Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Hamza ameteuliwa kuwa AG kama zawadi baada ya kuwa kinara wa watetezi wa mikataba ya DP world!!Pamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
CrapPamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
Wewe ni chawa!Crap
Tuna very narrow mindsetPamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
That will never happenWewe ni chawa!
Mwabukusi Mwabukusi Kajunjumele Bonifasi....ni MwanaumePamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
Kawekewa Kabudi wapambane.Pamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
hapa umetudanganya.Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Not all the changes but was a significant contributing factor to the spark that brought the changes!Tuna very narrow mindset
Uchaguzi TLS ndio ulete all those changes?
Je kama anaandaliwa kuwa CJ?Pamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
Alileta rushwa kwa mazaHuyo Hamza ameteuliwa kuwa AG kama zawadi baada ya kuwa kinara wa watetezi wa mikataba ya DP world!!
Kwa nini Kabudi? KAbudi atawaweza wapalestina kweli? Au Hamas au Iran? Ngoja tuone.Kawekewa Kabudi wapambane.
Sina tatizo na majasusi wowote popote, kitu muhimu ni huyo jasusi awe competent kwenye fani husika!. Huyu ndie aliye draft ile IGA ya DPW na Bandari zetu!, niliandika humu "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
Asee! Sikujua hili!Sina tatizo na majasusi wowote popote, kitu muhimu ni huyo jasusi awe competent kwenye fani husika!. Huyu ndie aliye draft ile IGA ya DPW na Bandari zetu!, niliandika humu "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?
Sasa kama huyu architect wa ile IGA ya ajabu ajabu sasa ndie AG?!, unategemea nini?.
P
Very correct 💯, huyu Mama awamu ya pili anataka afanye madudu makubwa kwa kutumia huyo architect wa DP World, huyu jamaa ni kilaza sana, basi kwa vile ni swala tano ndo hivo tena. Pia anatokea kule Zanzibar japo kakulia bara, na watu wengi wa kule akili ndogo sana angalia viongozi wanaotoka kule Zanzibar au kama mulisoma nao uko school, uelewa wao huwa ni mdogo na ndo maana JPM alifukuza yule Prof toka Zanzibar Mama kamurudisha hapo uchukuzi unaona mikataba ya ajabu mtu kama Prof anashindwa kubaini huo mkataba ambao hata darasa la kwanza angeweza kugundua huo uozo.Sina tatizo na majasusi wowote popote, kitu muhimu ni huyo jasusi awe competent kwenye fani husika!. Huyu ndie aliye draft ile IGA ya DPW na Bandari zetu!, niliandika humu "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?
Sasa kama huyu architect wa ile IGA ya ajabu ajabu sasa ndie AG?!, unategemea nini?.
P