Nilijua tu Mwabukusi lazima amtoe Feleshi

Nilijua tu Mwabukusi lazima amtoe Feleshi

Pamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
Jaji Feleshi ni Miongoni mwa majaji mizigo katikà nchi hii ya Tanzania. Daima amekuwa akisababisha Migogoro na mivutano isiyokuwa ya lazima.
 
Tuna very narrow mindset

Uchaguzi TLS ndio ulete all those changes?
Inawezekana. Nakumbuka wakati wa Nyerere, nchi kama USA, UK, Sweden nk walikuwa wakiteua mabalozi wa kuja Tanzania ambao ni makini sana, kwa sababu wakiwa yeboyebo Nyerere alikuwa anawaaibisha mno wanapokuwa na mazungumzo nae na hawaelewi mambo. Mwinyi alipoingia madarakani ndio tulianza kuletewa mabalozi ambao walikuwa wapowapo tu, kwa sababu hizo nchi ziliona ku-deal na president kama Mwinyi was a walk in the park.

Kwa hiyo Samia akijua mtu kama Mwabukusi ndio raisi wa TLS, atataka awe na mtu makini sana kama AG, la sivyo serikali itaaibika kila siku.

Kwa hiyo mtoa mada ana point, sio kwamba ewepo wa Mwabukusi TLS umemfanya Samia afanye haya mabadiliko, akijua Feleshi sio size ya Mwabukusi atafanya serikali iumbuke
 
Inawezekana. Nakumbuka wakati wa Nyerere, nchi kama USA, UK, Sweden nk walikuwa wakiteua mabalozi wa kuja Tanzania ambao ni makini sana, kwa sababu wakiwa yeboyebo Nyerere alikuwa anawaaibisha mno wanapokuwa na mazungumzo nae na hawaelewi mambo. Mwinyi alipoingia madarakani ndio tulianza kuletewa mabalozi ambao walikuwa wapowapo tu, kwa sababu hizo nchi ziliona ku-deal na president kama Mwinyi was a walk in the park.

Kwa hiyo Samia akijua mtu kama Mwabukusi ndio raisi wa TLS, atataka awe na mtu makini sana kama AG, la sivyo serikali itaaibika kila siku.

Kwa hiyo mtoa mada ana point, sio kwamba ewepo wa Mwabukusi TLS umemfanya Samia afanye haya mabadiliko, akijua Feleshi sio size ya Mwabukusi atafanya serikali iumbuke

..tatizo ni Samia mwenyewe.

..mpaka sasa amekuwa na Foreign Ministers wanne.

..wakurugenzi wa Tiss ameshateua wanne.

..hivi kweli wote hao wana matatizo, au mteuaji ndio ana matatizo?

.. inawezekana Feleshi ana matatizo. Sasa ndio umbadilishe na Hamza wa DpW?
 
Pamoja na kuwa ni promotion, Jaji Feleshi alikuwa anatumia nguvu kubwa sana kuhakikisha Mwambukusi hashindi TLS - Wapi sasa? Nilijua mama hatamwacha hivi hivi.
Sio mbaya lakini! hebu tumwone Jasusi Hamza kama atafaa pale!
Feleshi amepanda Cheo ila amepunguza marupurupu
 
Watetezi wa dp world wamekula teuzi. Na wale wa ngorongoro nadhani watakuwa wamekula shavu pia.

Kuuza nchi imekuwa uzalendo.

Mpaka museveni na ufisadi wake
anatusikitikia.
 
Watetezi wa dp world wamekula teuzi. Na wale wa ngorongoro nadhani watakuwa wamekula shavu pia.

Kuuza nchi imekuwa uzalendo.

Mpaka museveni na ufisadi wake
anatusikitikia.
Hamza aliitetea Tanzania ikaweza kurudishiwa sehemu ya Ziwa Nyasa wakati kina Fatuma Karume wakisema ni mali halali ya Malawi.

Hamza alipambana mpaka mkataba wa TIPER na Tanzania ukaweza kuwekwa sawa na tunapata mapato zaidi ya hapo kabla.

Hamza kafanya shughuli nyingi nyeti za ikulu kuanzia awamu ya JPM alipoteuliwa kuwa mkurugenzi wa mamlaka ya Anga mwaka 2016 baada ya kubaniwa na waziri wa mawasiliano enzi za Kikwete.
 
Watetezi wa dp world wamekula teuzi. Na wale wa ngorongoro nadhani watakuwa wamekula shavu pia.

Kuuza nchi imekuwa uzalendo.

Mpaka museveni na ufisadi wake
anatusikitikia.
DP World ni mwekezaji sawa na swissport pale Uwanja wa Ndege ina maana swissport kauziwa uwanja wetu wa ndege?.

Uzembe wetu kwenye sekta ya elimu ni tatizo letu tunashindwa kuendesha miradi endelevu kwa sababu misingi yetu ya huko shuleni ni mibovu siku zote.

China wanaanza kumfundisha maarifa ya ubunifu mtoto wa darasa la kwanza, akifikia hatua ya kujitegemea anakuwa na uwezo wa kwenda bara lolote na kutumia ubunifu alionao katika kuwa sehemu ya uchumi wa nchi husika.

Sisi tunapochezea elimu zetu tunatengeneza mazingira ya kuja kuishia kulalamika ukubwani, hatuna misingi ya ubunifu wa kielimu japo tuna mali nyingi.
 
Mwabukusi mweupe sana kwa wanasheria mahiri. Feleshi ilishapangwa aachie hiyo nafasi.

Angekuwa anajua sheria angeshinda kesi ya kuipinga DPW. Ukitaka kujua ni mweupe kapeleka suala la mikataba ya kimataifa kwenye mahakama za ndani kule Mbeya.

Tatizo huko TLS kuna watoto wengi wa instagram, Gen Z wamejaa huko.
 
Back
Top Bottom