapanga kuchukua mpaka Dar es Salaam.
Hapo kwenye nyekundu umeonesha umbumbumbu wako kwa mara nyingine, maharamia waliokuwa wanateka meli pwani ya Somalia sio Al-Shabaab wala hawana uhusiano wowote na Al-Shabaab.
 
Hata Tanzania ilipigana na mvamizi Idi Amin na genge lake sio na Uganda. Pamoja na ushenzi wake, Tanzania haikumgusa Idi Amin hadi alipovamia Kagera na kudai kuwa anapanga kuchukua mpaka Dar es Salaam.
Hapo kwenye nyekundu umeonesha umbumbumbu wako kwa mara nyingine, maharamia waliokuwa wanateka meli pwani ya Somalia sio Al-Shabaab wala hawana uhusiano wowote na Al-Shabaab.

Tuliza mihemko kwanza halafu ukasome some yaliyokua yanatendeka Somalia kabla uje kujadili humu. Alshabaab walikua wanapata 20% ya mapato yote ya utekaji meli. Mwanzoni walijifanya kuwapiga hao maharamia, lakini baadaye walipoanza kuishiwa na senti, ikabidi wawalinde na kuwasaidia na hapo kupewa kipato hicho. Kasome kilichokua kinatendeka Harardhere.

Idd Amin mlimchokonoa kwa kuwalea waasi dhidi yake akina Museveni, Tito Lutwa Okello, David Oyite Ojok na wapiganaji wao. Nchi jirani haufai kuwalea waasi na kuwapa mafunzo na vyakula halafu utegemee mtacheka cheka siku zote. Tatizo historia yenu ya vita vya Kagera huwa mnaandika kiunafiki mkiegemea upande wenu, hakuna mwenye ubavu wa kudadisi au kuhoji nini haswa kilipelekea kuzuka kwa vita hivyo.

Munamwandika Amin kama wazimu aliyeibuka siku moja bila kuchokozwa akaiteka Kagera.

Hayo mambo ya kuingilia nchi za watu na kulea waasi ni mbaya sana.
 
Sio woga mkuu, war isn't just like football match, it is costful thing (VERY COSTFUL)
We fight when we have reasons to fight.
Hebu ona jinsi serikali ya Kenya inatumia gharama kubwa kwa ulinzi na kwa mfululizo wa mauaji ya halaiki like garisa and the like, je ni kwa faida ya nani?

These shit things kuna giants behind, we need to wake up.

WAR IS FINANCIAL MUSCLE!
Natumai umesoma kitu hapo.
Ukiwa hohe hahe utaiita "....COSTFUL!".......Halafu ukome kuliharibu lugha ya malkia, hamna kitu kama"costful"....ni COSTLY, OK?
Vita ni ubavu wa kiuchumi............mkifikia kua na huo ubavu mtafanya lolote kuzilinda economic interests zenu!
Kenya ilibidi iingilie kulinda economic interests pamoja na trade routes za bahari ya hindi dhidhi ya maharamia (pirates) pamoja na magaidi!
 
WAR IS FINANCIAL MUSCLE!
Natumai umesoma kitu hapo.
Ukiwa hohe hahe utaiita COSTFUL!
Vita ni ubavu wa kiuchumi............mkifikia kua na huo ubavu mtafanya lolote kuzilinda economic interests zenu!
Kenya ilibidi iingilie kulinda economic interests pamoja na trade routes za bahari ya hindi dhidhi ya maharamia (pirates) pamoja na magaidi!
Hehehe, are u kidding me??
Finencial what??
Are you talking of Kenya, 63bn economy country? Are u even thinking?
 
Tuliza mihemko kwanza halafu ukasome some yaliyokua yanatendeka Somalia kabla uje kujadili humu. Alshabaab walikua wanapata 20% ya mapato yote ya utekaji meli. Mwanzoni walijifanya kuwapiga hao maharamia, lakini baadaye walipoanza kuishiwa na senti, ikabidi wawalinde na kuwasaidia na hapo kupewa kipato hicho. Kasome kilichokua kinatendeka Harardhere.

Idd Amin mlimchokonoa kwa kuwalea waasi dhidi yake akina Museveni, Tito Lutwa Okello, David Oyite Ojok na wapiganaji wao. Nchi jirani haufai kuwalea waasi na kuwapa mafunzo na vyakula halafu utegemee mtacheka cheka siku zote. Tatizo historia yenu ya vita vya Kagera huwa mnaandika kiunafiki mkiegemea upande wenu, hakuna mwenye ubavu wa kudadisi au kuhoji nini haswa kilipelekea kuzuka kwa vita hivyo.

Munamwandika Amin kama wazimu aliyeibuka siku moja bila kuchokozwa akaiteka Kagera.

Hayo mambo ya kuingilia nchi za watu na kulea waasi na mbaya sana.
Hapa vipi?
http://www.theeastafrican.co.ke/new...western-Kenya/2558-1234090-hm2haaz/index.html
http://mobile.nation.co.ke/lifestyl...950774-1984166-format-xhtml-t9s8qa/index.html
Day America saved Kenya from Idi Amin, Barre
 
WAR IS FINANCIAL MUSCLE!
Natumai umesoma kitu hapo.
Ukiwa hohe hahe utaiita COSTFUL!
Vita ni ubavu wa kiuchumi............mkifikia kua na huo ubavu mtafanya lolote kuzilinda economic interests zenu!
Kenya ilibidi iingilie kulinda economic interests pamoja na trade routes za bahari ya hindi dhidhi ya maharamia (pirates) pamoja na magaidi!
And besides, hao wanamgambo are amateurish militia n don't have even shoes, but wawamudu na kuwachezea watakavyo..
Halafu eti war is a financial muscle, kituko hiki..
Some people mnatia huruma..
 
Tuliza mihemko kwanza halafu ukasome some yaliyokua yanatendeka Somalia kabla uje kujadili humu. Alshabaab walikua wanapata 20% ya mapato yote ya utekaji meli. Mwanzoni walijifanya kuwapiga hao maharamia, lakini baadaye walipoanza kuishiwa na senti, ikabidi wawalinde na kuwasaidia na hapo kupewa kipato hicho. Kasome kilichokua kinatendeka Harardhere.

Idd Amin mlimchokonoa kwa kuwalea waasi dhidi yake akina Museveni, Tito Lutwa Okello, David Oyite Ojok na wapiganaji wao. Nchi jirani haufai kuwalea waasi na kuwapa mafunzo na vyakula halafu utegemee mtacheka cheka siku zote. Tatizo historia yenu ya vita vya Kagera huwa mnaandika kiunafiki mkiegemea upande wenu, hakuna mwenye ubavu wa kudadisi au kuhoji nini haswa kilipelekea kuzuka kwa vita hivyo.

Munamwandika Amin kama wazimu aliyeibuka siku moja bila kuchokozwa akaiteka Kagera.

Hayo mambo ya kuingilia nchi za watu na kulea waasi na mbaya sana.

Hiyo haifanyi maharamia kuwa Al-Shabaab. Al-shabaab walikuwa wanawafanyia ushenzi maharamia kama wanavowafanyia Wasomali wengine.
http://www.nytimes.com/2013/10/23/opinion/international/al-shabab-fights-the-pirates.html?_r=0
SomaliaReport: Pirates vs Al-Shabaab in Mudug Region
Somalia: A Weak Link Between al Qaeda and Somali Pirates
 
Hehehe, are u kidding me??
Finencial what??
Are you talking of Kenya, 63bn economy country? Are u even thinking?

Yes,that much you mentioned but with fewer people means its richer compared to 40 billion with over 55 million people to share!
Ability to financially wage wars ,i BELIEVE are measured by a country's FOREIGN RESERVES IN DOLLARS!......I am not an economist but I think so.

PICTURE THIS SCENARIO:
Country A has a 1 billion dollar GDP but with 100 trillion hard dollar reserves stashed somewhere.
Country B has a 100 billion dollar GDP but with only 1 million dollars left in its reserves and a war is declared!


Who do you think will mobilize state of art technology,weapons ,logistics,food, foot soldiers be it mercenaries or what not,even buy influence diplomatically (other nations)in the shortest period?

And point of correction, Kenya is not 63 bln but already 79 bln upwards!
 
Yes,that much you mentioned but with fewer people means its richer compared to 40 billion with over 55 million people to share!
Ability to financially wage wars ,i BELIEVE are measured by a country's FOREIGN RESERVES IN DOLLARS!......I am not an economist but I think so.

PICTURE THIS SCENARIO:
Country A has a 1 billion dollar GDP but with 100 trillion hard dollar reserves stashed somewhere.
Country B has a 100 billion dollar GDP but with only 1 million dollars left in its reserves and a war is declared!


Who do you think will mobilize state of art technology,weapons ,logistics,food, foot soldiers be it mercenaries or what not,even buy influence diplomatically (other nations)in the shortest period?

And point of correction, Kenya is not 63 bln but already 79 bln upwards!
Nakushangaa Mjaluo wewe umejiingiza kwenye propaganda za Wakikuyu.
 
And besides, hao wanamgambo are amateurish militia n don't have even shoes, but wawamudu na kuwachezea watakavyo..
Halafu eti war is a financial muscle, kituko hiki..
Some people mnatia huruma..

Linchi lenu hilo lioga lingekuwa kule Somalia, labda ningelisikia kelele zako hizi za kichura chura!
Hampo, pale ndio maana mnawafananisha MAGAIDI WA ISIS/ALQAEDA na VITOTO WANAMGAMBO WA MK23 sijui taka taka zipi hizo!
Hamjawai kuusikia mziki wa MAGAIDI nyie, ombeni isije ikawatokea ,mtahama vijiweni humo!
😀😀...........halafu mlivyo walaini kwa kula chipsi mayai, duh!
Lakini pia kwa mwendo huu, subirini zamu yenu yaja, wamo humo nanyi, tumeshawadaka wenzenu wengi tu wakitoka masomoni kule "Alqaedaville somalia!"

Danganyika ni kituko cha ulimwengu!
 

Soma comment yangu mara kumi halafu uje upya, maana naona hujanielewa ninaposema Alshabaab walianza kwa kuwapiga maharamia hapo mwanzo, halafu baadaye wakaishia kula nao na kuwasaidia.
 
Wakenya wana uchungu kwa sababu tumekataa VISA moja,

Tutakuwaje na VISA moja na watu wenye mgogoro na magaidi..?

Sisi huwa hatupendi ujinga wa kikenya kabisa
 
Nakushangaa Mjaluo wewe umejiingiza kwenye propaganda za Wakikuyu.

Jiangalie vizuri ,utakuwa BONGE LA JALUO kama miye......😀😀!...si wajua tena watu hujuana kwa vilemba?
 
Yes,that much you mentioned but with fewer people means its richer compared to 40 billion with over 55 million people to share!
Ability to financially wage wars ,i BELIEVE are measured by a country's FOREIGN RESERVES IN DOLLARS!......I am not an economist but I think so.

PICTURE THIS SCENARIO:
Country A has a 1 billion dollar GDP but with 100 trillion hard dollar reserves stashed somewhere.
Country B has a 100 billion dollar GDP but with only 1 million dollars left in its reserves and a war is declared!


Who do you think will mobilize state of art technology,weapons ,logistics,food, foot soldiers be it mercenaries or what not,even buy influence diplomatically (other nations)in the shortest period?

And point of correction, Kenya is not 63 bln but already 79 bln upwards!
1476786763878.jpg
 
Jiangalie vizuri ,utakuwa BONGE LA JALUO kama miye......😀😀!...si wajua tena watu hujuana kwa vilemba?
Mimi sio Mjaluo ila napinga ukoloni unaofanywa na Wakikuyu dhidi ya makabila mengine. Leo hii unamuunga mkono Uhuru wakati aliwapeleka jandoni kwa lazima kupitia Mungiki. Wajaluo wa Tanzania wananawiri tu kulinganisha na nyie mnaonyanyaswa na Mungiki hao.
 
Sio woga mkuu, war isn't just like football match, it is costful thing (VERY COSTFUL)
We fight when we have reasons to fight.
Hebu ona jinsi serikali ya Kenya inatumia gharama kubwa kwa ulinzi na kwa mfululizo wa mauaji ya halaiki like garisa and the like, je ni kwa faida ya nani?

These shit things kuna giants behind, we need to wake up.


"COSTFUL" ndiyo mnyama yupi?...hakuna kitu kama hicho weye kanyaboya!...😛😛😀!.....yapaswa iwe "costly"
Koma kuiharibu lugha ya Malkia .
Kiswahili hukijui ,Kiingereza ndicho utakiweza?.
 
Wakenya wana uchungu kwa sababu tumekataa VISA moja,

Tutakuwaje na VISA moja na watu wenye mgogoro na magaidi..?

Sisi huwa hatupendi ujinga wa kikenya kabisa

Omba omba na visa wapi na wapi.
 
Back
Top Bottom