Nilijua ukimya mwingi wa Simba SC utaiumiza Yanga

Kwanza sisi hatuna Derby hapa Tanzania tulishatolewa katika hiyo nafasi, walituambia Derby ni Yanga na Azam. Tumeamua tukae kimya kama vile tunavyokua kimya tukicheza na Geita Gold
 
Mwenyeji ndio anaetakiwa kufanya promo ya mechi kwakuwa mgeni atoambulia ata shilingi kwenye mapato kwaiyo kunyamaza kwa simba ni sawa kwao isiwe ajenda ya kupigia kelele apa
Nani anapiga kelele
 
Tatizo Mkolo washajua hyo mechi hawawezi kuchomoka sembuse na Ile ahadi ya Mayele.

Sasa hawawezi kuleta mbwembwe lazima waende kinyonge dadeq.. kesho kumenywa kupo palepale
Kwa utopolo hii ni big mechi ila kwa Club kubwa kama Simba hii ni mechi ya ligi kuu kama kucheza na Namungo tu, imeisha hiyo
 
Ngao ya hisani Yanga walicheza na Geita
 
Upumbavu unasumbuaga sana akili yako, Geita Gold hawakubamizwa 1 - 0 na Yanga NBC PL mzunguko wa kwanza 2021/2022, tena aliwadungua huyo huyo usiyempenda "Mayele"?

Ni heri ungekaa tu kimya ungeonekana una hekima kuliko kuropoka usichokijua [emoji19]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Mi nimezungumzia mechi yenu ya mwisho mliyocheza FA

Hiyo mechi unayoisema wewe ambayo huyo mayele alifunga hakuna mtu wa sports anaweza kuelezea kwa angle yeyote bila kuhusianisha na rushwa
 
Mi nimezungumzia mechi yenu ya mwisho mliyocheza FA

Hiyo mechi unayoisema wewe ambayo huyo mayele alifunga hakuna mtu wa sports anaweza kuelezea kwa angle yeyote bila kuhusianisha na rushwa
Sawa, shushia maji ya kunywa ya bariiidi usije kufa kwa uchungu toka kwa kichapo cha mmbwa mwitu kule South Africa kwa akina O'pirates [emoji16]

Unataka kila mechi Mayele ashinde, si ujumlishe magoli yote ya forwards zenu Makolo ndipo ujue jinsi gani Mayele ana vitu extraordinary [emoji847]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…