Nilijua tu Mwabukusi lazima amtoe Feleshi

Nilijua tu Mwabukusi lazima amtoe Feleshi

Very correct 💯, huyu Mama awamu ya pili anataka afanye madudu makubwa kwa kutumia huyo architect wa DP World, huyu jamaa ni kilaza sana, basi kwa vile ni swala tano ndo hivo tena. Pia anatokea kule Zanzibar japo kakulia bara, na watu wengi wa kule akili ndogo sana angalia viongozi wanaotoka kule Zanzibar au kama mulisoma nao uko school, uelewa wao huwa ni mdogo na ndo maana JPM alifukuza yule Prof toka Zanzibar Mama kamurudisha hapo uchukuzi unaona mikataba ya ajabu mtu kama Prof anashindwa kubaini huo mkataba ambao hata darasa la kwanza angeweza kugundua huo uozo.

Madudu mengine hayo
Ha DPW wamekuta madudu mengi hapo bandarini inabidi wayasafishe kwanza ndio faida kubwa ianze kupatikana. Sawasawa na ATCL ilivyoanza na hasara za miaka mitano kisha faida halisi itaanza kupatikana haya ni masuala ya kiuchumi ukiyachukulia kishabiki utajikuta unakuwa sehemu ya wapiga tarumbeta wasioelewa wameandika kitu gani.

Hamza hajafanya DPW pekee, alipambana kuhusu mkataba wa Ziwa Nyasa mpaka Tanzania tumerudisha mpaka jinsi ulivyotakiwa uwe, wakati Hamza anapambana Fatuma Karume na wanasheria wengine walishasema Malawi wana haki ya kumiliki ziwa lote!, hao ni wanasheria wetu wengi namna walivyo.

Hamza kasimamia mikataba mingi yenye kuipatia faida Tanzania kiuchumi, haiwezi kuwekwa humu jukwaani ni siri za kimfumo.
 
Sina tatizo na majasusi wowote popote, kitu muhimu ni huyo jasusi awe competent kwenye fani husika!. Huyu ndie aliye draft ile IGA ya DPW na Bandari zetu!, niliandika humu "IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?
Sasa kama huyu architect wa ile IGA ya ajabu ajabu sasa ndie AG?!, unategemea nini?.
P
IGA ya DPW inamzuia vipi mwekezaji mwingine kusimamia shughuli za utendaji wa bandari nyingine tulizonazo?.

Adani kapewa kuendesha pale TPA, IGA ya DPW inamzuia vipi ufanyaji wake wa kazi?.

Mkuu IGA imepotoshwa kuhusu nguvu yake halisi. Mimi na wewe Pascal tunaweza kuwa na kampuni yenye uwezo wa kazi za bandari na tukaiwakilisha kwa wataalam wa masuala ya shipping waliopo katika wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi na tukapewa haki za kuendesha bandari yoyote iliyopo ndani ya Jamhuri ya Muungano.

IGA haina nguvu yoyote, na kushindwa kuielewa kuwa haina nguvu ya kuzuia chochote ndio udhaifu halisi wa wanasheria wetu.

Kuna vipengele katika huo mkataba haviongelewi kwa sababu anayeiongelea IGA anafanya hivyo kwa nia za kisiasa za kutaka kuupotosha umma.
 
Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana
Mimi namkubali sana Feleshi, nilifanya nae two series interviews, yuko vizuri
View: https://youtu.be/Vpkzz7DyTsk?si=w2nP1VwDYMPcT5Cm
Na
View: https://youtu.be/6YysMkUNvxo?si=jhQVekvAdxvfZiPj
Kitendo cha yeye kama AG kuiachia serikali ikatunga muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi, na kuliacha Bunge likatunga Sheria Batili, na kumpelekea Rais Samia kuisaini, kimeniacha hoi!. This man is good, sijui what happened ila usikute ndio yale mambo ya uwajibikaji wa pamoja, ila huu uwajibikaji wa pamoja kwenye ubatili wa Katiba, kwangu ni zaidi ya uhaini!.
P
 
Not all the changes but was a significant contributing factor to the spark that brought the changes!
Ingawa Samia anajifanya chura lakini hiyo mikataba ya kuuza nchi kwa waarabu haiwezi kumuacha salama.
Eti kabudi kaletwa ili kudefend dp world. Na kupampana na mwambukusi,

au kuandaa mazingira ya kuja kwa katiba mpya?

Nafikiri ni muda muafaka sasa ccm kufikiri na kutenda positive huenda tukawasamehe
 
Mwabukusi mweupe sana kwa wanasheria mahiri. Feleshi ilishapangwa aachie hiyo nafasi.

Angekuwa anajua sheria angeshinda kesi ya kuipinga DPW. Ukitaka kujua ni mweupe kapeleka suala la mikataba ya kimataifa kwenye mahakama za ndani kule Mbeya.

Tatizo huko TLS kuna watoto wengi wa instagram, Gen Z wamejaa huko.
[/Q
Mwabukusi mweupe sana kwa wanasheria mahiri. Feleshi ilishapangwa aachie hiyo nafasi.

Angekuwa anajua sheria angeshinda kesi ya kuipinga DPW. Ukitaka kujua ni mweupe kapeleka suala la mikataba ya kimataifa kwenye mahakama za ndani kule Mbeya.

Tatizo huko TLS kuna watoto wengi wa instagram, Gen Z wamejaa huko.

Unajua moving authority ilotumika na Mwabukusu??

WALIMU TUMESHAWAKATAZA KUJADILI MAMBO YA SHERIA LAKINI HAMSIKII.

Kwahiyo kosa la kuvunjwa kwa Katiba ya Tz ndo unataka aende Mahakama ya kimataifa au sio??

Tatizo mnachangia vitu ambavyo hamvifaham
 
Mimi namkubali sana Feleshi, nilifanya nae two series interviews, yuko vizuri
View: https://youtu.be/Vpkzz7DyTsk?si=w2nP1VwDYMPcT5Cm
Na
View: https://youtu.be/6YysMkUNvxo?si=jhQVekvAdxvfZiPj
Kitendo cha yeye kama AG kuiachia serikali ikatunga muswada batili wa sheria mpya ya uchaguzi, na kuliacha Bunge likatunga Sheria Batili, na kumpelekea Rais Samia kuisaini, kimeniacha hoi!. This man is good, sijui what happened ila usikute ndio yale mambo ya uwajibikaji wa pamoja, ila huu uwajibikaji wa pamoja kwenye ubatili wa Katiba, kwangu ni zaidi ya uhaini!.
P

Inawezekana alizira hiyo mikataba iende ilivyoenda
 
Pamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Hamza kama atafaa pale!
acha ujinga kilichomtoa feleshi sio huyo mwabukusi
 
Ha DPW wamekuta madudu mengi hapo bandarini inabidi wayasafishe kwanza ndio faida kubwa ianze kupatikana. Sawasawa na ATCL ilivyoanza na hasara za miaka mitano kisha faida halisi itaanza kupatikana haya ni masuala ya kiuchumi ukiyachukulia kishabiki utajikuta unakuwa sehemu ya wapiga tarumbeta wasioelewa wameandika kitu gani.

Hamza hajafanya DPW pekee, alipambana kuhusu mkataba wa Ziwa Nyasa mpaka Tanzania tumerudisha mpaka jinsi ulivyotakiwa uwe, wakati Hamza anapambana Fatuma Karume na wanasheria wengine walishasema Malawi wana haki ya kumiliki ziwa lote!, hao ni wanasheria wetu wengi namna walivyo.

Hamza kasimamia mikataba mingi yenye kuipatia faida Tanzania kiuchumi, haiwezi kuwekwa humu jukwaani ni siri za kimfumo.
Wewe utakuwa ndiye Hamza mwenyewe, mtu bogas kama yule unampigia debe kila mahali! Mkataba wa Lake nyasa ni suala la Transboundary waters na hata bila mwanasheria bado mpaka ungebaki pale deep waters!

Acha ujuaji wakati ni kilaza mpotoshaji!
 
Wewe utakuwa ndiye Hamza mwenyewe, mtu bogas kama yule unampigia debe kila mahali! Mkataba wa Lake nyasa ni suala la Transboundary waters na hata bila mwanasheria bado mpaka ungebaki pale deep waters!

Acha ujuaji wakati ni kilaza mpotoshaji!
Kuongea usichokijua ni kichekesho kwa mtu anayekusikiliza.
 
Wewe utakuwa ndiye Hamza mwenyewe, mtu bogas kama yule unampigia debe kila mahali! Mkataba wa Lake nyasa ni suala la Transboundary waters na hata bila mwanasheria bado mpaka ungebaki pale deep waters!

Acha ujuaji wakati ni kilaza mpotoshaji!
Hamza yupo vizuri sana kwa watu walio karibu na masuala ya kiserikali wanaujua uwezo wake. Kwa wale wenye kupokea habari za jumla jumla hawawezi kumfahamu.

Kafanya mengi tangu enzi za hayati JPM aliyekoshwa na shughuli zake akasema kwa utani kwamba atamkabidhi binti yake. Ni mwanasheria msomi mwenye maono makubwa.

Kanunua rada nne kwa shilingi bilioni 67, wakati wapigaji kina Chenge walinunua rada moja kwa pesa hiyo na nguvu ya rada hiyo mwisho wake ni hapo Ngerengere tu, kwa ufupi tulipigwa miaka ile ya Mkapa.

Hivi sasa hakuna ndege inayoweza kukatiza kwenye anga la TZ bila invoice kwenda kwenye mamlaka ya anga ya nchi inapotoka, huo ni ubunifu wa kimaarifa wa Hamza Johari.

Kafanya mengi ya kimikataba na hayatangazwi hadharani wala kuandikwa kwenye magazeti yetu haya kina RAIA MWEMA au Mwananchi.
 
Pamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Hamza kama atafaa pale!
sijaelewa, cheo cha Jaji wa CAT ni kikubwa kuliko AG, sasa hapo amepandishwa au ametumbuliwa? kwa wanaoelewa tafadhali.
 
Inawezekana. Nakumbuka wakati wa Nyerere, nchi kama USA, UK, Sweden nk walikuwa wakiteua mabalozi wa kuja Tanzania ambao ni makini sana, kwa sababu wakiwa yeboyebo Nyerere alikuwa anawaaibisha mno wanapokuwa na mazungumzo nae na hawaelewi mambo. Mwinyi alipoingia madarakani ndio tulianza kuletewa mabalozi ambao walikuwa wapowapo tu, kwa sababu hizo nchi ziliona ku-deal na president kama Mwinyi was a walk in the park.

Kwa hiyo Samia akijua mtu kama Mwabukusi ndio raisi wa TLS, atataka awe na mtu makini sana kama AG, la sivyo serikali itaaibika kila siku.

Kwa hiyo mtoa mada ana point, sio kwamba ewepo wa Mwabukusi TLS umemfanya Samia afanye haya mabadiliko, akijua Feleshi sio size ya Mwabukusi atafanya serikali iumbuke

Makini kwa DP world?
 
Back
Top Bottom